Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • NGO iliyoanzishwa na CIA yakiri kuhusika na machafuko Iran

    NGO iliyoanzishwa na CIA yakiri kuhusika na machafuko Iran

    Feb 26, 2026 03:27

    Shirika lisilo la Kiserikali (NGO) Marekani National Endowment for Democracy (NED), ambalo lilianzishwa na shirika kuu la kijasusi nchini humo, CIA, limekiri kuwa lilitumia takriban vifaa 200 vya Starlink nchini Iran wakati wa machafuko ya hivi karibuni.

  • Mgongano wa wazi ndani ya Washington; kuanzia tuhuma hadi uthibitisho kwamba mpango wa nyuklia wa Iran ni wa amani

    Mgongano wa wazi ndani ya Washington; kuanzia tuhuma hadi uthibitisho kwamba mpango wa nyuklia wa Iran ni wa amani

    Feb 26, 2026 03:17

    Rais wa Marekani Donald Trump amekoleza maradufu moto wa kampeni yake ya kueneza sumu dhidi ya Iran kwa kurudia tena tuhuma hewa za kila mara kuhusu mpango wa nyuklia wa Tehran.

  • Wakati nguvu kubwa inapochukuliwa mateka pamoja na manowari zake

    Wakati nguvu kubwa inapochukuliwa mateka pamoja na manowari zake

    Feb 26, 2026 02:33

    Ingawa Marekani daima inapiga ngoma ya vita na kutishia kuishambulia Iran kwa kutuma manowari na zana nyingine nzito za kijeshi katika maji yaliyo karibu na Iran, lakini ukweli wa mambo unaashiria hali tofauti kabisa.

  • Iran na Gambia zapania kuimarisha uhusiano wa pande mbili

    Iran na Gambia zapania kuimarisha uhusiano wa pande mbili

    Feb 25, 2026 08:42

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi na mwenzake wa Gambia wamesisitiza haja ya kusimamisha uhusiano wa kirafiki kati ya nchi hizo mbili katika nyanja zote zenye maslahi ya pande mbili.

  • Kiongozi wa Wademocrat katika Bunge la US: Trump anasema uwongo kuhusu Iran

    Kiongozi wa Wademocrat katika Bunge la US: Trump anasema uwongo kuhusu Iran

    Feb 25, 2026 07:00

    Kiongozi wa wabunge wa chama cha Democratic katika Baraza la Wawakilishi la Marekani amesema, Rais wa Marekani Donald Trump anasema uwongo kuhusu Iran.

  • Mohajerani: Iran inafadhilisha diplomasia badala ya vita

    Mohajerani: Iran inafadhilisha diplomasia badala ya vita

    Feb 25, 2026 02:27

    Msemaji wa serikali ya Iran amesema, Jamhuri ya Kiislamu inafadhilisha diplomasia kuliko vita, lakini inaviona viwili hivyo kama mikakati ya kulinda maslahi ya taifa la Iran.

  • Iran yaiambia Marekani: Vikwazo na vita vimefeli; jaribu diplomasia na kuheshimiana

    Iran yaiambia Marekani: Vikwazo na vita vimefeli; jaribu diplomasia na kuheshimiana

    Feb 24, 2026 08:02

    Mwanadiplomasia wa ngazi ya juu wa Iran amesema kuwa wakati umefika kwa Marekani kuachana na vikwazo vyake "visivyo na matunda" na sera iliyofeli ya vita dhidi ya Iran, akitilia mkazo kuheshimiwa kikamilifu diplomasia kama njia pekee ya kupiga hatua.

  • Waziri wa Ulinzi: Uhusiano na nchi za Afrika za kimapinduzi na zenye misimamo huru utastawishwa

    Waziri wa Ulinzi: Uhusiano na nchi za Afrika za kimapinduzi na zenye misimamo huru utastawishwa

    Feb 24, 2026 02:31

    Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitizia kutekelezwa sera ya msingi ya kuendeleza na kustawisha uhusiano na nchi zenye misimamo huru na za kimapinduzi katika bara la Afrika Magharibi, hususan Burkina Faso.

  • 'Kichapo ni hakika kwa adui': Kamanda Mkuu wa Jeshi la Iran abeza madai ya adui ya kutoshindwa

    'Kichapo ni hakika kwa adui': Kamanda Mkuu wa Jeshi la Iran abeza madai ya adui ya kutoshindwa

    Feb 23, 2026 10:37

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Iran amebeza madai yanayotolewa na maadui ya kutoshindwa na kusema kuwa maadui hawakutarajia kuiona nchi hii ikionyesha umadhubuti wake mbele ya kuendelea kukusanya majeshi katika kanda hii.

  • Kamanda wa Iran apuuzilia mbali hatua ya US ya kutuma meli za kivita Asia Magharibi; asema ni ya kimaonyesho

    Kamanda wa Iran apuuzilia mbali hatua ya US ya kutuma meli za kivita Asia Magharibi; asema ni ya kimaonyesho

    Feb 23, 2026 03:40

    Kamanda wa jeshi la Iran amepuuzilia mbali mkusanyiko wa meli na ndege za kivita za Marekani katika eneo la Asia Magharibi zilizoshuhudiwa wiki chache za hivi karibuni na kuitaja kuwa hatua ya kimaonyesho" huku kukiwa na mvutano kuhusu mpango wa nyuklia wa Tehran na kwamba Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa jibu madhubuti kwa hila hizo za hali ya juu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS