Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Ujumbe wa Mapinduzi ya Kiislamu ni kurejea katika umaanawi na maadili mema

    Ujumbe wa Mapinduzi ya Kiislamu ni kurejea katika umaanawi na maadili mema

    Jun 04, 2021 03:35

    Ujumbe muhimu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ni kutoa wito kwa dunia ya sasa irejee katika umaanawi na maadili mema.

  • Qatar: Mazungumzo na Iran kwa ajili ya kuleta maelewano katika eneo ni kitu cha udharura

    Qatar: Mazungumzo na Iran kwa ajili ya kuleta maelewano katika eneo ni kitu cha udharura

    Jun 01, 2021 06:16

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Qatar amesema kuwa Doha iko tayari kuchukua nafasi ya upatanishi baina ya madola makubwa ya eneo hili na kwamba mazungumzo na Iran kwa ajili ya kuleta maelewano katika eneo hili ni kitu cha dharura.

  • Iran kuongeza uzalishaji wa mafuta hadi mapipa milioni 6.5 kwa siku

    Iran kuongeza uzalishaji wa mafuta hadi mapipa milioni 6.5 kwa siku

    Jun 01, 2021 03:33

    Waziri wa Mafuta wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema taifa hili limeazimia kuongeza kiwango cha uzalishaji wa mafuta yake.

  • Iran, China na Russia zashauriana kuhusu mazungumzo yajayo ya JCPOA

    Iran, China na Russia zashauriana kuhusu mazungumzo yajayo ya JCPOA

    May 31, 2021 22:22

    Mwakilishi wa Russsia katika taasisi za kimataifa zenye makao mjini Vienna nchini Austria amesema kuwa jumbe za Iran, China na Russia zimejadiliana huko Vienna kuhusu hatua mazungumzo yajayo ya JCPOA.

  • Rais Rouhani: Tunatumai uhusiano wetu na Ethiopia utaimarika zaidi

    Rais Rouhani: Tunatumai uhusiano wetu na Ethiopia utaimarika zaidi

    May 28, 2021 08:17

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema anatumai kuwa uhusiano wa pande mbili wa nchi hii na Ethiopia utaboreka na kuimarika zaidi.

  • Maprofesa wa Iran wataka kuhitimishwa jinai za utawala wa Kizayuni

    Maprofesa wa Iran wataka kuhitimishwa jinai za utawala wa Kizayuni

    May 26, 2021 23:07

    Maprofesa wa Vyuo Vikuu vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wametoa mwito wa kuhitimishwa mara moja jinai zote zinazofanywa na wanajeshi wa utawala haramu wa Israel na walowezi wa Kizayuni dhidi wananchi madhulumu wa Palestina.

  • Umoja wa Ulaya wakaribisha kurefushwa makubaliano ya kiufundi kati ya Iran na IAEA

    Umoja wa Ulaya wakaribisha kurefushwa makubaliano ya kiufundi kati ya Iran na IAEA

    May 26, 2021 03:59

    Enrique Mora Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Ulaya Kuhusu Hatua za Kigeni amekaribisha makubaliano ya kiufundi yaliyofikiwa hivi karibuni kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia IAEA na kuyataja kuwa 'makuabaliano mazuri.' Amesema makubaliano hayo yataandaa uwanja unaofaa kwa ajili ya kufikiwa mapatano ya kuridhisha mjini Vienna.

  • Rouhani: Taifa la Iran limeibuka na unshindi katika vita ya kiuchumi

    Rouhani: Taifa la Iran limeibuka na unshindi katika vita ya kiuchumi

    May 23, 2021 06:24

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa taifa la Iran limeibuka na ushindi katika vita ya kiuchumi.

  • Ijumaa, 21 Mei, 2021

    Ijumaa, 21 Mei, 2021

    May 20, 2021 21:43

    Leo ni Ijumaa tarehe 9 Mfunguo Mosi Shawwal 1442 Hijiria sawa na Mei 21 mwaka 2021.

  • Maandamano yafanyika Tehran kulaani jinai za utawala wa Israel huko Ghaza

    Maandamano yafanyika Tehran kulaani jinai za utawala wa Israel huko Ghaza

    May 19, 2021 22:04

    Maandamano yamefanyika mjini Tehran kulaani jinai zinazoendelea kufanywa na utawala katili wa Israel dhidi ya Wapalestina wasio na hatia katika Ukanda wa Ghaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS