-
Hizbullah ya Lebanon: Operesheni ya kijana wa Kipalestina Tel Aviv imedhihirisha udhaifu wa utawala wa Kizayuni
Apr 08, 2022 22:03Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Lebanon, Hizbullah imesema kuwa, operesheni ya kujitolea kufa shahidi iliyofanywa na kijana mmoja Mpalestina katikati ya Tel Aviv imedhihirisha udhaifu wa utawala wa Kizayuni na kufeli vyombo vya usalama vya utawala huo pandikizi.
-
Balozi wa Saudia mjini Beirut aropokwa tena akiituhumu Hizbullah ya Lebanon
Jan 13, 2022 08:11Balozi wa Saudi Arabia mjini Beiurut ameendelreaza bwajaja zake dhidi ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon baada ya kudai kwamba, Hizbullah inafanya mambo yanayoonyesha iko juu ya serikali ya Lebanon
-
Madai na tuhuma zisizokoma za Saudi Arabia dhidi ya Hizbullah ya Lebanon
Jan 09, 2022 08:58Madai na tuhuma za Saudi Arabia dhidi ya Hizbullah ya Lebanon zinaendelea kutolewa katika hali ambayo, makundi ya kisiasa ya Lebanon yanajiandaa kwa ajili ya uchaguzi wa Bunge uliopangwa kufanyika mwezi Mei mwaka huu (2022).
-
Sheikh Naim Qassem: Hizbullah itatoa jibu kali kwa Saud Arabia
Jan 07, 2022 09:48Naibu Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amelaani matamshi yaliyotolewa hivi karibuni na mfalme wa Saudi Arabia kuhusu harakati hiyo na kusema kuwa, hatua hiyo inachochea machafuko nchini Lebanon na kwamba Hizbullah itatoa jibu kali kwa uchochezi huo.
-
Hizbullah: Marekani inaongoza vita dhidi ya muqawama Lebanon na Asia Magharibi
Dec 15, 2021 10:27Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, Marekani inaongoza na kusimamia vita dhidi ya muqawama nchini Lebanon na eneo la Asia Magharibi kwa ujumla.
-
Hizbullah yalaani vikali uamuzi wa Australia
Nov 25, 2021 01:01Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imelaani vikali uamuzi wa serikali ya Australia wa kukiweka chama hicho katika orodha ya makundi ya kigaidi na kusema hatua hiyo ni kujidhalilisha nchi hiyo mbele ya matakwa ya Marekani, utawala wa Kizayuni na sera za ugaidi na mauaji.
-
Hotuba ya Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon kwa mnasaba wa Siku ya Shahidi
Nov 12, 2021 22:53Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amehutubia kwa mnasaba wa Siku ya Shahidi na kuzungumzia masuala mbalimbali kama kadhia ya Syria, mwenendo wa kuanzishwa uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel na sera za Saudi ArabiA dhidi ya Lebanon.
-
Israel: Hizbullah ina uwezo wa kutupiga kwa maelfu ya makombora kila siku
Nov 04, 2021 08:32Kamanda wa Operesheni za Kambi ya Ndani ya utawala wa Kizayuni wa Israel amekiri kuwa, harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon ina uwezo mkubwa wa makombora ambao unaiwezesha kuushambulia utawala wa Kizayuni kwa maelfu ya makombora kila siku kama vita baina ya pande hizo mbili vitatokea.
-
Hizbullah: Lebanon haitasalimu amri kwa vitisho vya Saudi Arabia
Nov 03, 2021 09:07Mjumbe wa Baraza Kuu la la chama cha Hizbullah nchini Lebanon amesema kuwa nchi hiyo haitasalimu amrii mbele ya mashinikizo na vitisho vya Saudi Arabia.
-
Hizbullah: Tutawaadhibu waliohusika na ghasia za umwagaji damu Beirut
Oct 24, 2021 11:44Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amemkosoa vikali Jaji Tarek Bitar anayeongoza uchunguzi wa mlipuko uliotokea mwaka jana katika Bandari ya Beirut na kusisitiza kuwa, hakimu huyo anapaswa kutimuliwa kwa kuwa anaingiza siasa kwenye kadhia hiyo.