-
Ukuaji wa mara 11 ya wastani wa kimataifa wa uzalishaji sayansi nchini Iran katika kipindi cha miaka 45 iliyopita
Feb 05, 2024 23:25Katika wakati huu wa kukaribia kufanyika uchaguzi wa bunge na Baraza la Wanavyuoni Wataalamu la kumchagua Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran tarehe mosi Machi, kwa mara nyingine tena maadui wa mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu wameamua kutumia vyombo vyao vya habari kujaribu kufunika na kufifiliza mafanikio ya miaka 45 ya Mapinduzi ya Kiislamuu na kuzihadaa fikra za walio wengi ili kuwafanya wananchi wasishiriki katika chaguzi hizo.
-
Alkhamisi, tarehe 30 Machi, 2017
Mar 29, 2017 21:59Leo ni Alkhamisi tarehe Mosi Rajab 1438 Hijria, sawa na Machi 30, 2017.
-
Taarifa ya jeshi la Iran kwa mnasaba wa Siku ya Jamhuri ya Kiislamu
Mar 31, 2016 09:09Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limetangaza kuwa tarehe 12 mwezi Farvardin kuwa ni siku ya kudhihirisha uongozi mkuu, kupenda uadilifu na ukombozi.