Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Iran yatungua ndege 2 za kivita za Israel za F-35, yamkamata rubani

    Iran yatungua ndege 2 za kivita za Israel za F-35, yamkamata rubani

    Jun 14, 2025 07:05

    Kikosi cha Ulinzi wa Anga cha Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kimefanikiwa kutungua na kuteketeza ndege mbili za kivita za Israel aina ya F-35, na idadi kubwa ya ndege zisizo na rubani. Iran imekuwa nchi ya kwanza duniani kuweza kutungua ndege ya kijeshi ya F-35.

  • Jenerali Hatami ateuliwa kuwa Kamanda mpya wa Majeshi ya Iran

    Jenerali Hatami ateuliwa kuwa Kamanda mpya wa Majeshi ya Iran

    Jun 14, 2025 07:04

    Brigedia Jenerali Amir Hatami ameteuliwa na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, kuwa Kamanda Mkuu mpya wa Majeshi ya Iran.

  • Tehran: Mazungumzo ya nyuklia na US 'hayana maana' baada ya uvamizi wa Israel

    Tehran: Mazungumzo ya nyuklia na US 'hayana maana' baada ya uvamizi wa Israel

    Jun 14, 2025 06:49

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, mazungumzo na Marekani kuhusu mpango wa nyuklia wa Tehran "hayana maana" kufuatia mashambulizi ya kinyama ya Israel, huku akiishutumu Washington kwa kuunga mkono uchokozi huo.

  • Iran: EU ikishinikiza turejeshewa vikwazo vya UN, tutajitoa NPT

    Iran: EU ikishinikiza turejeshewa vikwazo vya UN, tutajitoa NPT

    Jun 12, 2025 02:53

    Iran imeonya kwamba, huenda ikatumia haki yake ya kisheria ya kujiondoa kwenye Mkataba wa Kuzuia Uzalishaji na Uenezaji wa Silaha za Nyuklia (NPT) ikiwa mataifa ya Ulaya yataendelea na jaribio lisilo na msingi wa kisheria la kuamilisha mchakato wa kurejeshwa vikwazo vya Umoja wa Mataifa dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.

  • Je, mashirikiano ya Iran na Afrika yataimarika vipi?

    Je, mashirikiano ya Iran na Afrika yataimarika vipi?

    Jun 12, 2025 02:09

    Katika kikao chao na Abbas Araqchi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, mabalozi wa Senegal na Sierra Leone wamesisitiza utayari wa nchi za Kiafrika kwa ajili ya kuendeleza ushirikiano wa kiuchumi na kibiashara na Iran.

  • Iran: Tutapiga vituo vya siri vya nyuklia vya Israel iwapo tutashambuliwa

    Iran: Tutapiga vituo vya siri vya nyuklia vya Israel iwapo tutashambuliwa

    Jun 10, 2025 03:03

    Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran (SNSC) limeonya kuwa, Jamhuri ya Kiislamu itavishambulia vituo vya siri vya nyuklia vya Israel iwapo utawala huo wa Kizayuni utafanya kitendo chochote cha uchokozi dhidi ya taifa hili.

  • Iran: Ni kwa manufaa ya US kulichukulia kwa uzito pendekezo letu

    Iran: Ni kwa manufaa ya US kulichukulia kwa uzito pendekezo letu

    Jun 09, 2025 11:29

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmaeil Baghaei amesema Tehran hivi karibuni itawasilisha pendekezo lake kuhusu makubaliano ya nyuklia kupitia Oman, akitoa wito kwa Washington kutopoteza fursa hii, na kulichukulia kwa uzito pendekezo la Jamhuri ya Kiislamu.

  • Iran: Vikwazo vya US dhidi ya majaji wa ICC vinakirihisha

    Iran: Vikwazo vya US dhidi ya majaji wa ICC vinakirihisha

    Jun 09, 2025 02:49

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmaeil Baqaei amekosoa vikali hatua ya Marekani ya kuwawekea vikwazo majaji wanne wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kutokana na uchunguzi wao juu ya uhalifu wa kivita uliofanywa na Israel huko Gaza na Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Iran, Imarati zasisitiza haja ya Waislamu kote duniani kuwa na umoja

    Iran, Imarati zasisitiza haja ya Waislamu kote duniani kuwa na umoja

    Jun 07, 2025 07:00

    Rais Masoud Pezeshkian wa Iran na Kiongozi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), Sheikh Mohammed bin Zayed Al Nahyan wametoa wito wa umoja wa Waislamu.

  • Pezeshkian: Umoja wa mataifa ya Kiislamu ni wajibu wa kidini na kistratajia

    Pezeshkian: Umoja wa mataifa ya Kiislamu ni wajibu wa kidini na kistratajia

    Jun 05, 2025 06:54

    Rais Masoud Pezeshkian wa Iran, amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu inatazama umoja na mshikamano miongoni mwa mataifa ya Kiislamu kuwa ni wajibu wa kidini na wa kimkakati.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS