Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Kwa nini Trump ana vigezo vya kibaguzi kuhusu suala la nyuklia?

    Kwa nini Trump ana vigezo vya kibaguzi kuhusu suala la nyuklia?

    May 26, 2025 02:14

    Siku ya Ijumaa, Mei 23, Rais Donald Trump wa Marekani alitia saini dikri mpya kadhaa zinazolenga kuongeza uwezo wa uzalishaji wa nishati ya nyuklia, kupunguza kanuni za udhibiti na kupanua sekta ya urutubishaji wa madini ya urani nchini humo.

  • Iran yaitaka Vatican ichukue hatua za haraka kukomesha mauaji ya kimbari Gaza

    Iran yaitaka Vatican ichukue hatua za haraka kukomesha mauaji ya kimbari Gaza

    May 24, 2025 07:10

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, katika mkutano na maafisa wa Makao Makuu ya Kanisa Katoliki Duniani, Vatican huko mjini Rome, ametoa wito wa kuchukuliwa hatua za haraka za kimataifa kukomesha uhalifu unaoendelea kufanyika Gaza, na kuhakikisha misaada ya kibinadamu inafika katika eneo hilo lililozingirwa.

  • Kamandi ya Majeshi la Iran: Uchokozi wowote utakabiliwa na jibu kali

    Kamandi ya Majeshi la Iran: Uchokozi wowote utakabiliwa na jibu kali

    May 24, 2025 02:34

    Vikosi vya Jeshi la Iran vimetoa taarifa vikisisitiza kuwa, vitatoa majibu thabiti dhidi ya vitisho vya utawala wa Kizayuni wa Israel na Marekani.

  • UNHCR yaipongeza Iran kwa kuhudumia vyema wakimbizi

    UNHCR yaipongeza Iran kwa kuhudumia vyema wakimbizi

    May 24, 2025 02:34

    Kamishna Mkuu wa Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa wa (UNHCR) ameipongeza Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kuhudumia vyema wakimbizi.

  • Khatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Iran haitaachana na haki yake ya teknolojia ya nyuklia

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Iran haitaachana na haki yake ya teknolojia ya nyuklia

    May 23, 2025 12:13

    Imam wa muda wa Swala ya Ijumaa hapa Tehran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haitasalimu amri na kuachana na haki yake isiyoweza kupokonywa ya matumizi ya amani ya teknolojia ya nyuklia.

  • Jenerali Baqeri: Vikosi vya Iran havitasita kujibu vitisho vya maadui

    Jenerali Baqeri: Vikosi vya Iran havitasita kujibu vitisho vya maadui

    May 23, 2025 06:26

    Mkuu wa Vikosi vya Majeshi ya Iran amesema wanajeshi wa nchi hii hivi sasa wanatengeneza aina mbalimbali za ndege zisizo na rubani na ndege ndogo, akionya kwamba Jamhuri ya Kiislamu itajibu vitisho vyovyote vya maadui kwa jibu lenye mlingano sawa.

  • "Iwapo maadui wangeliamini Iran inaweza kushindwa, wasingejadiliana"

    May 23, 2025 03:00

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi amesisitiza kuwa, jukumu la msingi la wizara hiyo ni kujitahidi kuondosha vikwazo na kuongeza kuwa, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje anayesimamia Diplomasia ya Kiuchumi na balozi za Iran nje ya nchi zinapaswa kuwezesha mchakato huo na kuondolewa vikwazo vyote dhidi ya taifa hili.

  • Wabunge wa Iran walaani hatua ya Bunge la UK kuitambua IRGC kuwa 'kundi la kigaidi'

    Wabunge wa Iran walaani hatua ya Bunge la UK kuitambua IRGC kuwa 'kundi la kigaidi'

    May 21, 2025 02:27

    Wabunge wa Iran wamelaani vikali hatua ya wabunge wa Bunge la Uingereza ya kuliorodhesha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kuwa shirika la kigaidi, wakiapa kuchukua hatua za kisheria za kujibu mapigo.

  • Ahmadian: Iran na Pakistan hazitaruhusu usalama wa kikanda kutumiwa vibaya na maadui

    Ahmadian: Iran na Pakistan hazitaruhusu usalama wa kikanda kutumiwa vibaya na maadui

    May 20, 2025 06:23

    Afisa usalama wa ngazi ya juu wa Iran amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Pakistan kamwe hazitaruhusu usalama wa kanda hii kutumiwa vibaya na maadui.

  • "Makubaliano na US yanaweza kufikiwa Washington ikiacha mashinikizo"

    May 19, 2025 07:26

    Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian amesema mlango wa kufikia makubaliano na Marekani upo wazi iwapo Washington itaachana na tabia yake ya uonevu na sera zake za mashinikizo na kuiburuza Tehran katika mazungumzo kuhusu mpango wa nyuklia wa Jamhuri ya Kiislamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS