Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Imarati

  • Iran: Marekani inawashawishi wengine watoe muhanga kadhia ya Palestina

    Iran: Marekani inawashawishi wengine watoe muhanga kadhia ya Palestina

    Dec 12, 2020 03:51

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema Marekani inazishawishi nchi zingine kutoa muhanga kadhia ya Palestina na kuwapa mkono wezi kwa njia mbali mbali.

  • Kupasishwa na Seneti ya Marekani uamuzi wa kuiuzia silaha za kisasa Imarati

    Kupasishwa na Seneti ya Marekani uamuzi wa kuiuzia silaha za kisasa Imarati

    Dec 10, 2020 23:26

    Marekani daima imekuwa ikitumia porojo kulioonesha eneo la Asia Magharibi kwamba, linakabiliwa na ukosefu wa amani na kueneza chuki dhidi ya Iran sambamba na kuionyesa mbele ya macho ya mataifa ya eneo hili kwamba, ni tishio ili kwa njia hiyo ijiandalie uwanja wa kuziuzia silaha nchi za Ukanda wa kusini mwa Ghuba ya Uajemi.

  • Imarati yasaini mkataba wa kununua bidhaa zinazotengenezwa katika vitongoji vya Wazayuni

    Imarati yasaini mkataba wa kununua bidhaa zinazotengenezwa katika vitongoji vya Wazayuni

    Dec 09, 2020 04:16

    Umoja w Falme za Kiarabu (Imarati) umesaini mkataba mpya wa kununua bidhaa zinazotengenezwa katika vitongoji vya walowezi Kizayuni vilivyojengwa kwenye ardhi walizoporwa Wapalestina za Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Amnesty yaiomba Marekani iache kuiuzia silaha UAE kwa sababu itazitumia kuulia raia

    Amnesty yaiomba Marekani iache kuiuzia silaha UAE kwa sababu itazitumia kuulia raia

    Dec 08, 2020 23:07

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Msamaha Duniani, Amnesty International limeiomba Marekani isitishe uuzaji silaha kwa Imarati kwa sababu itazitumia silaha hizo kuulia raia wasio na hatia.

  • Kupamba moto hitilafu za kiintelijensia baina ya Saudia na Imarati katika vita vya Yemen

    Kupamba moto hitilafu za kiintelijensia baina ya Saudia na Imarati katika vita vya Yemen

    Dec 01, 2020 06:33

    Baada ya kuibuka hitilafu za kisiasa na kijeshi baina ya Saudi Arabia na Imarati katika vita huko nchini Yemen, sasa kumezuka mzozo baina ya vituo vya kiintelijensia vya pande mbili hizo.

  • Wabunge Iraq waitaka serikali ijibu mapigo kwa kutowapatia viza raia wa Imarati

    Wabunge Iraq waitaka serikali ijibu mapigo kwa kutowapatia viza raia wa Imarati

    Nov 27, 2020 08:33

    Baada serikali ya Imarati kusitisha utoaji viza kwa raia wa Iraq wanaotaka kuingia nchini humo, sambamba na kuwaweka kizuizini katika mazingira ya kutatanisha Wairaqi kadhaa wanaoishi nchini humo, wabunge wa Iraq wameitaka serikali yao isitishe kutoa viza kwa raia wa Imarati pia wanaotaka kuingia nchini humo.

  • Afisa wa UAE akiri nchi hiyo imekuwa na uhusiano wa siri na Israel tangu miaka kadhaa nyuma

    Afisa wa UAE akiri nchi hiyo imekuwa na uhusiano wa siri na Israel tangu miaka kadhaa nyuma

    Nov 22, 2020 00:43

    Mkuu wa usalama wa mitandao wa serikali ya Imarati amekiri kuwa, kwa miaka kadhaa, nchi hiyo imekuwa na ushirikiano na mashirika ya usalama wa mitandao ya intaneti ya utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Tangazo la biashara la shirika la ndege la UAE lapotosha jina la Msikiti wa Al Aqsa

    Tangazo la biashara la shirika la ndege la UAE lapotosha jina la Msikiti wa Al Aqsa

    Nov 17, 2020 02:07

    Shirika la ndege la taifa la Umoja wa Falme za Kiarabu limepotosha jina la msikiti wa Al Aqsa katika filamu ya tangazo la biashara lililotoa kutangaza safari zake kuelekea ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina zilizopewa jina la Israel.

  • Imarati yaipa Sudan mamilioni ya dola baada ya kuanzisha uhusiano na Israel

    Imarati yaipa Sudan mamilioni ya dola baada ya kuanzisha uhusiano na Israel

    Oct 28, 2020 04:18

    Umoja wa Falme za Kiarabu umeipa Sudan msaada wa dola nusu bilioni za Marekani, siku chache baada ya Khartoum kukubali kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Madai ya kukaririwa dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni kinyume cha ukweli wa mambo

    Madai ya kukaririwa dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni kinyume cha ukweli wa mambo

    Oct 23, 2020 04:19

    Anwar Gargash Waziri Mshauri wa Mambo ya Nje katika Umoja wa Falme za Kiarabu ametuma ujumbe kupitia ukurasa wake wa Twitter na kudai kuwa, Iran inavuruga uthabiti katika eneo la Asia Magharibi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS