Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Mwana wa muasisi wa Israel autabiria maangamizi utawala wa Kizayuni

    Mwana wa muasisi wa Israel autabiria maangamizi utawala wa Kizayuni

    Sep 24, 2021 23:05

    Mwana wa mwasisi wa Israel ambaye baba yake ndiye aliyetia saini tangazo la kuanzishwa dola hilo pandikizi mwaka 1948 na ambaye hivi sasa ni mpinzani mkubwa wa utawala wa Kizayuni anayepitisha siku za mwisho za umri wake, ameutabiria maafa utawala huo dhalimu unaokikalia kwa mabavu Kibla cha Kwanza cha Waislamu.

  • Kongresi kuzuia mauzo ya silaha kwa tawala za Saudi Arabia na Israel

    Kongresi kuzuia mauzo ya silaha kwa tawala za Saudi Arabia na Israel

    Sep 20, 2021 03:31

    Mbunge wa Kongresi ya Marekani amebuni muswada unaopiga marufuku uuzaji wa silaha za nchi hiyo kwa tawala za Saudi Arabia na Israel.

  • Rais wa Israel na Mfalme wa Jordan wafanya mkutano wa siri

    Rais wa Israel na Mfalme wa Jordan wafanya mkutano wa siri

    Sep 05, 2021 22:33

    Rais wa utawala haramu wa Israel, Isaac Herzog amefichua kuwa alikutana na kufanya mazungumzo na Mfalme Abdullah II wa Jordan, mkutano wa siri uliofanyika wakati huu ambapo uhusiano wa Amman na Tel Aviv unazidi kuimarika.

  • Jihad Islami: Machaguo mengi yatakuwa meza dhidi ya Israel iwapo mzingiro wa Gaza hautaondolewa

    Jihad Islami: Machaguo mengi yatakuwa meza dhidi ya Israel iwapo mzingiro wa Gaza hautaondolewa

    Sep 04, 2021 22:46

    Harakati ya Jihad Islami ya Palestina imetishia kuwa, machaguo mengi yatakuwa mezani dhidi ya utawala ghasibu wa Israel iwapo utawala huo hautaondoa mzingiro wa pande zote dhidi ya raia wa Ukanda wa Gaza.

  • Russia: Jeshi la Syria limetungua makombora 21 kati ya 24 ya Israeli

    Russia: Jeshi la Syria limetungua makombora 21 kati ya 24 ya Israeli

    Sep 04, 2021 22:10

    Jeshi la Russia linasema makombora ya ulinzi wa anga ya Jeshi la Syria yametungua aghalabu ya makombora ya Israeli yaliyokuwa yamevurumishwa kuelekea kwenye mji mkuu wa nchi hiyo, Damascus hivi karibuni.

  • Wananchi wa Bahrain walaani kutumwa balozi wa Aal-Khalifa huko Israel

    Wananchi wa Bahrain walaani kutumwa balozi wa Aal-Khalifa huko Israel

    Sep 04, 2021 05:53

    Wananchi wa Bahrain wamefanya maandamano ya kulaani hatua ya utawala wa Aal-Khalifa ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel, sanjari na pande mbili hizo kubadilishana mabalozi.

  • Jeshi la Israel lamuua shahidi kijana wa Kipalestina kwa kumpiga risasi

    Jeshi la Israel lamuua shahidi kijana wa Kipalestina kwa kumpiga risasi

    Aug 31, 2021 22:53

    Askari wa utawala haramu wa Israel wamemuua shahidi kijana wa Palestina kwa kumpiga risasi katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Mahmoud Abbas 'amewapiga jambia' Wapalestina kwa kukutana na Gantz

    Mahmoud Abbas 'amewapiga jambia' Wapalestina kwa kukutana na Gantz

    Aug 30, 2021 06:52

    Msemaji wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu wa Palestina HAMAS amesema kitendo cha Mamhoumd Abbas, Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina kukutana na kufanya mazungumzo na Benny Gantz, Waziri wa Vita wa utawala haramu wa Israel ni sawa na kuwachoma jambia kwa nyuma Wapalestina.

  • Unicef: Israel imeua watoto 9 wa Kipalestina katika miezi miwili ya karibuni

    Unicef: Israel imeua watoto 9 wa Kipalestina katika miezi miwili ya karibuni

    Aug 28, 2021 03:39

    Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa (Unicef) limeripoti kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel umeua watoto 9 wa Kipalestina katika kipindi cha miezi miwili pekee na kujeruhi wengine 556.

  • Marekani yaachana na mpango wa kununua 'Ngao ya Chuma' ya Israel

    Marekani yaachana na mpango wa kununua 'Ngao ya Chuma' ya Israel

    Aug 27, 2021 03:22

    Jeshi la Marekani limeachana na mpango wake wa kununua mifumo mingine ya ngao ya makombora ya utawala haramu wa Israel, baada ya kuufanyia majaribio mfumo wa kutungua maroketi na makombora ya mafasa mafupi kutoka Tel Aviv mwanzoni mwa msimu huu wa joto kali; na kupata matokeo yasiyoridhisha.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS