Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Imarati

  • Imarati yatakiwa iwaachie huru makumi ya wanaharakati wa kisiasa

    Imarati yatakiwa iwaachie huru makumi ya wanaharakati wa kisiasa

    Jul 03, 2021 12:39

    Shirika moja la kutetea haki za binadamu lenye makao yake nchini Uingereza limeeleza wasi wasi wake juu ya kukandamizwa kwa wanaharakati wa haki za binadamu na jinsi wanavyoteswa wakiwa magerezani katika Umoja wa Falme za Kiarabu.

  • Imarati yawapa uraia maelfu ya Wazayuni ndani ya miezi 3

    Imarati yawapa uraia maelfu ya Wazayuni ndani ya miezi 3

    Jul 03, 2021 02:43

    Raia wapatao 5,000 wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamepewa uraia na Umoja wa Falme za Kiarabu katika kipindi cha miezi mitatu iliyopita.

  • Imarati yapiga marufuku raia wake kutembelea nchi 8 za Afrika

    Imarati yapiga marufuku raia wake kutembelea nchi 8 za Afrika

    Jul 02, 2021 06:42

    Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) umewataka raia wake wasitembelee nchi 14 duniani nyingi zake zikiwa ni za barani Afrika kwa madai ya kuenea maambukizo ya kirusi cha corona.

  • Kituo cha MOSSAD chashambuliwa Erbil huku Waziri wa Israel akiitembelea UAE

    Kituo cha MOSSAD chashambuliwa Erbil huku Waziri wa Israel akiitembelea UAE

    Jun 30, 2021 02:26

    Huku Waziri mpya wa Mambo ya Nje wa utawala haramu wa Israel akifanya safari ya kwanza ya kuutembelea Umoja wa Falme za Kiarabu, kambi ya Shirika la Kijasusi la Utawala huo wa Kizayuni (MOSSAD) imeshambuliwa kwa maroketi katika eneo la Erbil, kaskazini mwa Iraq.

  • Imarati yatumia dola milioni 50 kuzalisha filamu ya kuichafua Qatar

    Imarati yatumia dola milioni 50 kuzalisha filamu ya kuichafua Qatar

    Jun 24, 2021 07:20

    Umoja wa Falme za Kiarabu umekosolewa vikali kwa kutumia makumi ya mamilioni ya dola kuzalisha filamu ambayo inaisawiri jirani yake Qatar kama 'dola la kigaidi.'

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Israel kuitembelea Imarati

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Israel kuitembelea Imarati

    Jun 23, 2021 02:27

    Waziri mpya wa Mambo ya Nje wa utawala haramu wa Israel anatazamiwa kufanya safari ya kwanza ya kuutembelea Umoja wa Falme za Kiarabu wiki ijayo.

  • Wabunge Ufaransa wakosoa kuteuliwa afisa wa UAE kuongoza Interpol

    Wabunge Ufaransa wakosoa kuteuliwa afisa wa UAE kuongoza Interpol

    Jun 19, 2021 05:10

    Makumi ya Wabunge wa Ufaransa wamelalamikia hatua ya kuteuliwa afisa wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kuwa Rais wa Polisi ya Kimataifa (Interpol).

  • Uhusiano wa Imarati na Israel wapigwa na dhoruba

    Uhusiano wa Imarati na Israel wapigwa na dhoruba

    Jun 16, 2021 12:23

    Siku chache baada ya kuanza utekelezaji wa makubaliano ya mafuta baina ya Abu Dhabi na Tel Aviv, Waziri wa Mazingira wa utawala haramu wa Israel ametoa mwito wa kufutwa mapatano hayo.

  • Majibu ya HAMAS kwa matamshi ya kichochezi na ya kujikomba kwa Wazayuni ya waziri wa Imarati

    Majibu ya HAMAS kwa matamshi ya kichochezi na ya kujikomba kwa Wazayuni ya waziri wa Imarati

    Jun 14, 2021 09:19

    Matamshi ya kichochezi yaliyotolewa na waziri wa mambo ya nje wa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) dhidi ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS, Hizbullah ya Lebanon na kundi la Ikhwanul Muslim, yamejibiwa na harakati ya HAMAS ya Palestina.

  • Kufunguliwa ubalozi wa Imarati huko Tel Aviv, pongezi kwa Israel kwa mauaji yake dhidi ya watoto wa Gaza

    Kufunguliwa ubalozi wa Imarati huko Tel Aviv, pongezi kwa Israel kwa mauaji yake dhidi ya watoto wa Gaza

    May 31, 2021 11:51

    Serikali ya Imarati jana tarehe 30 Mei ilifungua rasmi ubalozi wake mjini Tel Aviv.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS