-
Hatua hatari ya Imarati kukaribisha nchini upenyaji wa kiusalama wa Israel
Aug 20, 2021 21:56Vyombo vya habari vya utawala haramu wa Israel vimeripoti kwamba Imarati imeamua kutumia ndege zisizo na rubani za utawala huo katika kusimamia na kulinda usalama wa taasisi na miundomsingi yake.
-
Rais wa Afghanistan aliyeikimbia nchi yuko Imarati; adaiwa kubeba dola milioni 169
Aug 18, 2021 23:13Rais aliyetoroka nchi yake ya Afghanistan Ashraf Ghani yupo katika nchi Umoja wa Falme za Kiarabu UAE. Hilo limethibitishwa na Wizara ya Mashauri ya Kigeni Imarati .
-
Wataalamu wa haki za binadamu: UAE inawapa hifadhi watuhumiwa wa kesi kubwa za ufisadi nchini Afrika Kusini
Jul 18, 2021 03:49Tovuti ya Marekani ya Foreign Policy imechapisha makala ya wataalamu wawili katika mashirika ya haki za binadamu wakiitaka Imarati (UAE) ishirikiane na serikali ya Afrika Kusini na kuwakabidhi washukiwa wa tuhuma za ufisadi na kuhujumu uchumi.
-
Harakati za ukombozi Palestina zailaani Imarati kwa kufungua ubalozi Tel Aviv
Jul 15, 2021 06:56Harakati za ukombozi wa Palestina zimeilaani nchi ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kwa kufungua ubalozi huko Tel Aviv, wiki chache tu baada ya Israeli kuuwa zaidi ya Wapalestina 255 katika Ukanda wa Gaza na Ukingo wa Magharibi.
-
Ishara nne za kupamba moto hitilafu kati ya Saudi Arabia na Imarati
Jul 13, 2021 04:41Saudi Arabia na Imarati ambazo katika muongo mmoja uliopita takribani zimekuwa katika mkondo mmoja kuhusiana na siasa za eneo la Asia Magharibi, hivi karibuni tumeshuhudia kushtadi na kupamba moto hitilafu na mzozo katika uhusiano wa pande mbili.
-
Kukosolewa hatua ya Imarati ya kuwapatia uraia Wazayuni
Jul 06, 2021 06:39Ikiwa ni katika mwendelezo wake wa kuimarisha uhusiano wake na utawala haramu wa Israel, serikali ya Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) imechukua hatua ya kuwapatia uraia Wazayuni.
-
Jihad Islami yalaani hatua ya Imarati ya kuwapa uraia Wazayuni 5,000
Jul 05, 2021 07:58Harakati ya Jihad Islami ya Palestina imelaani hatua ya Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) ya kuwapa uraia Wazayuni 5,000 wa Israel ikisema hatua hiyo ni fedheha na aibu nyingine kwa "serikali ya kisaliti ya Abu Dhabi iliyofanya mapatano na utawala katili wa Israel.
-
Imarati yatakiwa iwaachie huru makumi ya wanaharakati wa kisiasa
Jul 03, 2021 08:09Shirika moja la kutetea haki za binadamu lenye makao yake nchini Uingereza limeeleza wasi wasi wake juu ya kukandamizwa kwa wanaharakati wa haki za binadamu na jinsi wanavyoteswa wakiwa magerezani katika Umoja wa Falme za Kiarabu.
-
Imarati yawapa uraia maelfu ya Wazayuni ndani ya miezi 3
Jul 02, 2021 22:13Raia wapatao 5,000 wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamepewa uraia na Umoja wa Falme za Kiarabu katika kipindi cha miezi mitatu iliyopita.
-
Imarati yapiga marufuku raia wake kutembelea nchi 8 za Afrika
Jul 02, 2021 02:12Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) umewataka raia wake wasitembelee nchi 14 duniani nyingi zake zikiwa ni za barani Afrika kwa madai ya kuenea maambukizo ya kirusi cha corona.