-
Iran kutoa jibu kali kwa wauaji wa wanafunzi 150
Mar 01, 2026 07:28Viongozi wa Iran wamelaani vikali shambulio la anga la utawala katili wa Israel dhidi ya shule ya msingi ya wasichana katika mji wa Minab, ulioko katika mkoa wa Hormozgan, kusini mwa Iran, lililopelekea kuuawa shahidi wanafunzi zaidi ya 150.
-
Spika wa Iran: Israel, US zimekanyaga mstari wetu mwekundu
Mar 01, 2026 06:37Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran), Mohammad Bagher Ghalibaf amesema Rais wa Marekani, Donald Trump na Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni, Benjamin Netanyahu wamevuka mstari mwekundu wa Jamhuri ya Kiislamu, na watalipa gharama kubwa kwa jinai hiyo.
-
Mamilioni ya Wairani wamuomboleza Kiongozi Muadhamu; taifa lazizima
Mar 01, 2026 06:14Wananchi wa Iran wamemiminika mitaani na katika medani mbali mbali kumuomboleza Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, aliyeuawa shahidi katika shambulizi la kigaidi la Marekani na utawala haramu wa Israel.
-
Larijani: Taifa la Iran litawafanya maadui wajutie uchokozi wao
Mar 01, 2026 05:50Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran, Ali Larijani amesema taifa hili litazifanya Marekani na Israel kujutia uchokozi wao dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.
-
Wimbi jipya la upinzani dhidi ya vita nchini Marekani; dalili ya kudhoofika zaidi Trump
Feb 28, 2026 05:41Kadiri matamshi ya kivita yanavyozidi kutoka kwa Rais wa Marekani, Donald Trump, pamoja na baadhi ya maafisa wa utawala wake, wimbi jipya la upinzani dhidi ya uwezekano wa a vita vya kichochezi vya Marekani dhidi ya Iran limeanza kushika kasi.
-
Iran: Mafanikio ya mazungumzo ya nyuklia yanategemea kuwa jadi Marekani
Feb 28, 2026 02:29Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi amesisitiza kwamba, mazungumzo ya nyuklia yasiyo ya moja kwa moja kati ya Jamhuri ya Kiislamu na Marekani yatafanikiwa tu iwapo Washington itayachukuliwa kwa uzito na kuzingatia uhalisia wa mambo.
-
Iran: Kutochukua hatua Baraza la Usalama dhidi ya jinai za Israel ni 'janga'
Feb 28, 2026 02:22Iran imelishutumu Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwa kufumbia macho mashambulizi mabaya yaliyofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Lebanon, ambayo yanakiuka makubaliano ya kusitisha mapigano ya 2024.
-
Sera ya kikanda ya Iran: Imejikita katika kudumisha amani, utulivu na kutotegemea madola nje ya eneo
Feb 27, 2026 07:15Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza katika mazungumzo na Waziri wa Ulinzi wa Armenia kuhusu azma ya Iran ya kustawisha na kuimarisha uhusiano wa pande mbilii na majirani zake hasa Armenia.
-
Araghchi: Marekani inapaswa kuacha misimamo ya kukinzana
Feb 26, 2026 06:23Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Sayyid Abbas Araghchi amesema kwamba mafanikio ya mazungumzo yatategemea upande wa pili kuyachukuliwa kwa uzito na kujiepusha na tabia na misimamo inayokinzana.
-
NGO iliyoanzishwa na CIA yakiri kuhusika na machafuko Iran
Feb 26, 2026 03:27Shirika lisilo la Kiserikali (NGO) Marekani National Endowment for Democracy (NED), ambalo lilianzishwa na shirika kuu la kijasusi nchini humo, CIA, limekiri kuwa lilitumia takriban vifaa 200 vya Starlink nchini Iran wakati wa machafuko ya hivi karibuni.