-
Lengo la Tehran kushiriki vikao vya Vienna ni kutaka kuondolewa Iran vikwazo vyote haramu
Nov 18, 2021 23:36Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema lengo kuu la Tehran kushiriki mazungumzo ya Vienna kuhusu mapatano ya nyuklia ya JCPOA yanayotazamiwa kuanza mwishoni mwa mwezi huu ni kuhakikisha kuwa taifa la Iran linaondolewa vikwazo vyote haramu.
-
Iran: Tuna nia njema tunapoingia kwenye mazungumzo ya Vienna
Nov 14, 2021 04:48Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema nchi hii ina azma na nia njema inapojiandaa kuingia katika duru mpya ya mazungumzo ya Vienna kuhusu makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.
-
"Iran inataka 'makubaliano mazuri' katika mazungumzo ya Vienna"
Nov 11, 2021 04:43Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema taifa hili limejiandaa kwa ajili ya kufikiwa 'makubaliano mazuri' katika mazungumzo ya Vienna kuhusu mapatano ya nyuklia ya JCPOA, yanayotazamiwa kuanza mwishoni mwa mwezi huu.
-
Waziri: Mafanikio ya mazungumzo ya Vienna yanategemea kuondolewa vikwazo vyote Iran
Nov 09, 2021 04:49Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kufanikiwa mazungumzo ya mjini Vienna, Austria kuhusu makubaliano ya JCPOA kutategemea na kuondolewa vikwazo vyote Iran, sambamba na kuifanya ya kawaida miamala ya kibiashara na Tehran.
-
Khatibzadeh: Kwa kuondoka Marekani nchini Iraq, amani na usalama wa nchi hiyo utapatikana
Nov 08, 2021 07:55Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, endapo Marekani itaondoka nchini Iraq, amani na uthabiti wa nchi hiyo ya Kiarabu utapatikana.
-
Madai ya White House: Tutarejea katika mapatano ya JCPOA iwapo Iran itafanya hivyo
Nov 08, 2021 04:37Jake Sullivan Mshauri wa Usalama wa Taifa wa serikali ya Marekani kulingana na madai ya Washington kwa mara nyingine tena amedai kuwa eti kama Iran itarejea katika mapatano ya JCPOA nayo pia itafanya hivyo.
-
Iran: Kundi la 4+1 liwe tayari kwa mazungumzo yatakayoheshimu haki
Nov 02, 2021 11:11Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kundi la 4+1 lililosalia katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA linapaswa kujiandaa kwa mazungumzo ya kuhuisha mapatano hayo ya kimataifa, kwa kuzingatia na kuheshimu misingi ya haki na maslahi ya pande zote.
-
Pelosi atetea makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, amkosoa Yair Lapid
Oct 22, 2021 20:51Spika wa Kongresi ya Marekani ametetea makubaliano ya nyuklia ya JCPOA baina ya Iran na nchi za kundi la 5+1 katika mazungumzo yake na Waziri wa Mambo ya Nje wa utawla haramu wa Israel mjini Washington.
-
Iran: Mabadilishano ya wafungwa yasihusishwe na mazungumzo ya JCPOA
Oct 19, 2021 09:58Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Tehran inalitazama suala la kubadilishana wafungwa kuwa la kibinadamu, na haitaki kuona likifungamanishwa na mazungumzo ya nyuklia ya JCPOA.
-
Iran: Mazungumzo yajayo ya Vienna sharti yawe na tija ya maana
Oct 06, 2021 09:37Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema duru ijayo ya mazungumzo ya Vienna yanayolenga kuhuisha makubaliano ya nyuklia ya JCPOA inapasa iwe na matokeo ya maana na yenye kutekelezeka.