Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Umuhimu wa Mkutano wa Kimataifa wa Jukwaa la Mazungumzo ya Tehran

    Umuhimu wa Mkutano wa Kimataifa wa Jukwaa la Mazungumzo ya Tehran

    May 18, 2025 10:54

    Mkutano wa Kimataifa wa Jukwaa la Mazungumzo ya Tehran unafanyika kwa kuwashirikisha takriban wageni 200 kutoka nchi 53 duniani. Mkutano huo umefunguliwa rasmi mapema leo katika hafla iliyohudhuriwa na Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Waziri wa Mambo ya Nje, Abbas Araqchi.

  • Pezeshkian: Iran inafanya mazungumzo, lakini haigopi vitisho vyovyote

    Pezeshkian: Iran inafanya mazungumzo, lakini haigopi vitisho vyovyote

    May 17, 2025 10:30

    Rais Masoud Pezeshkian amesisitiza kuwa, Iran haitasalimu amri na kuachana na haki zake licha ya vitisho, akieleza kuwa Jamhuri ya Kiislamu haitaachana na mafanikio yake ya heshima katika nyanja yoyote ile, iwe kisayansi au kijeshi.

  • Iran: Israel iliundwa kwa damu; mauaji ya kimbari lazima yakomeshwe sasa

    Iran: Israel iliundwa kwa damu; mauaji ya kimbari lazima yakomeshwe sasa

    May 16, 2025 07:22

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imetoa taarifa kwa mnasaba wa Siku ya Nakba na kusema kwamba, utawala wa Kizayuni wa Israel "uliasisiwa katika msingi wa umwagaji damu" na kwamba jamii ya kimataifa ina wajibu wa kukomesha mauaji ya kimbari yanayoendelea huko Gaza.

  • Trump azitaka kampuni za US zitengeneze droni kama za Iran

    Trump azitaka kampuni za US zitengeneze droni kama za Iran

    May 16, 2025 07:01

    Rais wa Marekani, Donald Trump amesema ameziomba kampuni za Marekani kutengeneza ndege zisizo na rubani zinazofanana na droni za Iran, ambazo si ghali sana bali zina kasi ya juu na hatari.

  • Ansarullah: Iran imetekeleza wajibu wake wa Kiislamu kuiunga mkono Palestina

    Ansarullah: Iran imetekeleza wajibu wake wa Kiislamu kuiunga mkono Palestina

    May 16, 2025 06:52

    Kiongozi wa Harakati ya Muqawama ya Ansarullah ya Yemen ameipongeza Iran kwa uungaji mkono wake usio na kikomo kwa taifa la Palestina na kadhia yao halali na kueleza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu inafuata njia ya heshima katika suala hilo na nchi nyingine zote za Kiislamu lazima zifuate mkondo huo.

  • Iran kuishtaki

    Iran kuishtaki "Google" kwa kupotosha jina la "Ghuba ya Uajemi"

    May 15, 2025 04:05

    Kituo cha Kitaifa cha Anga za Juu cha Iran kimesema kitachukua hatua za kisheria dhidi ya kampuni ya Google ya Marekani na majukwaa mengine ya kimataifa kutokana na kupotoshwa kwa jina la kihistoria la Ghuba ya Uajemi.

  • Araghchi: Matamshi ya Trump juu ya Iran huko Riyadh ni ya

    Araghchi: Matamshi ya Trump juu ya Iran huko Riyadh ni ya "udanganyifu"

    May 15, 2025 03:10

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi amepuuzilia mbali matamshi ya Rais wa Marekani, Donald Trump kuhusu ustawi na maendeleo ya Iran kuwa ya "udanganyifu" akiashiria vikwazo vya Washington dhidi ya nchi hii kwa zaidi ya miongo minne.

  • Iran: Hakuna haja ya kuendelea na mazungumzo iwapo Marekani....

    Iran: Hakuna haja ya kuendelea na mazungumzo iwapo Marekani....

    May 14, 2025 11:30

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Kazem Gharibabadi amesisitiza kuwa haki ya Jamhuri ya Kiislamu ya kurutubisha madini ya urani ni "mstari mwekundu" wa taifa hili, akisisitiza kuwa, kufikiwa makubaliano na Marekani kuhusu mpango wa amani wa nyuklia wa nchi hii kunategemea kufuata kanuni hizo.

  • Baqaei: Kusimamisha miradi ya nyuklia ya Iran kimsingi si jambo linalojadiliwa katika mazungumzo na Marekani

    Baqaei: Kusimamisha miradi ya nyuklia ya Iran kimsingi si jambo linalojadiliwa katika mazungumzo na Marekani

    May 14, 2025 06:43

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa suala la kusimamisha miradi ya nyuklia ya Iran kimsingi halijadiliwi katika mazungumzo na Marekani na kwamba miradi yetu ya nyuklia bila shaka itaendelea kwa jadi.

  • Iran yailaani Israel kwa kupiga mabomu kambi za wakimbizi Palestina

    Iran yailaani Israel kwa kupiga mabomu kambi za wakimbizi Palestina

    May 14, 2025 02:47

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali mashambulizi ya hivi karibuni ya anga dhidi ya kambi za wakimbizi wa Kipalestina yaliyofanywa na utawala ghasibu wa Israel na kusababisha kuuawa shahidi na kujeruhiwa makumi ya Wapalestina wasio na hatia wakiwemo watoto wadogo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS