Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Hizbullah ya Lebanon

  • Sheikh Naim Qassem: Hizbullah itatoa jibu kali kwa Saud Arabia

    Sheikh Naim Qassem: Hizbullah itatoa jibu kali kwa Saud Arabia

    Jan 07, 2022 13:18

    Naibu Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amelaani matamshi yaliyotolewa hivi karibuni na mfalme wa Saudi Arabia kuhusu harakati hiyo na kusema kuwa, hatua hiyo inachochea machafuko nchini Lebanon na kwamba Hizbullah itatoa jibu kali kwa uchochezi huo.

  • Hizbullah: Marekani inaongoza vita dhidi ya muqawama Lebanon na Asia Magharibi

    Hizbullah: Marekani inaongoza vita dhidi ya muqawama Lebanon na Asia Magharibi

    Dec 15, 2021 13:57

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, Marekani inaongoza na kusimamia vita dhidi ya muqawama nchini Lebanon na eneo la Asia Magharibi kwa ujumla.

  • Hizbullah yalaani vikali uamuzi wa Australia

    Hizbullah yalaani vikali uamuzi wa Australia

    Nov 25, 2021 04:31

    Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imelaani vikali uamuzi wa serikali ya Australia wa kukiweka chama hicho katika orodha ya makundi ya kigaidi na kusema hatua hiyo ni kujidhalilisha nchi hiyo mbele ya matakwa ya Marekani, utawala wa Kizayuni na sera za ugaidi na mauaji.

  • Hotuba ya Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon kwa mnasaba wa Siku ya Shahidi

    Hotuba ya Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon kwa mnasaba wa Siku ya Shahidi

    Nov 13, 2021 02:23

    Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amehutubia kwa mnasaba wa Siku ya Shahidi na kuzungumzia masuala mbalimbali kama kadhia ya Syria, mwenendo wa kuanzishwa uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel na sera za Saudi ArabiA dhidi ya Lebanon.

  • Israel: Hizbullah ina uwezo wa kutupiga kwa maelfu ya makombora kila siku

    Israel: Hizbullah ina uwezo wa kutupiga kwa maelfu ya makombora kila siku

    Nov 04, 2021 12:02

    Kamanda wa Operesheni za Kambi ya Ndani ya utawala wa Kizayuni wa Israel amekiri kuwa, harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon ina uwezo mkubwa wa makombora ambao unaiwezesha kuushambulia utawala wa Kizayuni kwa maelfu ya makombora kila siku kama vita baina ya pande hizo mbili vitatokea.

  • Hizbullah: Lebanon haitasalimu amri kwa vitisho vya Saudi Arabia

    Hizbullah: Lebanon haitasalimu amri kwa vitisho vya Saudi Arabia

    Nov 03, 2021 12:37

    Mjumbe wa Baraza Kuu la la chama cha Hizbullah nchini Lebanon amesema kuwa nchi hiyo haitasalimu amrii mbele ya mashinikizo na vitisho vya Saudi Arabia.

  • Hizbullah: Tutawaadhibu waliohusika na ghasia za umwagaji damu Beirut

    Hizbullah: Tutawaadhibu waliohusika na ghasia za umwagaji damu Beirut

    Oct 24, 2021 15:14

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amemkosoa vikali Jaji Tarek Bitar anayeongoza uchunguzi wa mlipuko uliotokea mwaka jana katika Bandari ya Beirut na kusisitiza kuwa, hakimu huyo anapaswa kutimuliwa kwa kuwa anaingiza siasa kwenye kadhia hiyo.

  • Sayyid Nasrullah ataka Lebanon iendelee kuagiza mafuta ya Iran

    Sayyid Nasrullah ataka Lebanon iendelee kuagiza mafuta ya Iran

    Oct 12, 2021 08:05

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amelitaka Baraza la Mawaziri la nchi hiyo ya Kiarabu liombe kufutiwa vikwazo vya kuagiza mafuta kutoka Iran ili yawasaidia wananchi wa nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran afanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran afanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon

    Oct 08, 2021 08:01

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon kuhusu matukio ya karibuni kabisa ya kisiasa ya nchi hiyo na eneo.

  • Hizbullah: Tuna haki ya kuvunja mzingiro wa Marekani dhidi ya Lebanon

    Hizbullah: Tuna haki ya kuvunja mzingiro wa Marekani dhidi ya Lebanon

    Oct 06, 2021 12:56

    Afisa wa ngazi ya juu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kundi hilo la muqawama lina haki ya kutumia njia zote halali kulilinda taifa la Lebanon, na kuvunja vikwazo na mzingiro wa Marekani dhidi ya nchi hiyo ya Kiarabu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS