-
Jeshi la Majini la Iran kufanya operesheni maalumu mwaka huu
Aug 16, 2022 03:20Kamanda wa Jeshi la Majini la Iran amesema vikosi vya baharini vya nchi hii vimejiandaa kikamilifu kufanya operesheni katika bahari yoyote ile duniani, na kwamba vinajiandaa kufanya operesheni maalumu kabla ya kumalizika mwaka huu wa Kiirani unaoisha Julai 22 mwaka 2023.
-
Ulyanov: Vikwazo dhidi ya Iran vitaondolewa karibuni
Aug 16, 2022 03:04Mwakilishi wa Kudumu wa Russia katika Taasisi za Kimataifa zenye makao yao mjini Vienna, Austria amesema yumkini vikwazo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vitaondolewa karibuni hivi.
-
Amir-Abdollahian: Leo tunakabidihi mapendekezo yetu ya mwisho katika JCPOA
Aug 15, 2022 07:57Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema, siku zijazo ni siku muhimu kuhusiana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na kwamba Tehran inasubiri uamuzi kutoka upande wa Marekani kuhusu maudhui ya tatu.
-
Kani: Israel inakoseshwa usingizi na kizazi kipya cha Wapalestina
Aug 14, 2022 03:00Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusika na masuala ya kisiasa amesema kuwaua watoto wa Kipalestina kumegeuka na kuwa jambo la kawaida kwa utawala wa Kizayuni wa Israel, na umwagaji damu huo unadhihirisha wazi kuwa Wazayuni wanakiogopa kizazi kipya cha Wapalestina.
-
Abdollahian: Lugha ya vitisho dhidi ya Iran haitaambulia chochote
Aug 13, 2022 22:31Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Marekani inapaswa kufahamu kuwa, kutumia lugha ya vitisho dhidi ya taifa la Iran hakutakuwa na manufaa yoyote kwa Washington.
-
Marandi: Matukio kuhusu Bolton na Salman Rushdie yanatia shaka
Aug 13, 2022 06:41Mshauri wa timu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika mazungumzo ya uondoaji vikwazo huko Vienna ameshangazwa na sadfa ya matukio mawili ya hivi karibuni huko Marekani, na kuashiria kuwa yumkini matukio hayo yanafungamana na mazungumzo ya kujaribu kuhuisha makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.
-
Iran: Marekani haiwezi kuficha jinai zake kwa kuibua madai bandia
Aug 12, 2022 21:02Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kitendo cha Marekani cha kuibua tuhuma na madai yasiyo na msingi wala mashiko yoyote hakiwezi kuficha wala kuhalalisha jinai za serikali ya Washington.
-
China: Vikwazo vya US vimeisababishia Iran hasara ya dola bilioni 200
Aug 12, 2022 21:00China imesema vikwazo haramu na vya upande mmoja vya Marekani dhidi ya Iran vimelisababishia taifa hili la Kiislamu hasara ya mabilioni ya dola.
-
Jeshi la Majini la Iran lazima shambulio la maharamia Bahari Nyekundu
Aug 11, 2022 03:24Jeshi la Majini la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limetangaza kuwa makomandoo wa jeshi hilo wamezima hujuma ya maharamia dhidi ya meli ya kibiashara ya Iran katika Bahari Nyekundu.
-
Iran yajitenga na madai ya kijuba ya kutaka kumuua Bolton
Aug 11, 2022 02:54Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imepinga madai ya kiwendawazimu na yasiyo na msingi yaliyotolewa na serikali ya Washington ikidai kuwa raia mmoja wa nchi hii alikula njama ya kumuua John Bolton, mshauri wa zamani wa Usalama wa Kitaifa wa Ikulu ya White House ya Marekani.