Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

JCPOA

  • Russia yataka Iran iondolewe vikwazo vyote vya nyuklia ilivyowekewa

    Russia yataka Iran iondolewe vikwazo vyote vya nyuklia ilivyowekewa

    Sep 17, 2021 06:51

    Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Russia katika asasi za kimataifa zenye makao yake mjini Vienna Austria ametoa wito wa kuondolewa vikwazo vyote vya nyuklia dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Rais Raisi: Mahusiano ya Iran na nchi za Ulaya yanategemea kuzingatiwa msingi wa kuheshimiana

    Rais Raisi: Mahusiano ya Iran na nchi za Ulaya yanategemea kuzingatiwa msingi wa kuheshimiana

    Sep 08, 2021 22:47

    Rais Ebrahim Raisi amesema, mahusiano ya Iran na nchi za Ulaya yanategemea kuchungwa na kuzingatiwa msingi wa kuheshimiana baina ya pande mbili.

  • Mtazamo wa  serikali mpya ya Iran kuhusu kuhuishwa mazungumzo ya nyuklia

    Mtazamo wa serikali mpya ya Iran kuhusu kuhuishwa mazungumzo ya nyuklia

    Sep 03, 2021 21:00

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefanya mazungumzo na mawaziri wa mambo ya nje wa Ujerumani, Ufaransa na Austria kuhusu sera za kigeni zenye mlingano, kuratibu uhusiano wa Iran na Umoja wa Ulaya na mapatano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Russia: Mazungumzo ya nyuklia ya JCPOA yataanza tena karibuni mjini Vienna

    Russia: Mazungumzo ya nyuklia ya JCPOA yataanza tena karibuni mjini Vienna

    Aug 21, 2021 08:16

    Mwakilishi wa Russia katika mashirika ya kimataifa yenye makao yao Vienna amejibu madai yaliyotolewa na afisa mmoja wa Marekani kuhusu makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na kusema, mazungumzo kuhusu makubaliano hayo yataanza tena hivi karibuni katiika mji mkuu huo wa Austria.

  • Russia: Hakuna mbadala wa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA

    Russia: Hakuna mbadala wa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA

    Aug 02, 2021 05:56

    Mwakilishi wa Russia katika taasisi za kimataifa zenye makao huko Vienna nchini Austria amesema njia pekee ya kuyahuisha makubaliano ya nyuklia ya JCPOA ni kuyarejesha katika hali yake ya asili.

  • Ulyanov: Lengo la mazungumzo ya Vienna ni kuhuisha mapatano ya JCPOA

    Ulyanov: Lengo la mazungumzo ya Vienna ni kuhuisha mapatano ya JCPOA

    Jul 30, 2021 22:09

    Mwakilishi wa Russia katika taasisi za kimataifa zenye makao huko Vienna nchini Austria kwa mara nyingine tena amesisitiza kuwa, lengo la mazungumzo ya Vienna ni kuhuisha mapatano ya JCPOA.

  • Robert Malley: Mashinikizo ya kiwango cha juu dhidi ya Iran yameshindwa vibaya

    Robert Malley: Mashinikizo ya kiwango cha juu dhidi ya Iran yameshindwa vibaya

    Jul 26, 2021 03:32

    Mjumbe Maalumu wa Marekani katika Masuala ya Iran amekiri kuwa vikwazo vya kidhulma na mashinikizo ya kiwango cha juu zaidi ya nchi hiyo dhidi ya Iran yamefeli vibaya na amekariri madai ya kila siku ya serikali ya Joe Biden kuwa eti Washington iko tayari kurejea katika mapatano ya JCPOA iwapo Iran itatekeleza majukumu yake.

  • Sisitizo la viongozi wa Ufaransa, Ujerumani na China la udharura wa kuhuishwa JCPOA

    Sisitizo la viongozi wa Ufaransa, Ujerumani na China la udharura wa kuhuishwa JCPOA

    Jul 06, 2021 21:51

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa, Kansela wa Ujerumani Angela Merkel, na Rais Xi Jinping wa China wamefanya mazungumzo kwa njia ya simu na kutoa wito kwa pande zinazofanya mazungumzo huko Vienna kwa ajili ya kuhuisha makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kutumia vyema fursa iliyopo ya "Dirisha la Fursa" kwa ajili ya kufikia makubaliano kuhusiana na kadhia hiyo.

  • Jarida la Marekani Hill: Vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran havina taathira

    Jarida la Marekani Hill: Vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran havina taathira

    Jul 04, 2021 03:51

    Jarida la Marekani la Hill limeandika kwamba siasa za Marekani za 'mashinikizo ya juu kabisa' hazijakuwa na matunda yoyote katika utawala wa Donld Trump na wala hazitakuwa na taathira yoyote katika utawala wa rais wa hivi sasa wa Marekani Joe Biden.

  • Kuhuishwa JCPOA kunategemea maamuzi magumu ya Marekani na Ulaya

    Kuhuishwa JCPOA kunategemea maamuzi magumu ya Marekani na Ulaya

    Jul 02, 2021 22:15

    Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema sasa wakati umewadia kwa Marekani na nchi tatu za Ulaya kuchukua maamuzi magumu kwa ajili ya kuanza kufungamana tena kikamilifu na mapatano ya kimataifa ya nyuklia, JCPOA.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS