Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Imarati

  • Kukosolewa hatua ya Imarati ya kuwapatia uraia Wazayuni

    Kukosolewa hatua ya Imarati ya kuwapatia uraia Wazayuni

    Jul 06, 2021 06:39

    Ikiwa ni katika mwendelezo wake wa kuimarisha uhusiano wake na utawala haramu wa Israel, serikali ya Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) imechukua hatua ya kuwapatia uraia Wazayuni.

  • Jihad Islami yalaani hatua ya Imarati ya kuwapa uraia Wazayuni 5,000

    Jihad Islami yalaani hatua ya Imarati ya kuwapa uraia Wazayuni 5,000

    Jul 05, 2021 07:58

    Harakati ya Jihad Islami ya Palestina imelaani hatua ya Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) ya kuwapa uraia Wazayuni 5,000 wa Israel ikisema hatua hiyo ni fedheha na aibu nyingine kwa "serikali ya kisaliti ya Abu Dhabi iliyofanya mapatano na utawala katili wa Israel.

  • Imarati yatakiwa iwaachie huru makumi ya wanaharakati wa kisiasa

    Imarati yatakiwa iwaachie huru makumi ya wanaharakati wa kisiasa

    Jul 03, 2021 08:09

    Shirika moja la kutetea haki za binadamu lenye makao yake nchini Uingereza limeeleza wasi wasi wake juu ya kukandamizwa kwa wanaharakati wa haki za binadamu na jinsi wanavyoteswa wakiwa magerezani katika Umoja wa Falme za Kiarabu.

  • Imarati yawapa uraia maelfu ya Wazayuni ndani ya miezi 3

    Imarati yawapa uraia maelfu ya Wazayuni ndani ya miezi 3

    Jul 02, 2021 22:13

    Raia wapatao 5,000 wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamepewa uraia na Umoja wa Falme za Kiarabu katika kipindi cha miezi mitatu iliyopita.

  • Imarati yapiga marufuku raia wake kutembelea nchi 8 za Afrika

    Imarati yapiga marufuku raia wake kutembelea nchi 8 za Afrika

    Jul 02, 2021 02:12

    Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) umewataka raia wake wasitembelee nchi 14 duniani nyingi zake zikiwa ni za barani Afrika kwa madai ya kuenea maambukizo ya kirusi cha corona.

  • Kituo cha MOSSAD chashambuliwa Erbil huku Waziri wa Israel akiitembelea UAE

    Kituo cha MOSSAD chashambuliwa Erbil huku Waziri wa Israel akiitembelea UAE

    Jun 29, 2021 21:56

    Huku Waziri mpya wa Mambo ya Nje wa utawala haramu wa Israel akifanya safari ya kwanza ya kuutembelea Umoja wa Falme za Kiarabu, kambi ya Shirika la Kijasusi la Utawala huo wa Kizayuni (MOSSAD) imeshambuliwa kwa maroketi katika eneo la Erbil, kaskazini mwa Iraq.

  • Imarati yatumia dola milioni 50 kuzalisha filamu ya kuichafua Qatar

    Imarati yatumia dola milioni 50 kuzalisha filamu ya kuichafua Qatar

    Jun 24, 2021 02:50

    Umoja wa Falme za Kiarabu umekosolewa vikali kwa kutumia makumi ya mamilioni ya dola kuzalisha filamu ambayo inaisawiri jirani yake Qatar kama 'dola la kigaidi.'

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Israel kuitembelea Imarati

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Israel kuitembelea Imarati

    Jun 22, 2021 21:57

    Waziri mpya wa Mambo ya Nje wa utawala haramu wa Israel anatazamiwa kufanya safari ya kwanza ya kuutembelea Umoja wa Falme za Kiarabu wiki ijayo.

  • Wabunge Ufaransa wakosoa kuteuliwa afisa wa UAE kuongoza Interpol

    Wabunge Ufaransa wakosoa kuteuliwa afisa wa UAE kuongoza Interpol

    Jun 19, 2021 00:40

    Makumi ya Wabunge wa Ufaransa wamelalamikia hatua ya kuteuliwa afisa wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kuwa Rais wa Polisi ya Kimataifa (Interpol).

  • Uhusiano wa Imarati na Israel wapigwa na dhoruba

    Uhusiano wa Imarati na Israel wapigwa na dhoruba

    Jun 16, 2021 07:53

    Siku chache baada ya kuanza utekelezaji wa makubaliano ya mafuta baina ya Abu Dhabi na Tel Aviv, Waziri wa Mazingira wa utawala haramu wa Israel ametoa mwito wa kufutwa mapatano hayo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS