Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Abdul-Malik al-Houthi: Baadhi ya watawala wa nchi za Kiislamu ni vibaraka wa Marekani na Israel

    Abdul-Malik al-Houthi: Baadhi ya watawala wa nchi za Kiislamu ni vibaraka wa Marekani na Israel

    Aug 20, 2019 22:05

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, kutokuwa na itikadi na asili ya Wilaya (uongozi katika Uislamu) baadhi ya watawala wa nchi za Kiislamu kumewafanya wawe vibaraka wa Marekani na utawala haramu wa Israel.

  • Bunge la Jordan laitaka serikali kukata uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel

    Bunge la Jordan laitaka serikali kukata uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel

    Aug 20, 2019 22:03

    Wawakilishi wa Bunge la Jordan wameitaka serikali ya nchi hiyo imfukuze balozi wa Israel mjini Amman na kumrejesha nyumbani balozi wa nchi hiyo aliyeko Tel Aviv. Vilevile wameitaka serikali itazame upya makubaliano ya amani na utawala huo wa Kizayuni.

  • Utawala wa Kizayuni unashirikiana na Trump katika hatua dhidi ya wabunge Waislamu katika Kongresi ya Marekani

    Utawala wa Kizayuni unashirikiana na Trump katika hatua dhidi ya wabunge Waislamu katika Kongresi ya Marekani

    Aug 17, 2019 03:20

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Utawala wa Kizayuni wa Israel imetangaza kuwa haitawaruhusu wajumbe wawili wa Bunge la Marekani, Kongresi, kuingia katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.

  • Mkutano wa siri wa wakuu wa Israel na UAE kupanga njama dhidi ya Iran wafichuka

    Mkutano wa siri wa wakuu wa Israel na UAE kupanga njama dhidi ya Iran wafichuka

    Aug 16, 2019 02:58

    Maafisa wa ngazi za juu wa utawala haramu wa Israel na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) hivi karibuni walifanya mkutano wa siri kwa lengo la kupanga njama dhidi ya Iran.

  • IRGC: Vita vinaweza kutokea Israel ikijiingiza Ghuba ya Uajemi; US, UK ndizo zitakazobeba dhima

    IRGC: Vita vinaweza kutokea Israel ikijiingiza Ghuba ya Uajemi; US, UK ndizo zitakazobeba dhima

    Aug 12, 2019 10:36

    Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limeonya kuwa kuwepo kwa namna yoyote ile utawala wa Kizayuni wa Israel katika eneo la Ghuba ya Uajemi kunaweza kusababisha vita katika eneo hilo na kusisitiza kwamba, Marekani na Uingereza ndizo zitakazobeba dhima ya matokeo hasi ya uwepo huo haramu.

  • Mfalme wa Jordan akataa kukutana na Netanyahu na hata kuzungumza naye kwa simu

    Mfalme wa Jordan akataa kukutana na Netanyahu na hata kuzungumza naye kwa simu

    Aug 04, 2019 03:42

    Mfalme Abdallah II wa Jordan amekataa ombi la Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel la kukutana naye na hata kufanya naye mazungumzo kwa njia ya simu.

  • Waziri Mkuu wa Palestina: Bila mfumo wa madola mawili, Israel itafikwa na kifo cha kidemografia

    Waziri Mkuu wa Palestina: Bila mfumo wa madola mawili, Israel itafikwa na kifo cha kidemografia

    Jul 31, 2019 08:21

    Waziri Mkuu wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina Mohammad Shtayyeh amesema, utawala wa Kizayuni wa Israel utakabiliwa na "kifo cha kidemografia" ikiwa utakataa kuunga mkono suluhisho la kuwepo madola mawili, kwa ajili ya kutatua mgogoro wa miongo kadhaa baina yake na Wapalestina.

  • Majeshi vamizi yanayoongozwa na Saudia, Israel zalaaniwa katika ripoti ya UN kwa mauaji ya watoto

    Majeshi vamizi yanayoongozwa na Saudia, Israel zalaaniwa katika ripoti ya UN kwa mauaji ya watoto

    Jul 27, 2019 09:46

    Muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia dhidi ya Yemen umeua au kujeruhi watoto 729 katika mwaka 2018, ikiwa ni takriban nusu ya idadi ya watoto waliouliwa nchini humo katika kipindi cha mwaka huo.

  • Kubomolewa nyumba za Wapalestina baada ya vita; jinai zisizo na kikomo za Israel

    Kubomolewa nyumba za Wapalestina baada ya vita; jinai zisizo na kikomo za Israel

    Jul 23, 2019 23:26

    Utawala wa Kizayuni wa Israel baada ya kushindwa katika vita vilivyodumu kwa muda wa siku mbili tu, hivi sasa umeanzisha duru mpya ya jinai zake dhidi ya Wapalestina kwa kubomoa nyumba za wananchi hao madhulumu.

  • Malalamiko ya mabalozi na wanadiplomasia wa utawala haramu wa Israel, changamoto nyingine kwa Netanyahu

    Malalamiko ya mabalozi na wanadiplomasia wa utawala haramu wa Israel, changamoto nyingine kwa Netanyahu

    Jul 20, 2019 23:53

    Kupungua kwa bajeti na mishahara ya mabalozi na wanadiplomasia wa Israel kumewafanya maafisa hao waiandikie barua Wizara ya Mambo ya Nje ya utawala huo wakitishia kujiuzulu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS