-
Raisi: Kurushwa kwa mafanikio satalaiti "Nour 3" ni ishara nyingine ya kushindwa mradi wa vikwazo vya adui
Sep 28, 2023 04:22Rais wa Iran, Ebrahim Raisi, amepongeza kurushwa kwa mafanikio satalaiti Nour-3 katika obiti akikutaja kuwa ni ushindi wa taifa na ushahidi wa kushindwa mradi wa vikwazo na vitisho vya adui.
-
Jerusalem Post: Satalaiti ya "Nour 3" inaimarisha uwezo wa anga wa Iran
Sep 27, 2023 23:30Gazeti la Jerusalem Post la Israel limeandika kuwa, kurushwa angani Satalaiti Nour 3 ni sehemu ya mafanikio mapya ya kiteknolojia ambayo Iran inatumia kudhihirisha uwezo wake.
-
Iran yatilia mkazo kusitishwa hatua za mabavu dhidi ya nchi zinazostawi
Sep 27, 2023 12:56Mshauri Maalumu wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza umuhimu wa kubadilishwa hali na mazingira ya kimataifa kupitia kukomesha hatua za mabavu za upande mmoja dhidi ya nchi zinazostawi duniani.
-
Spika: Uanachama wa Iran katika BRICS una manufaa ya kisiasa na kiuchumi
Sep 26, 2023 10:22Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema kupewa uanachama Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kundi la BRICS kuna umuhimu mkubwa wa kisiasa, kiuchumi na hata kijiografia.
-
Idadi ya watalii wanaokuja Iran yaongezeka kwa asilimia 38
Sep 26, 2023 09:15Naibu Waziri wa Turathi za Kitamaduni, Utalii na Sanaa wa Iran amesema watalii wa kigeni zaidi ya milioni 3.3 waliitembelea Jamhuri ya Kiislamu katika nusu ya kwanza ya mwaka huu wa Kiirani 1402 (Machi 21-Septemba 22).
-
Raisi: Iran haina mpango wa kumiliki silaha za nyuklia
Sep 24, 2023 23:42Rais wa Iran amepuuzilia mbali madai ya madola ya Magharibi kwamba Jamhuri ya Kiislamu inataka kuunda silaha za nyuklia.
-
Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Russia na Uturuki wakutana New York kujadili mgogoro wa Syria
Sep 23, 2023 23:45Sambamba na juhudi zinazoendelea za kidiplomasia za kuushughulikia mgogoro wa Syria, mawaziri wa mambo ya nje wa Iran, Russia na Uturuki wamefanya mkutano wa pande tatu katika muktadha wa Mazungumzo ya Astana kwa ajili ya kujadili njia za kurejesha amani na utulivu katika nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Guterres apongeza azma ya Iran kutuma vikosi vyake kulinda amani duniani
Sep 23, 2023 04:14Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amekaribisha kwa mikono miwili pendekezo la Rais Ebrahim Raisi wa Iran la kuwa tayari wanajeshi wa Jamhuri ya Kiislamu kujiunga na vikosi vya kulinda amani kote duniani.
-
OIC: Kuimarika uhusiano wa Iran na nchi za eneo ni kwa maslahi ya umma wa Kiislamu
Sep 23, 2023 04:12Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC amesema kuimarika uhusiano wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na nchi za eneo la Asia Magharibi kutanufaisha ulimwengu wa Kiislamu.
-
Iran na Djibouti zakubaliana kufufua uhusiano wa kidiplomasia
Sep 23, 2023 00:38Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Djibouti wameafikiana juu ya kuhuisha uhusiano wa kidiplomasia wa Tehran na Asmara, kwa maslahi ya mataifa haya mawili.