Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iraq

  • Syria yasisitiza ulazima wa kuweko umoja kwa ajili ya kukabilianan na ugaidi

    Syria yasisitiza ulazima wa kuweko umoja kwa ajili ya kukabilianan na ugaidi

    Jan 22, 2021 08:18

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Syria imelaani mashambulio ya kigaidi yaliyotokea jana katika mji mkuu wa Iraq Baghdad na kusisitiza ulazima wa kuweko umoja na mshikamano wa kimataifa kwa ajili ya kupambana na ugaidi.

  • Miripuko Iraq, muungano wa

    Miripuko Iraq, muungano wa "Daulat al Qanun" wataka kuangaliwa upya mikakati ya ulinzi Iraq

    Jan 22, 2021 03:55

    Muungano wa "Daulat al Qanun" umelaani vikali miripuko ya kigaidi iliyotokea jana katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad na kutaka kuangaliwa upya mipango na mikakati ya kulinda usalama wa maeneo yote ya nchi hiyo.

  • Radiamali na sababu za pendekezo la kuakhirishwa uchaguzi wa bunge nchini Iraq

    Radiamali na sababu za pendekezo la kuakhirishwa uchaguzi wa bunge nchini Iraq

    Jan 20, 2021 09:20

    Tume ya Uchaguzi nchini Iraq imetaka kuakhirishwa kwa miezi minne uchaguzi wa bunge wa nchi hiyo na badala ya kufanyika mwezi Juni, uitishwe mwezi Oktoba mwaka huu wa 2021.

  • Mkuu wa Al-Hashdu-Sha'abi: Askari wa Marekani lazima waondoke Iraq

    Mkuu wa Al-Hashdu-Sha'abi: Askari wa Marekani lazima waondoke Iraq

    Jan 18, 2021 04:47

    Mkuu wa Al-Hashdu-Sha'abi ya Iraq amesisitiza ulazima wa kutekelezwa mpango uliopitishwa na bunge wa kutaka askari wa jeshi la Marekani waondoke nchini humo.

  • Ujumbe na malengo ya vikwazo vya Marekani dhidi ya Falih al-Fayadh

    Ujumbe na malengo ya vikwazo vya Marekani dhidi ya Falih al-Fayadh

    Jan 12, 2021 02:32

    Wizara ya Fedha ya Marekani, siku ya Ijumaa iliweka jina la Falih al-Fayadh, Mkuu wa Harakati ya Wananchi ya al-Hashd al-Shaabi ya nchini Iraq katika orodha yake ya vikwazo kwa kisingizio cha kukiuka haki za binadamu. Hatua hiyo ya Marekani ina ujumbe muhimu kwa mitazamo kadhaa.

  • Hizbullah: Kumwekea vikwazo Mkuu wa Al-Hashdu-Sha'abi ni mwendelezo wa jinai za Marekani

    Hizbullah: Kumwekea vikwazo Mkuu wa Al-Hashdu-Sha'abi ni mwendelezo wa jinai za Marekani

    Jan 09, 2021 12:54

    Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imesema, hatua ya Marekani ya kumwekea vikwazo Mkuu wa Jeshi la kujitolea la wananchi wa Iraq la Al-Hashdu-Sha'abi ni "jinai".

  • Wairaq wafurahishwa na waranti wa kusakwa Trump ili akajibu mashtaka ya mauaji

    Wairaq wafurahishwa na waranti wa kusakwa Trump ili akajibu mashtaka ya mauaji

    Jan 08, 2021 07:04

    Katibu Mkuu wa "Kataib al Shuhada" ya Iraq ameipongeza idara ya mahakama ya nchi hiyo kwa kutoa waranti wa kutiwa mbaroni rais wa Marekani, Donald Trump ili akajibu mashtaka ya kuwaua kidhulma kamanda Qassem Soleimani na Abou Mahdi al Muhandis ndani ya ardhi ya Iraq.

  • Mahakama ya Iraq yaamuru Trump akamatwe kwa mauaji ya makamanda wa muqawama

    Mahakama ya Iraq yaamuru Trump akamatwe kwa mauaji ya makamanda wa muqawama

    Jan 08, 2021 02:44

    Mahakama ya Ar-Rasaafah nchini Iraq inayofuatilia kesi ya mauaji ya makamanda wa muqawama Luteni Jenerali Qassem Suleimani na Abu Mahdi al-Muhandis imetoa waranti wa kukamatwa rais wa Marekani Donald Trump.

  • Makombora yenye shabaha kali ya Lebanon, Syria, Yemen na Iran ndilo tishio kubwa zaidi kwa Israel 2021

    Makombora yenye shabaha kali ya Lebanon, Syria, Yemen na Iran ndilo tishio kubwa zaidi kwa Israel 2021

    Jan 08, 2021 02:43

    Kituo cha tafiti za usalama wa ndani cha utawala haramu wa Kizayuni wa Israel kimetangaza kuwa tishio kubwa zaidi kwa utawala huo katika mwaka huu wa 2021 ni makombora yenye shabaha kali ya Lebanon, Syria, Yemen na Iran.

  • Rais Saleh: Jenerali Suleimani alisimama bega kwa bega na taifa la Iraq

    Rais Saleh: Jenerali Suleimani alisimama bega kwa bega na taifa la Iraq

    Jan 06, 2021 04:41

    Rais Barham Saleh wa Iraq amesema Shahidi Qassem Suleimani, aliyekuwa Mkuu wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu IRGC alisimama bega kwa bega na wananchi wa nchi hiyo ya Kiarabu katika vipindi vyote vya matatizo na misukosuko.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS