Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Kamanda Mousavi: Wananchi, wanajeshi wa Iran watasimama na Qatar

    Kamanda Mousavi: Wananchi, wanajeshi wa Iran watasimama na Qatar

    Sep 12, 2025 00:18

    Mkuu wa Kamandi ya Majeshi ya Iran amesema kuwa serikali, taifa na vikosi vya kijeshi vya Qatar vinapaswa kujua kwamba, Jamhuri ya Kiislamu na jeshi lake litaendelea kusimama upande wao hadi mwisho.

  • Marais wa Iran na Misri wahimiza umoja dhidi ya uvamizi wa Israel

    Marais wa Iran na Misri wahimiza umoja dhidi ya uvamizi wa Israel

    Sep 11, 2025 03:53

    Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa mashambulizi ya anga ya Israel dhidi ya Doha yanadhihirisha kutozingatiwa kanuni na mifumo ya kimataifa.

  • Araqchi: IAEA ‘imeridhishwa kikamilifu’ na makubaliano ya ushirikiano

    Araqchi: IAEA ‘imeridhishwa kikamilifu’ na makubaliano ya ushirikiano

    Sep 11, 2025 03:51

    Abbas Araqchi Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameeleza kuwa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia (IAEA) umeridhishwa kikamilifu na vipengee vya makubaliano yaliyofikiwa karibuni kati ya wakala huo na Jamhuri ya Kiislamu.

  • Pezeshkian: Ugaidi wa kuwalenga viongozi wa Hamas Doha umeanika sura halisi ya Israel

    Pezeshkian: Ugaidi wa kuwalenga viongozi wa Hamas Doha umeanika sura halisi ya Israel

    Sep 10, 2025 03:44

    Rais Masoud Pezeshkian wa Iran ameulaani vikali utawala haramu wa Israel kwa kitendo chake 'haramu, cha kinyama na kinacholenga kuvuruga amani ya eneo,' baada ya utawala huo wa Kizayuni kushambulia ardhi ya Qatar na kuwaua shahidi viongozi kadhaa wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas.

  • Iran na IAEA zaafikiana kurejesha ushirikiano; Araghchi aonya

    Iran na IAEA zaafikiana kurejesha ushirikiano; Araghchi aonya

    Sep 10, 2025 03:10

    Iran na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) zimefikia makubaliano yenye lengo la kuandaa njia ya kurejesha ushirikiano kati ya pande hizo mbili.

  • Iran yapongeza mazungumzo 'yenye tija' ya Araghchi na Kallas, yaihimiza EU iachane na mtazamo wa makabiliano

    Iran yapongeza mazungumzo 'yenye tija' ya Araghchi na Kallas, yaihimiza EU iachane na mtazamo wa makabiliano

    Sep 09, 2025 07:36

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema, mkutano wa Waziri wa Mambo ya Nje Abbas Araghchi na Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya Kaja Kallas ulikuwa wenye tija, na kubainisha kuwa hoja na rai mbalimbali ziliwasilishwa katika mazungumzo yao.

  • Pezeshkian: Mipaka ya kijiografia kamwe haiwezi kuyatenganisha mataifa mawili ndugu ya Iran na Iraq

    Pezeshkian: Mipaka ya kijiografia kamwe haiwezi kuyatenganisha mataifa mawili ndugu ya Iran na Iraq

    Sep 08, 2025 04:06

    Rais wa Iran ameutaja uhusiano kati ya mataifa mawili na nchi mbili za Iran na Iraq chini ya kivuli cha mifungamano ya kidini na kiutamaduni kuwa mkubwa na wa kihistoria na kusisitiza kuwa mipaka ya kijiografia kamwe haiwezi kutenganisha mataifa haya mawili ndugu.

  • Araghchi: Iran na IAEA zinakaribia kuunda fremu mpya ya ushirikiano

    Araghchi: Iran na IAEA zinakaribia kuunda fremu mpya ya ushirikiano

    Sep 06, 2025 23:20

    Iran imesema imekaribia sana kubuni mfumo mpya wa ushirikiano baina yake na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA), miezi kadhaa baada ya mashambulizi ya anga ya Israel na Marekani dhidi ya vituo vya nyuklia vya nchi hii kuipelekea Tehran kusimamisha ushirikiano wake na taasisi hiyo ya Umoja wa Mataifa.

  • Jeshi la Majini la Iran lipo Afrika Kusini kujadili luteka ijayo ya BRICS

    Jeshi la Majini la Iran lipo Afrika Kusini kujadili luteka ijayo ya BRICS

    Sep 06, 2025 08:31

    Mkutano wa kujadili mazoezi ya pamoja ya kijeshi ya baharini ya nchi wanachama wa BRICS umefanyika katika mji bandari wa Cape Town nchini Afrika Kusini, kwa kushirikisha wawakilishi kutoka nchi sita, ikiwa ni pamoja na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Sambamba na kuanza duru mpya ya mazungumzo, Iran yatilia mkazo diplomasia katika kadhia ya nyuklia

    Sambamba na kuanza duru mpya ya mazungumzo, Iran yatilia mkazo diplomasia katika kadhia ya nyuklia

    Sep 06, 2025 03:31

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Sayyid Abbas Araghchi amesema Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa linapaswa liidhinishe juhudi za kidiplomasia katika kushughulikia mpango wa nyuklia wa Tehran na kukomesha vitendo vya "kinyume na sheria" vya Ulaya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS