-
Iran: Waliovunja ahadi wanapaswa kufanya maamuzi magumu
Jul 01, 2021 03:13Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema wale ambao walivunja ahadi zao ndio wanaopaswa kubainisha iradi yao ya kisiasa na ndio wanaopaswa kuchukua maamuzi magumu.
-
Wanachama wa Baraza la Usalama waitaka Marekani iiondolee Iran vikwazo
Jul 01, 2021 03:11Nchi wanachama wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa zimeitaka Marekani iiondolee Iran vikwazo vyote kwa mujibu wa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.
-
Araqchi: Ni muda wa pande nyingine husika ndani ya JCPOA kuchukua maamuzi
Jun 27, 2021 22:01Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, sasa ni wakati wa pande nyingine husika ndani ya mapatano ya JCPOA kuchukua maamuzi, na kwamba nchi hizo zinapasa kuchukua maamuzi magumu.
-
Hatua mpya za vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran
Jun 11, 2021 08:25Wizara ya Biashara ya Marekani Alkhamisi ya jana iliwaweka watu na mashirika kadhaa katika orodha yake ya vikwazo kwa kisingizio cha nafasi yao katika kudhamini fedha kwa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (Sepah) na harakati ya wapiganaji wa kujitolea ya Ansarullah nchini Yemen.
-
Zarif amjibu Blinken: Nenda usome kipengee cha 36 cha mkubaliano ya nyuklia ya JCPOA
Jun 08, 2021 11:15Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amejibu madai ya waziri mwenzake wa mambo ya Nje wa Marekani aliyedai kuwa, haijulikani kwamba Iran ina hamu au iko tayari kurejea kwenye mapatano ya nyuklia ya JCPOA. Muhammad Javad Zarif amemwambia Blanken kwamba: Inakutosha usome kipengee cha 36 cha JCPOA.
-
Ujerumani: Mazungumzo ya JCPOA yapo katika hatua za mwisho
Jun 07, 2021 22:01Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani amesema mazungumzo kuhusu makubaliano ya nyuklia ya JCPOA yanayoendelea huko Vienna, Austria yapo katika kipindi cha lala salama.
-
BRICS yataka kutekelezwa kikamilifu Azimio 2231 la Baraza la Usalama la UN
Jun 02, 2021 03:27Nchi wanachama wa kundi la BRICS zimetoa mwito wa kupatia ufumbuzi kadhia ya nyuklia ya Iran kwa njia ya amani; huku zikisisitizia udharura wa kutekelezwa kikamilifu Azimio Nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
-
Umoja wa Ulaya wakaribisha kurefushwa makubaliano ya kiufundi kati ya Iran na IAEA
May 26, 2021 03:59Enrique Mora Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Ulaya Kuhusu Hatua za Kigeni amekaribisha makubaliano ya kiufundi yaliyofikiwa hivi karibuni kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia IAEA na kuyataja kuwa 'makuabaliano mazuri.' Amesema makubaliano hayo yataandaa uwanja unaofaa kwa ajili ya kufikiwa mapatano ya kuridhisha mjini Vienna.
-
Araqchi: Mapatano yamefikiwa kuhusu kuondolewa asilimia 95 ya vikwazo
May 23, 2021 21:59Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa mapatano yamefikiwa kuhusu kuondolewa asilimia 95 ya vikwazo.
-
Mwaka wa tatu wa Marekani kujitoa katika mapatano ya JCPOA, juhudi nyingi zisizo na maana
May 09, 2021 21:04Miaka mitatu iliyopita, Mei 8 2018, Donald Trump rais wa zamani wa Marekani aliiondoa rasmi nchi hiyo katika mapatano ya kimataifa ya nyuklia mashuhuri kama JCPOA, kwa madai kwamba yalikuwa mapatano mabaya zaidi kuwahi kufikiwa katika historia ya nchi hiyo.