Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Moscow: Taarifa kuhusu shambulizi dhidi ya meli ya Mercer Street zinakinzana

    Moscow: Taarifa kuhusu shambulizi dhidi ya meli ya Mercer Street zinakinzana

    Aug 05, 2021 02:37

    Naibu Mwakilishi wa Kudumu wa Russia katika Umoja wa Mataifa amepinga tuhuma zilizotolewa hivi karibuni na utawala wa Kizayuni wa Israel na nchi za Magharibi dhidi ya Iran kuhusu shambulizi lililolenga meli ya Mercer Street na kusema, taarifa hizo zinakinzana na zimetegemea dhana na tetetsi.

  • Judoka mwingine, raia wa Lebanon akataa kupambana na Mzayuni

    Judoka mwingine, raia wa Lebanon akataa kupambana na Mzayuni

    Aug 01, 2021 03:39

    Mwanajudo wa Lebanon, Abdullah Miniato ametangaza kujiondoa katika mashindano ya kimataifa ya mchezo wa mixed martial arts (MMA) huko mjini Sophia, Bulgaria, na kwa utaratibu huo anakuwa judoka wa tatu kukwepa kuvaana na hasimu kutoka utawala haramu wa Israel katika mashindano ya Olimpiki ya Tokyo 2020.

  • Msimamo mmoja wa nchi 14 za Afrika wa kupinga utawala wa Israel kuwa mwanachama mtazamaji katika Umoja wa Afrika

    Msimamo mmoja wa nchi 14 za Afrika wa kupinga utawala wa Israel kuwa mwanachama mtazamaji katika Umoja wa Afrika

    Aug 01, 2021 02:15

    Kanali ya al-Waaqe' ya Algeria ilitangaza Jumamosi kuwa nchi hiyo imeanzisha rasmi mchakato wa kubuni kundi la Kiafrika litakalofuatilia kutenguliwa uamuzi wa kuruhusiwa utawala haramu wa Israel kuwa mwanachama mtazamaji katika Umoja wa Afrika AU, ili kulinda misingi ya umoja huo inayounga mkono taifa la Palestina.

  • Kamanda wa jeshi la Lebanon: Jeshi liko macho mkabala na hatari ya adui Mzayuni

    Kamanda wa jeshi la Lebanon: Jeshi liko macho mkabala na hatari ya adui Mzayuni

    Jul 30, 2021 22:10

    Kamanda wa jeshi la Lebanon amesisitiza kuwa vikosi vya jeshi hilo vipo tayari katika maeneo ya mipakani kwa ajili ya kukabiliana na hatari ya utawala wa Israel.

  • Namibia pia yalaani kuruhusiwa Israel kuwa mwanachama wa AU

    Namibia pia yalaani kuruhusiwa Israel kuwa mwanachama wa AU

    Jul 30, 2021 08:13

    Namibia imelalamikia vikali kitendo cha kuruhusiwa utawala haramu wa Israel kuwa mwanachama mtazamaji katika Umoja wa Afrika (AU).

  • Meli ya Israel yashambuliwa katika pwani ya Oman

    Meli ya Israel yashambuliwa katika pwani ya Oman

    Jul 30, 2021 08:07

    Jeshi la Uingereza limetangaza habari ya kushambuliwa meli ya mizigo ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika pwani ya Oman.

  • HAMAS yalaani kuidhinishwa Israel kuwa mwanachama mtazamaji wa AU

    HAMAS yalaani kuidhinishwa Israel kuwa mwanachama mtazamaji wa AU

    Jul 24, 2021 20:51

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imekosoa vikali hatua ya Umoja wa Afrika (AU) ya kuupa utawala wa Kizayuni wa Israel kibali cha kuwa mwanachama mtazamaji wa umoja huo.

  • HRW: Biden anapaswa kusitisha uuzaji wa silaha kwa tawala zinazokiuka haki za binadamu

    HRW: Biden anapaswa kusitisha uuzaji wa silaha kwa tawala zinazokiuka haki za binadamu

    Jul 24, 2021 10:18

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Righs Watch limemtaka Rais Joe Biden wa Marekani asitishe uuzaji wa silaha kwa wakiukaji wa haki za binadamu zikiwemo tawala za Misri na Israel.

  • Emmanuel Macron, mhanga wa ujasusi wa Wazayuni kupitia programu ya Pegasus

    Emmanuel Macron, mhanga wa ujasusi wa Wazayuni kupitia programu ya Pegasus

    Jul 23, 2021 03:52

    Gabriel Attal, Msemaji wa Serikali ya Ufaransa alisema Alhamisi kuwa Rais Emmanuel Macron aliitisha kikao cha Baraza la Ulinzi siku hiyo hiyo kwa ajili ya kuchunguza na kujadili ujasusi uliofanywa dhidi yake kupitia programu ya Kizayuni ya Pegasus.

  • Mkuu wa zamani wa haki za binadamu wa UN kuongoza uchunguzi wa jinai za Israel

    Mkuu wa zamani wa haki za binadamu wa UN kuongoza uchunguzi wa jinai za Israel

    Jul 23, 2021 03:22

    Baraza la Haki za Binadamu limemteua Navi Pillay, aliyekuwa Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa kuongoza kamati ya kimataifa ya watu watatu ya kuchunguza jinai za kivita za hivi karibuni za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS