-
Nukta muhimu katika mahojiano ya Sayyid Hassan Nasrallah na Televisheni ya Al Mayadeen
Dec 29, 2020 02:59Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayyid Hassan Nasrallah Jumapili 27 Disemba alifanya mahojiano muhimu na Televisheni ya Al Mayadeen ya Lebanon. Katika mahojiano hayo aliwakumbuka na kuwawenzi Shahidi Luteni Jenerali Hajj Qassem Soleimani na Abu Mahdi al Muhandis.
-
Hizbullah: Shahidi Suleimani alikuwa nguvu kubwa mbele ya njama za ubeberu wa Marekani
Dec 22, 2020 07:34Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa, shahidi Qassem Suleimani alikuwa nguvu kubwa mbele ya mipango kiistikbari ya Marekani na ndio maana ameuliwa kigaidi na adui.
-
Hizbullah: Tawala za Kiarabu katika eneo hazijawahi kuwa pamoja na Palestina
Dec 08, 2020 12:15Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, tawala za Kiarabu zinazotenda jinai katika Mashariki ya Kati hazijawahi kuwa pamoja na Palestina wala kuunga mkono muqawama.
-
Afisa wa Hizbullah: Mfumo wa uchaguzi wa Marekani uko mbali sana na demokrasia
Nov 13, 2020 01:37Afisa wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa mfumo wa uchaguzi wa Marekani umejitenga kwa masafa marefu sana na viwango vinavyokubalika vya demokrasia.
-
Sera za kuingilia kati za Macron nchini Lebanon
Sep 28, 2020 09:32Matukio ya Kisiasa ya hivi karibuni nchini Lebanon hususan baada ya mlipuko mkubwa uliotokea katika bandari ya Beirut mwezi Agosti mwaka huu ambao umepelekea kujiuzulu serikali ya nchi hiyo yametayarisha mazingira ya uingiliaji wa nchi za Magharibi hususan Ufaransa na Marekani katika masuala ya ndani ya nchi hiyo
-
Hizbullah: Wananchi wa Lebanon hawatobadilika kwa sababu ya vikwazo vya Marekani
Sep 13, 2020 02:22Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, siasa za vikwazo za Marekani haziwezi kuwafanya wananchi wa Lebanon walegeze kamba na kubadilisha msimamo wao.
-
HAMAS yasisitiza kuendeleza uhusiano wa kistratejia na Hizbullah ya Lebanon
Sep 03, 2020 08:07Kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema, uhusiano wa kistratejia baina ya makundi ya ukombozi na muqawama na Hizbullah ya Lebanon utapelekea kukombolewa Palestina kutoka kwenye makucha ya maghasibu wa Israel.
-
Muqawama wa Palestina: Hizbullah ya Lebanon imegeuka jinamizi kwa utawala wa Kizayuni wa Israel
Aug 30, 2020 08:17Msemaji wa Kamati za Muqawama wa Palestina amesisitiza kuwa jibu lijalo ambalo harakati ya Hizbullah ya Lebanon imepanga kutoa kwa utawala wa Kizayuni wa Israel limegeuka kuwa jinamizi na kitisho kikubwa kwa utawala huo haramu.
-
Hizbullah ya Lebanon yatungua ndege ya kijasusi ya Israel
Aug 24, 2020 11:56Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imefanikiwa kutungua ndege isiyo na rubani ya jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel
-
Sheikh Naim Qassim: Hizbullah haitoruhusu Israel iivamie Lebanon
Aug 22, 2020 07:42Naibu Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, harakati hiyo ya Kiislamu kamwe haitoiruhusu Israel na waungaji mkono wake waivamie tena Lebanon.