Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Imarati

  • Hatua hatari ya Imarati kukaribisha nchini upenyaji wa kiusalama wa Israel

    Hatua hatari ya Imarati kukaribisha nchini upenyaji wa kiusalama wa Israel

    Aug 20, 2021 21:56

    Vyombo vya habari vya utawala haramu wa Israel vimeripoti kwamba Imarati imeamua kutumia ndege zisizo na rubani za utawala huo katika kusimamia na kulinda usalama wa taasisi na miundomsingi yake.

  • Rais wa Afghanistan aliyeikimbia nchi yuko Imarati; adaiwa kubeba dola milioni 169

    Rais wa Afghanistan aliyeikimbia nchi yuko Imarati; adaiwa kubeba dola milioni 169

    Aug 18, 2021 23:13

    Rais aliyetoroka nchi yake ya Afghanistan Ashraf Ghani yupo katika nchi Umoja wa Falme za Kiarabu UAE. Hilo limethibitishwa na Wizara ya Mashauri ya Kigeni Imarati .

  • Wataalamu wa haki za binadamu: UAE inawapa hifadhi watuhumiwa wa kesi kubwa za ufisadi nchini Afrika Kusini

    Wataalamu wa haki za binadamu: UAE inawapa hifadhi watuhumiwa wa kesi kubwa za ufisadi nchini Afrika Kusini

    Jul 18, 2021 03:49

    Tovuti ya Marekani ya Foreign Policy imechapisha makala ya wataalamu wawili katika mashirika ya haki za binadamu wakiitaka Imarati (UAE) ishirikiane na serikali ya Afrika Kusini na kuwakabidhi washukiwa wa tuhuma za ufisadi na kuhujumu uchumi.

  • Harakati za ukombozi Palestina zailaani Imarati kwa kufungua ubalozi Tel Aviv

    Harakati za ukombozi Palestina zailaani Imarati kwa kufungua ubalozi Tel Aviv

    Jul 15, 2021 06:56

    Harakati za ukombozi wa Palestina zimeilaani nchi ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kwa kufungua ubalozi huko Tel Aviv, wiki chache tu baada ya Israeli kuuwa zaidi ya Wapalestina 255 katika Ukanda wa Gaza na Ukingo wa Magharibi.

  • Ishara nne za kupamba moto hitilafu kati ya Saudi Arabia na Imarati

    Ishara nne za kupamba moto hitilafu kati ya Saudi Arabia na Imarati

    Jul 13, 2021 04:41

    Saudi Arabia na Imarati ambazo katika muongo mmoja uliopita takribani zimekuwa katika mkondo mmoja kuhusiana na siasa za eneo la Asia Magharibi, hivi karibuni tumeshuhudia kushtadi na kupamba moto hitilafu na mzozo katika uhusiano wa pande mbili.

  • Kukosolewa hatua ya Imarati ya kuwapatia uraia Wazayuni

    Kukosolewa hatua ya Imarati ya kuwapatia uraia Wazayuni

    Jul 06, 2021 06:39

    Ikiwa ni katika mwendelezo wake wa kuimarisha uhusiano wake na utawala haramu wa Israel, serikali ya Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) imechukua hatua ya kuwapatia uraia Wazayuni.

  • Jihad Islami yalaani hatua ya Imarati ya kuwapa uraia Wazayuni 5,000

    Jihad Islami yalaani hatua ya Imarati ya kuwapa uraia Wazayuni 5,000

    Jul 05, 2021 07:58

    Harakati ya Jihad Islami ya Palestina imelaani hatua ya Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) ya kuwapa uraia Wazayuni 5,000 wa Israel ikisema hatua hiyo ni fedheha na aibu nyingine kwa "serikali ya kisaliti ya Abu Dhabi iliyofanya mapatano na utawala katili wa Israel.

  • Imarati yatakiwa iwaachie huru makumi ya wanaharakati wa kisiasa

    Imarati yatakiwa iwaachie huru makumi ya wanaharakati wa kisiasa

    Jul 03, 2021 08:09

    Shirika moja la kutetea haki za binadamu lenye makao yake nchini Uingereza limeeleza wasi wasi wake juu ya kukandamizwa kwa wanaharakati wa haki za binadamu na jinsi wanavyoteswa wakiwa magerezani katika Umoja wa Falme za Kiarabu.

  • Imarati yawapa uraia maelfu ya Wazayuni ndani ya miezi 3

    Imarati yawapa uraia maelfu ya Wazayuni ndani ya miezi 3

    Jul 02, 2021 22:13

    Raia wapatao 5,000 wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamepewa uraia na Umoja wa Falme za Kiarabu katika kipindi cha miezi mitatu iliyopita.

  • Imarati yapiga marufuku raia wake kutembelea nchi 8 za Afrika

    Imarati yapiga marufuku raia wake kutembelea nchi 8 za Afrika

    Jul 02, 2021 02:12

    Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) umewataka raia wake wasitembelee nchi 14 duniani nyingi zake zikiwa ni za barani Afrika kwa madai ya kuenea maambukizo ya kirusi cha corona.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS