Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Pezeshkian: Migawanyiko kati ya mataifa ya Kiislamu inainufaisha Israel pekee

    Pezeshkian: Migawanyiko kati ya mataifa ya Kiislamu inainufaisha Israel pekee

    Aug 25, 2025 07:30

    Rais wa Iran amesema umoja wa wananchi wa Iran na katika mataifa yote ya Kiislamu ndiyo kinga kuu dhidi ya vitisho vya maadui, akionya kuwa migawanyiko ni kwa maslahi ya Israel pekee.

  • Iran na Ulaya kuendelea na mazungumzo ya nyuklia mjini Geneva

    Iran na Ulaya kuendelea na mazungumzo ya nyuklia mjini Geneva

    Aug 25, 2025 07:03

    Iran na nchi tatu zenye nguvu za Ulaya - Ujerumani, Ufaransa na Uingereza - zinatazamiwa kuanza tena mazungumzo ya nyuklia huko Geneva, Uswisi siku ya Jumanne, yakiangazia maswala ya nyuklia na uondoaji wa vikwazo.

  • Kiongozi Muadhamu: Iran itasimama kidete dhidi ya matakwa ya Marekani

    Kiongozi Muadhamu: Iran itasimama kidete dhidi ya matakwa ya Marekani

    Aug 24, 2025 09:35

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema Marekani inahujumu na kukabiliana na Iran kwa sababu inataka taifa hili liwe tiifu kwake, lakini wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu watapambana vikali na “tusi hilo kubwa”.

  • IRGC: Uhusiano wa kina kati ya serikali, wananchi na vikosi vya ulinzi ni dhamana ya Iran yenye nguvu

    IRGC: Uhusiano wa kina kati ya serikali, wananchi na vikosi vya ulinzi ni dhamana ya Iran yenye nguvu

    Aug 24, 2025 07:25

    Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) limeashiria umuhimu wa uhusiano wa kina uliopo kati ya serikali, taifa na vikosi vya ulinzi likiutaja kuwa muhimu kwa ajili ya kuwa na nchi yenye nguvu na iliyoendelea. Jeshi la IRGC aidha limesisitiza dhamira yake ya kuimarisha uwezo wa kiulinzi na usalama kwa kuzingatia vitisho vilivyopo.

  • Iran: Tutatumia zana mpya iwapo adui ataanzisha tena uchokozi

    Iran: Tutatumia zana mpya iwapo adui ataanzisha tena uchokozi

    Aug 23, 2025 03:33

    Waziri wa Ulinzi wa Iran, Brigedia Jenerali Aziz Nasirzadeh amesisitiza kuwa, iwapo maadui watafanya uchokozi mwingine dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu, bila shaka majeshi ya nchi hii yatatumia vifaa, silaha na zana za kijeshi ambazo hazijawahi kutumiwa kufikia sasa.

  • Iran yaionya Ulaya juu ya matokeo mabaya ya kuamilisha 'snapback'

    Iran yaionya Ulaya juu ya matokeo mabaya ya kuamilisha 'snapback'

    Aug 23, 2025 02:46

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi ameionya Ulaya juu ya matokeo mabaya ya kuamilisha "utaratibu wa snapback", akisisitiza kwamba Troika ya Ulaya (Uingereza, Ufaransa, na Ujerumani) pamoja na Umoja wa Ulaya hazina haki ya kisheria na ya kimaadili ya kutumia utaratibu huo.

  • Mkuu wa Jeshi: Iran itatoa 'jibu kali la kusagasaga zaidi' kwa uchokozi wowote mpya wa adui

    Mkuu wa Jeshi: Iran itatoa 'jibu kali la kusagasaga zaidi' kwa uchokozi wowote mpya wa adui

    Aug 22, 2025 08:20

    Mkuu wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu Iran Meja Jenerali Amir Hatami amesisitiza kuwa Vikosi vya Ulinzi vimejiweka tayari kutoa jibu kwa wavamizi ambalo ni la "kusagasaga zaidi" kuliko lile lililoonekana wakati wa uchokozi uliofanywa na utawala haramu wa kizayuni wa Israel na Marekani dhidi ya taifa hili.

  • Pezeshkian: Iran, Belarus zimesimama kidete kukabiliana na ubeberu wa US

    Pezeshkian: Iran, Belarus zimesimama kidete kukabiliana na ubeberu wa US

    Aug 20, 2025 09:03

    Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian amesema Marekani na baadhi ya washirika wake wa Magharibi wanalenga kupanua ubeberu na msimamo wa upande mmoja duniani kote, sambamba na kuyaburuza mataifa mengine, akisisitiza kwamba si Iran wala Belarus itavumilia muenendo huo.

  • Komandi ya jeshi ya ngazi ya juu ya Iran: Vikosi vya ulinzi viko tayari kuzima vitisho vyovyote

    Komandi ya jeshi ya ngazi ya juu ya Iran: Vikosi vya ulinzi viko tayari kuzima vitisho vyovyote

    Aug 20, 2025 08:43

    Kamandi ya jeshi ya ngazi ya juu ya Iran imesisitiza utayarifu kamili wa jeshi la nchi hii katika kupambana na vitendo vyovyote vya uchokozi vinavyoweza kufanywa na maadui dhidi ya ardhi ya Iran.

  • Iran na Armenia zatia saini hati 10 za maelewano wakati wa ziara muhimu ya Pezeshkian

    Iran na Armenia zatia saini hati 10 za maelewano wakati wa ziara muhimu ya Pezeshkian

    Aug 19, 2025 08:06

    Iran na Armenia zimetia saini hati 10 za maelewano kuhusu ushirikiano wa nchi hizo katika nyanja zote wakati wa ziara muhimu ya kiserikali ya Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran huko Armenia. Lengo la ziara hiyo limetajwa kuwa ni kuimarisha uhusiano kati ya nchi mbili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS