-
Taarifa ya pamoja ya Kansela wa Ujerumani na Waziri Mkuu wa India kuhusu makubaliano ya JCPOA
Nov 03, 2019 04:21Makubaliano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) ambayo yalikuwa natija ya juhudi za kidiplomasia na mazungumzo ya awamu kadhaa kati ya Iran na kundi la 5+1; hivi sasa yanakabiliwa na hatari kubwa kufuatia hatua ya Marekani ya kujitoa kwenye makubaliano hayo na kutotekeleza ahadi nchi za Ulaya; hatua iliyokabiliwa na radiamali kali ya Iran ambayo pia imeamua kupunguza hatua kwa hatua uwajibikaji wake ndani ya makubaliano hayo.
-
Japan yataka kutekelezwa kikamilifu makubaliano ya JCPOA
Oct 24, 2019 13:11Waziri Mkuu wa Japan ametoa mwito kwa nchi zote husika kutekeleza kikamilifu makubaliano ya nyuklia ya Iran JCPOA.
-
Rouhani: Maadui wanadhani watausambaratisha Mfumo wa Kiislamu kwa kuhujumu JCPOA
Oct 23, 2019 23:19Rais Hassan Rouhani amewashangaa maadui wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wanaodhani kuwa, kwa kuhujumu na kukiuka makubaliano ya nyuklia ya JCPOA watausambaratisha Mfumo wa Kiislamu hapa nchini.
-
Sayyid Mousavi: Iran iko tayari kutekeleza hatua ya nne ya kupunguza uwajibikaji wake katika JCPOA
Oct 21, 2019 09:00Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran iko tayari kutekeleza hatua ya nne ya kupunguza uwajibikaji wake katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.
-
"Nchi za Ulaya hazina muamana, zinashirikiana na Marekani kuishinikiza Iran"
Oct 20, 2019 04:16Msaidizi maalumu wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa amesema nchi za Ulaya hazina muamana na zimeshindwa kutekeleza wajibu wao kwenye mapatano ya nyuklia ya JCPOA.
-
"Iran haitakuwa mtekelezaji pekee wa makubaliano ya nyuklia"
Oct 17, 2019 23:56Naibu Balozi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema Tehran haipaswi kuwa mtekelezaji pekee wa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA iwapo upande wa pili hautatekeleza wajibu wake.
-
Kujitoa Trump katika JCPOA; ni katika kuiunga mkono Israel
Oct 13, 2019 08:40Rais wa Marekani amekiri kuwa alijitoa katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kwa sababu ya kuiunga mkono Israel.
-
Iran kuendelea kupunguza uwajibikaji wake kwa JCPOA
Oct 06, 2019 04:34Msemaji wa Taasisi ya Nishati ya Atomiki ya Iran (AEOI) amesema kuwa, awamu ya nne ya kupunguza Iran kutekeleza ahadi zake ndani ya mapatano ya nyuklia ya JCPOA itaanza kutekelezwa mwezi ujao kama ilivyopangwa na kwamba kwa sasa hakuna kituo chochote kilichobadilika.
-
JCPOA haina maana iwapo haiwafaidi na chochote wananchi wa Iran
Sep 29, 2019 23:06Mkuu wa Ofisi ya Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema makubaliano ya nyuklia ya JCPOA hayana faida yoyote iwapo wananchi wa Iran hawastafidi chochote kutokana na mapatano hayo ya kimataifa.
-
Ukosoaji mkali wa Sergey Lavrov kuhusiana na miamala haribifu ya Marekani dhidi ya mapatano ya JCPO na Ghuba ya Uajemi
Sep 29, 2019 23:06Hatua zilizo kinyume cha sheria za Marekani kujiondoa katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA mwezi Mei mwaka jana na kisha kuiwekea Iran vikwazo vikali ambavyo vilikuwa havijawahi kushuhudiwa tena huko nyuma, na baada ya hapo kuzidisha uwepo wake wa kijeshi katika Ghuba ya Uajemi ambao umeshadidisha mizozo katika eneo hilo la kistratijia, ni mambo ambayo yameizidishia wasi wasi serikali ya Russia.