-
Ujumbe wa Zarif katika kumbukumbu ya ushindi wa Hizbullah katika Vita vya Siku 33
Aug 14, 2020 07:57Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ametuma ujumbe wa pongezi kwa kwa serikali na watu wa Lebanon kwa mnasaba wa mwaka wa 14 wa ushindi uliojaa fahari wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon katika Vita vya Siku 33.
-
Barua ya Israel kwa Umoja wa Mataifa; hofu na kiwewe cha kulipizwa kisasi na Hizbullah
Jul 27, 2020 08:15Israel imeuomba Umoja wa Mataifa ufanye usuluhishi kwa kuhofia Hizbullah ya Lebanon isije ikalipiza kisasi dhidi yake, huku mgogoro ndani ya utawala huo wa Kizayuni ukizidi kushadidi kufuatia maandamano ya maelfu ya watu ya kumpinga waziri mkuu Benjamin Netanyahu.
-
Utawala wa Kizayuni wa Israel waomba usuluhishi wa UN kwa kuhofia kipigo cha Hizbullah
Jul 26, 2020 13:39Waziri wa Mambo ya Nje wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel amesema, utawala huo umetuma barua kwa harakati ya Hizbullah ya Lebanon kupitia Umoja wa Mataifa.
-
Jeshi la utawala wa Kizayuni lafuta mazoezi ya kijeshi likihofia kushambuliwa na Hizbullah
Jul 23, 2020 08:04Duru za habari za utawala wa Kizayuni zimetangaza kuwa wanajeshi wa Israel wamefuta mazoezi waliyopanga kufanya wakihofia kushambuliwa na harakati ya Hizbullah ya Lebanon.
-
Hizbullah: Katika kamusi yetu hakuna kitu kinachoitwa 'kusalimu amri'
Jul 11, 2020 07:01Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa, harakati hiyo pamoja na washirika wake hawataruhusu Marekani na vibaraka wake waitumbukize Lebanon katika ombwe la uongozi na mzozo wa kisiasa.
-
Hizbullah yautahadharisha utawala wa Kizayuni wa Israel, yasema makombora yake yako ange
Jun 22, 2020 04:00Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imeutahadharisha utawala wa kizayuni kwamba iwapo utashambulia ardhi ya Lebanon itashambulia maeneo mbalimbali ya utawala huo kwa kutumia makombora yanayolenga shabaha kwa umakini mkubwa.
-
Uchambuzi wa Sayyid Nasrullah kuhusu machafuko ya Lebanon na njama za Marekani
Jun 18, 2020 02:53Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa machafuko yanayoshuhudiwa sasa nchini humo ni njama iliyopangwa na Marekani.
-
Harakati ya Answarullah ya Yemen yaipongeza Hizbullah ya Lebanon kwa kuwashinda Wazayuni
May 26, 2020 07:45Mohammed Abdul-Salam, Msemaji wa Harakati ya Answarullah ya Yemen ametoa pongezi kwa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon kutokana na kulikomboa eneo la kusini mwa nchi hiyo kutoka katika makucha ya utawala pandikizi wa Kizayuni Israel.
-
Vyama vya Siasa Tunisia vyalaani hatua ya Ujerumani dhidi ya Hizbullah
May 06, 2020 07:55Vyama vitano vya kisiasa nchini Tunisia vimelaani vikali hatua ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Ujerumani ya kuiorodhesha Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon kama kundi la kigaidi.
-
Nasrullah: Tangazo la Ujerumani dhidi ya Hizbullah ni kwa maslahi ya Wazayuni
May 05, 2020 02:48Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon sanjari na kulaani hatua ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Ujerumani ya kuiita harakati hiyo ya muqawama kuwa ni kundi la kigaidi, amesisitiza kuwa serikali ya Berlin imeshindwa kuwasilisha ithibati yoyote ya kuyapa nguvu madai yake hayo.