Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Imarati

  • Brigedia Yahya Saree: Makampuni ya kigeni yanashauriwa kuondoka Imarati

    Brigedia Yahya Saree: Makampuni ya kigeni yanashauriwa kuondoka Imarati

    Jan 22, 2022 04:34

    Msemaji wa Jeshi la Yemen ameyashauri makampuni ya kigeni ya uwekezaji kuondoka Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).

  • Imarati; kujitanua kwenye madhara makubwa

    Imarati; kujitanua kwenye madhara makubwa

    Jan 21, 2022 06:27

    Umoja wa Falme za Kiarabu au kwa jina jingeni Imarati inatekeleza siasa za kujitanua katika eneo la Asia Magharibi, siasa ambazo huenda zikawa na madhara makubwa kwa nchi hiyo.

  • Mashambulio ya Wayamen dhidi ya Imarati; malengo na umuhimu wake

    Mashambulio ya Wayamen dhidi ya Imarati; malengo na umuhimu wake

    Jan 18, 2022 07:39

    Jumatatu ya jana tarehe 17 Januari, ndege 20 zisizo na rubani pamoja na makombora 10 ya balestiki ya Jeshi na Kamati za Kujitolea za Wananchi wa Yemen zilishambulia maeneo muhimu na nyeti ndani ya ardhi ya Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati).

  • Watu 9 wauawa na kujeruhiwa nchini Imarati baada ya mashambulizi ya Wayemen

    Watu 9 wauawa na kujeruhiwa nchini Imarati baada ya mashambulizi ya Wayemen

    Jan 17, 2022 13:35

    Ndege 20 zisizo na rubani pamoja na makombora 10 ya balestiki ya Jeshi na Kamati za Kujitolea za Wananchi wa Yemen yameshambulia maeneo muhimu na nyeti ndani ya ardhi ya Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati).

  • Kenya yajibu mapigo, yasimamisha safari za ndege kutoka Imarati

    Kenya yajibu mapigo, yasimamisha safari za ndege kutoka Imarati

    Jan 11, 2022 04:22

    Kenya imesimamisha safari zote za ndege za abiria kutoka Umoja wa Falme za Kiarabu, kujibu hatua ya Imarati ya kuzuia kwa muda usiojulikana ndege zote za kutoka nchi hiyo ya Afrika Mashariki kutua nchini humo, kwa madai ya vyeti bandia vya Corona.

  • Vikosi vya Yemen vyakamata meli ya Imarati (UAE) iliyokuwa na shehena ya zana za kijeshi

    Vikosi vya Yemen vyakamata meli ya Imarati (UAE) iliyokuwa na shehena ya zana za kijeshi

    Jan 03, 2022 23:16

    Msemaji wa vikosi vya ulinzi vya Yemen amesema, operesheni ya kukamata meli ya kijeshi ya Imarati ilikuwa ya namna ya kipekee na akasisitiza kuwa machaguo yote yako mezani kwa ajili ya kujibu mapigo kwa wavamizi.

  • Imarati yaitishia Marekani, yasema itajitoa katika makubaliano ya kununua ndege za F-35

    Imarati yaitishia Marekani, yasema itajitoa katika makubaliano ya kununua ndege za F-35

    Dec 15, 2021 04:17

    Serikali ya Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) imeamua kusimamisha mazungumzo yake na Marekani kuhusu makubaliano ya kununua ndege za kivita aina ya F-35 zenye thamani ya dola bilioni 23.

  • Safari ya Bennett Imarati; sambamba na mazungumzo ya Vienna na mkutano wa Riyadh

    Safari ya Bennett Imarati; sambamba na mazungumzo ya Vienna na mkutano wa Riyadh

    Dec 14, 2021 09:21

    Naftali Bennett, Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel Jumapili usiku aliwasili katika Uwanja wa Ndege wa Abu Dhabi na kulakiwa na Abdallah bin Zayed al-Nahyan, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Imarati.

  • Jihad Islami: Kuanzisha uhusiano na adui Mzayuni ni khiyana na usaliti kwa Palestina

    Jihad Islami: Kuanzisha uhusiano na adui Mzayuni ni khiyana na usaliti kwa Palestina

    Dec 13, 2021 05:59

    Harakati ya Jihad Islami ya Palestina imelaani vikali kitendo cha viongozi wa Imarati cha kumpokea nchini humo Naftali Bennett, Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel na kueleza kwamba, hiyo ni khiyana na usaliti kwa taifa la Palestina.

  • Raisi: Iran inaunga mkono usalama wa nchi za pambizoni mwa Ghuba ya Uajemi

    Raisi: Iran inaunga mkono usalama wa nchi za pambizoni mwa Ghuba ya Uajemi

    Dec 06, 2021 23:23

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa usalama wa nchi za eneo la Ghuba ya Uajemi unafungamana na kwamba Iran inaunga mkono usalama wa nchi za pambizoni mwa Ghuba ya Uajemi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS