Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Imarati

  •  Shamkhani: Usalama na uthabiti wa Asia Magharibi utapatikana kwa kuweko ushirikiano wa kikanda

    Shamkhani: Usalama na uthabiti wa Asia Magharibi utapatikana kwa kuweko ushirikiano wa kikanda

    Dec 06, 2021 09:35

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesema kuwa kuweko ushirikiano wa mataifa ya Asia Magharibi ni jambo la dharura na la lazima kwa ajili ya kupatikana amani na usalama wa eneo hili.

  • Licha ya kujitweza, Saudia na UAE zinamdhalilisha Mansour Hadi

    Licha ya kujitweza, Saudia na UAE zinamdhalilisha Mansour Hadi

    Dec 03, 2021 00:56

    Licha ya rais wa zamani wa Yemen aliyejiuzulu na kutoroka nchi, Abdu Rabbuh Mansour Hadi kujipendekeza na kujitweza kwa Saudi Arabia na Imarati, lakini watawala wa Riyadh na Abu Dhabi wameendelea kumdhalilisha na kumtolea vitisho mwanasiasa huyo wa Yemen mwenye umri wa miaka 76.

  • "Jenerali mtesaji" wa Imarati ateuliwa kuongoza Polisi ya Kimataifa (Interpol)

    Nov 25, 2021 11:02

    Shirika la Polisi la Kimataifa (Interpol) limemteua Jenerali wa Imarati aneyetuhumiwa kutesa watu kuwa mkuu wake mpya kufuatia mkutano wake wa kila mwaka uliofanyika mjini Instanbul Uturuki.

  • Safari ya mrithi wa ufalme wa Imarati nchini Uturuki; sababu na malengo yake

    Safari ya mrithi wa ufalme wa Imarati nchini Uturuki; sababu na malengo yake

    Nov 25, 2021 04:07

    Mohammed Bin Zayed Al Nayhan, mrithi wa ufalme wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) jana Jumatano tarehe 24 Novemba aliwasili mjini Ankara, Uturuki ambapo alikutana na kufanya mazungumzo na Rais Recep Tayyip Erdoğan wa nchi hiyo.

  • Baada ya miaka 10, Waziri wa Mambo ya Nje wa Imarati aitembelea Syria

    Baada ya miaka 10, Waziri wa Mambo ya Nje wa Imarati aitembelea Syria

    Nov 09, 2021 23:09

    Vyombo vya habari vya Kiarabu vimetangaza kuwa baada ya kupita kipindi cha miaka 10, Waziri wa Mambo ya Nje wa Imarati (UAE) amefanya safari ya kuitembelea Syria.

  • Shirika la ujasusi la Kizayuni lafungua ofisi yake ya uwakilishi Abu Dhabi, UAE

    Shirika la ujasusi la Kizayuni lafungua ofisi yake ya uwakilishi Abu Dhabi, UAE

    Oct 01, 2021 09:59

    Duru za habari zimeripoti kuwa, shirika moja la kizayuni linalotengeneza vifaa vya intaneti vya ujasusi limefungua ofisi yake mjini Abu Dhabi, katika Umoja wa Falme za Kiarabu.

  • Gazeti lafichua waraka wa siri wa njama ya Imarati ya kuibana na kuidhoofisha HAMAS

    Gazeti lafichua waraka wa siri wa njama ya Imarati ya kuibana na kuidhoofisha HAMAS

    Sep 29, 2021 09:31

    Gazeti la al Akhbar linalochapishwa nchini Lebanon limefichua waraka wa siri unaohusu mpango wa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) wa kuanzisha muungano dhidi ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS.

  • Nukta kadhaa za kuzingatia kuhusu madai ya Imarati ya kupambana na ugaidi

    Nukta kadhaa za kuzingatia kuhusu madai ya Imarati ya kupambana na ugaidi

    Sep 15, 2021 05:48

    Umoja wa Falme za Kiarabu, Imarati, umeongeza majina ya watu 38 na mashirika 15 katika orodha yake ya watu wanaodaiwa kuunga mkono ugaidi ambapo majina ya Wairani kadhaa yanaonekana katika orodha hiyo.

  • Malengo ya Imarati ya kuvikalia kwa mabavu visiwa vya Yemen

    Malengo ya Imarati ya kuvikalia kwa mabavu visiwa vya Yemen

    Aug 26, 2021 22:05

    Ahmed al-Rahwi mwakilishi wa Baraza Kuu la Kisiasa la Yemen Jumanne wiki hii kwa mara nyingine tena aliutahadharisha Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) kwamba, nchi hiyo itapewa somo na funzo iwapo haitaondoka katika kisiwa cha Mayyun.

  • Yemen yakosoa Imarati na Israel kukalia kwa mabavu kisiwa cha Mayyun

    Yemen yakosoa Imarati na Israel kukalia kwa mabavu kisiwa cha Mayyun

    Aug 25, 2021 08:26

    Afisa wa ngazi ya juu wa Baraza Kuu la Kisiasa la Yemen amesema lengo la Umoja wa Falme za Kiarabu na utawala wa Kizayuni wa Israel kukikalia kwa mabavu kisiwa cha Mayyun kilichoko katika Lango Bahari la Mandab kusini mwa Bahari Nyekundu ni kukidhibiti kutokana na nafasi yake muhimu kijiografia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS