-
Watalii wa kigeni waongezeka sana nchini Iran
Jul 15, 2016 04:12Zaidi ya watalii 50 elfu wa kigeni wametembelea mkoa wa Isfahan wa katikati mwa Iran katika kipindi cha miezi minne iliyopita.
-
Kuwa na wabunge wa dini zote ni katika sifa maalumu za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Feb 22, 2016 03:35Mwakilishi wa Jumuiya ya Mayahudi wa Isfahan magharibi mwa Iran amesema kuwa, kupewa nafasi wafuasi wa dini zote za tawhidi katika Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) ni katika sifa za kipekee za mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.