Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

JCPOA

  • Hatua mpya za Marekani dhidi ya JCPOA; kupinga mpango wa Ufaransa na kutangaza vikwazo vipya dhidi ya Iran

    Hatua mpya za Marekani dhidi ya JCPOA; kupinga mpango wa Ufaransa na kutangaza vikwazo vipya dhidi ya Iran

    Sep 05, 2019 21:55

    Rais Donald Trump wa Marekani alisikika mara kadha wa kadha akiyakosoa vikali makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, na hatimaye mnamo tarehe 8 Mei, 2018 akatangaza rasmi kujitoa nchi yake katika makubaliano hayo. Kilichofuata baada ya hapo, ilikuwa ni kutekelezwa na serikali ya Trump katika awamu mbili tofauti vikwazo vikali dhidi ya Iran sambamba na kupinga mpango wowote wa kuyalinda makubaliano hayo ya nyuklia.

  • Waziri Mkuu wa Israel apayuka baada ya Iran kutangaza utekelezaji wa awamu ya tatu ya kutoheshimu JCPOA

    Waziri Mkuu wa Israel apayuka baada ya Iran kutangaza utekelezaji wa awamu ya tatu ya kutoheshimu JCPOA

    Sep 05, 2019 09:10

    Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni ameshindwa kuficha hamaki zake na ameamua kupayuka baada ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kutangaza kuanza utekelezaji wa awamu ya tatu ya kutoheshimu ahadi zake ndani ya mapatano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Kutekelezwa awamu ya tatu; radiamali ya Iran ya kuchezea fursa madola ya Ulaya

    Kutekelezwa awamu ya tatu; radiamali ya Iran ya kuchezea fursa madola ya Ulaya

    Sep 05, 2019 03:35

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa agizo la kutekelezwa hatua ya tatu ya Iran kupunguza uwajibikaji wake katika makuubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Rais Rouhani: Awamu ya tatu ya Iran kupunguza uwajibikaji katika JCPOA itaanza kesho Ijumaa

    Rais Rouhani: Awamu ya tatu ya Iran kupunguza uwajibikaji katika JCPOA itaanza kesho Ijumaa

    Sep 05, 2019 00:06

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameatangaza kuwa, awamu ya tatu ya Iran kupunguza uwajibikaji wake katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA itaanza kutekelezwa kesho Ijumaa.

  • Rais Rouhani: Iran itatekeleza awamu ya tatu ya kupunguza uwajibikaji katika JCPOA

    Rais Rouhani: Iran itatekeleza awamu ya tatu ya kupunguza uwajibikaji katika JCPOA

    Sep 04, 2019 08:41

    Rais Hassan Rouhani amesema, mazungumzo na nchi za Ulaya bado hayajafikia mwafaka kamili; na kwa msingi huo Iran itachukua hatua ya tatu ya kupunguza uwajibikaji wa kutekeleza majukumu yake katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Araqchi: Iran haitofanya tena mazungumzo kuhusu mapatano ya JCPOA

    Araqchi: Iran haitofanya tena mazungumzo kuhusu mapatano ya JCPOA

    Sep 04, 2019 03:26

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran katika masuala ya kisiasa amesema kuwa, Tehran inaamini kwamba hakuna mazungumzo mengine kuhusu mapatano ya nyuklia ya JCPOA, lakini yanaweza kuweko mazungumzo kuhusu utekelezaji kamili wa yaliyoafikiwa ndani ya mapatano hayo.

  • Zarif: Iran itachukua hatua ya tatu ndani ya JCPOA kama ilivyopangwa hapo awali

    Zarif: Iran itachukua hatua ya tatu ndani ya JCPOA kama ilivyopangwa hapo awali

    Sep 02, 2019 22:38

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itachukua hatua ya tatu ya kupunguza utekelezaji wa majukumu yake ndani ya makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kama ilivyopangwa hapo awali na kwamba iwapo nchi za Ulaya hazitatekeleza majukumu yao ndani ya makubaliano hayo, Iran itatekeleza hatua hiyo ya tatu.

  • Rabiei: Stratejia ya Iran katika JCPOA ni pande zote mbili kuwajibika kwa kiwango sawa

    Rabiei: Stratejia ya Iran katika JCPOA ni pande zote mbili kuwajibika kwa kiwango sawa

    Sep 02, 2019 08:47

    Msemaji wa serikali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwajibika kwa kiwango sawa pande zote mbili katika kutekeleza majukumu, ndio stratejia na mkakati unaotumiwa na Tehran katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA; na akaongeza kuwa: Ikiwa Ulaya itatekeleza majukumu yake katika JCPOA, Iran nayo itarejea kwenye utekelezaji kamili wa makubaliano hayo.

  • Mousavi: Awamu ya tatu ya kupunguza Iran uwajibikaji wake kwenye JCPOA iko tayari kutekelezwa

    Mousavi: Awamu ya tatu ya kupunguza Iran uwajibikaji wake kwenye JCPOA iko tayari kutekelezwa

    Sep 02, 2019 03:13

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, awamu ya tatu ya kupunguza Jamhuri ya Kiislamu utekelezaji wa ahadi zake ndani ya mapatano ya nyuklia ya JCPOA iko tayari kutekelzwa na kusisitiza kuwa, kama juhudi za kidiplomasia za kuzuia jambo hilo hazitozaa matunda, Tehran bila ya shaka itaanza tu kutekeleza awamu hiyo ya tatu.

  • Zarif: Siku nne nyingine; muda wa kutangaza hatua ya tatu ya Iran ndani ya JCPOA

    Zarif: Siku nne nyingine; muda wa kutangaza hatua ya tatu ya Iran ndani ya JCPOA

    Sep 01, 2019 23:36

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa utekelezaji wa hatua ya tatu ya kupunguza ahadi na majukumu ya Iran kuhusiana na makubaliano ya JCPOA uko katika marhala ya mwisho ya uchukuaji maamuzi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS