-
Mbali na Uturuki kuivamia Syria, Erdoğan atishia tena kuishambulia Iraq
Mar 20, 2018 04:08Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki ametishia kwamba, ikiwa serikali ya Iraq haitoshirikiana na nchi yake, basi Ankara itaanzisha mashambulizi katika miji ya Sinjar nchini Iraq dhidi ya wanachama wa kundi la Kikurdi la PKK.
-
Al Abadi: Ugaidi umemalizika kijeshi Iraq, sasa ni vita vya kifikra
Mar 10, 2018 11:53Waziri Mkuu wa Iraq amesema kwa mtazamo wa kijeshi, ugaidi umeshindwa na kumalizika nchini Iraq na sasa hatua inayofuata ni kukabiliana na fikra za kigaidi.
-
Kamanda wa Hashdu ash-Sha'abi: Lau kama si Iran magaidi wangekuwa wameenea eneo lote
Mar 05, 2018 04:49Naibu kamanda wa harakati ya wananchi ya Hashdu ash-Sha'abi kaskazini mwa Iraq, amesema kuwa nafasi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kukabiliana na ugaidi ni athirifu sana na kwamba lau kama si Iran basi ugaidi ungekuwa umeenea eneo lote la Mashariki ya Kati.
-
Waziri Mkuu wa Iraq: Fatwa ya kihistoria ya Ayatullah Sistani ndiyo siri ya ushindi dhidi ya Daesh
Mar 03, 2018 23:09Waziri Mkuu wa Iraq amesema kuwa, fatwa ya kihistoria na ya mahala pake iliyotolewa na Ayatullah Sistani, marja'a mkubwa wa Waislamu wa Kishia nchini Iraq wakati nchi hiyo ilipokuwa katika hatari ya kumezwa kikamilifu na magaidi, ilikuwa na umuhimu mkubwa.
-
Iraq: Katu hatutoruhusu kuweko vituo vya kijeshi vya Marekani nchini mwetu
Mar 03, 2018 12:34Iraq imesema kuwa kwa vyovyote vile haitairuhusu Marekani kujenga vituo vya kudumu vya kijeshi katika ardhi ya nchi hiyo na kusema kuwa, kuruhusu jambo kama hilo ni kukiuka mamlaka yake ya kujitawala.
-
Onyo la Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq kwa Marekani
Mar 03, 2018 03:09Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq amesema kuwa nchi hiyo itaendelea kupinga kuanzishwa vituo vya kijeshi vya Marekani katika ardhi ya nchi hiyo.
-
Kupitishwa na Bunge la Iraq mswada wa kuondoka majeshi ya kigeni katika ardhi ya nchi hiyo
Mar 03, 2018 01:10Bunge la Iraq limepitisha katika kikao chake cha Alkhamisi ya tarehe Mosi Machi mswada unaoitaka serikali iainishe tarehe ya kuondoka majeshi ya nchi ajinabi katika ardhi ya nchi hiyo.
-
Iraq yakataa ombi la Riyadh la kuikabidhi mamia ya 'magaidi' wa Saudia
Feb 25, 2018 23:10Iraq imekataa ombi la Riyadh la kuikabidhi zaidi ya raia 400 wa Saudi Arabia waliohukumiwa vifungo mbalimbali baada ya kupatikana na hatia za kufanya vitendo vya ugaidi nchini Iraq.
-
Kuangamizwa DAESH kumetokana na mshikamano wa wananchi wa Syria na Iraq
Feb 20, 2018 04:42Mkuu wa Baraza Kuu la Kiislamu la Iraq amesema mshikamano wa wananchi wa nchi hiyo na wenzao wa Syria ndio uliowezesha kuangamizwa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh katika eneo.
-
Baada ya kufanikiwa ushirikiano wao katika vita dhidi ya ugaidi, sasa Iran na Iraq zatiliana saini mapatano maalumu ya kijeshi
Feb 18, 2018 23:34Naibu Waziri wa Ulinzi wa Iran na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ulinzi ya Iraq wamekutana na kutiliana saini mapatano maalumu ya kijeshi.