Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Jumapili, tarehe  29 Machi, 2020

    Jumapili, tarehe  29 Machi, 2020

    Mar 28, 2020 21:50

    Leo ni Jumapili tarehe 4 Sha'aban, 1441 Hijria, sawa na tarehe 29 Machi 2020 Miladia.

  • Marekani yakataa kuachia fedha za Iran za kuiwezesha kukabiliana na corona

    Marekani yakataa kuachia fedha za Iran za kuiwezesha kukabiliana na corona

    Mar 28, 2020 03:43

    Marekani imekataa katika mazingira haya tete ya janga la corona kuachia mali na fedha za Iran zitakazoiwezesha Jamhuri ya Kiislamu kukabiliana na kirusi hicho angamizi.

  • Vikwazo vipya vya Marekani; sisitizo la Washington la kuendeleza sera ya mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa dhidi ya Iran

    Vikwazo vipya vya Marekani; sisitizo la Washington la kuendeleza sera ya mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa dhidi ya Iran

    Mar 28, 2020 01:47

    Licha ya matakwa na mashinikizo ya kimtaifa ya kuondolewa vikwazo vya upande mmoja vya Marekani dhidi ya Iran hasa kwa kuzingatia mlipuko wa virusi vya corona na kuweko ulazima wa kukabiliana navyo, lakini serikali ya Washington inasisitiza kuendeleza utendaji wake usio wa kiutu na kibinadamu.

  • Zaidi ya watu 11 elfu wapata nafuu baada ya kuugua COVID-19 nchini Iran

    Zaidi ya watu 11 elfu wapata nafuu baada ya kuugua COVID-19 nchini Iran

    Mar 27, 2020 09:05

    Wizara ya Afya ya Iran imetangaza kuwa, hadi leo Ijumaa mchana, watu 11 elfu na 133 walikuwa wameshapata nafuu na kuruhusiwa kurejea nyumbani kutoka hospitalini hapa nchini baada ya kuugua ugonjwa wa COVID-19.

  • Ombi la nchi 8 kwa Umoja wa Mataifa kuhusu kuondolewa vikwazo dhidi ya Iran

    Ombi la nchi 8 kwa Umoja wa Mataifa kuhusu kuondolewa vikwazo dhidi ya Iran

    Mar 27, 2020 05:25

    Kuendelea vikwazo vya kidhalimu na vilivyo dhidi ya ubinadamu vya Marekani dhidi ya Iran katika fremu ya mashinikizo ya juu kabisa ya utawala wa Trump katika kipindi hiki cha kuenea ugonjwa wa COVID-19 au corona nchini Iran sambamba na udharura wa kukabiliana na ugonjwa huo angamizi kumepelekea jamii ya kimataifa iwasilishe maombi ya kutaka vikwazo hivyo viondolewa mara moja.

  • IRGC: Iran inaweza kuisaidia Marekani kupambana na corona, lakini haihitaji msaada wao

    IRGC: Iran inaweza kuisaidia Marekani kupambana na corona, lakini haihitaji msaada wao

    Mar 27, 2020 03:45

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema mfumo wa afya hapa nchini ni madhubuti na kwamba Iran inaweza kuisaidia Marekani kukabiliana na mripuko wa virusi vya corona, lakini taifa hili halihitaji msaada wowote kutoka kwa watawala wa Washington.

  • Kuendelea vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran katika kivuli cha Corona

    Kuendelea vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran katika kivuli cha Corona

    Mar 27, 2020 03:28

    Katika radiamali yake dhidi ya msimamo wa hivi karibuni wa Mike Pompeo, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani juu ya kuendelea mashinikizo ya juu zaidi ya Washington dhidi ya Tehran, Muhammad Jawad Zarif, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemtaja waziri huyo wa Marekani kuwa 'waziri wa chuki'.

  • Zarif: Janga la corona halisazi taifa lolote, hata Marekani inaomba msaada

    Zarif: Janga la corona halisazi taifa lolote, hata Marekani inaomba msaada

    Mar 26, 2020 22:33

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameiasi Marekani kubadili mienendo yake ili mripuko wa ugonjwa wa covid-19 ambalo ni janga la kimataifa lisilochagua taifa, usigeuke na kuwa mgogoro wa daima.

  • Ijumaa, Machi 27, 2020

    Ijumaa, Machi 27, 2020

    Mar 26, 2020 22:03

    Leo ni Ijumaa tarehe Pili Shaaban mwaka 1441 Hijria sawa na Machi 27 Mwaka 2020.

  • Rouhani atangaza mikakati mipya ya kukabili corona Iran, waliopona ni zaidi ya 10,000

    Rouhani atangaza mikakati mipya ya kukabili corona Iran, waliopona ni zaidi ya 10,000

    Mar 26, 2020 07:35

    Rais Hassan Rouhani wa Iran ametangaza mipango na mikakati mipya ya kudhibiti maambukizi ya kirusi cha corona hapa nchini ndani ya wiki mbili zijazo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS