-
Walid al Mualim: Ajenda Kuu ya kikao cha Iran, Uturuki na Russia ni kuhusu kukombolewa Idlib
Sep 03, 2018 22:09Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria amesisitiza kuwa suala kuu lilogubika kikao cha pande tatu cha viongozi wa Iran, Russia na Uturuki mjini Tehran lilikuwa kuhusiana na kukombolewa mkoa wa Idlib.
-
Marekani yaendelea kukiuka haki ya kujitawala Syria, yataka kujenga uwanja wake wa kijeshi
Aug 16, 2018 08:47Habari kutoka Syria zimeripoti kwamba, askari vamizi wa Marekani wanakusudia kujenga uwanja wao wa kijeshi katika eneo la al-Shaddadi la jimbo la Al-Hasakah nchini humo.
-
Mahdi al-Mashat akipongeza kikosi cha majini cha Yemen katika kupambana na wavamizi
Jul 25, 2018 22:35Mkuu wa Baraza Kuu la Kisiasa nchini Yemen Mahdi al-Mashat ametoa pongezi kwa kikosi cha majini cha jeshi la nchi hiyo katika kupambana na askari vamizi eneo la bandari ya Mocha na kuitaja operesheni hiyo kuwa ni mabadiliko katika njia za kupambana na wavamizi hao.
-
Jeshi la Yemen: Muungano vamizi wa Saudi Arabia umeshindwa kusonga mbele Al-Hudaydah
Jul 24, 2018 03:01Msemaji wa Jeshi la Yemen amekadhibisha tena habari za kusimama mashambulizi ya muungano vamizi wa Saudi Arabia eneo la magharibi mwa nchi na kusema kuwa, muungano huo wa Saudia na Imarati, umeshindwa kusonga mbele kwa namna yoyote katika eneo hilo.
-
Makamanda wa makundi ya kigaidi nchini Syria wakimbilia upande wa jeshi la Israel
Jul 23, 2018 22:53Sambamba na jeshi la Syria kuimarisha mzingiro dhidi ya makundi ya kigaidi kusini mwa nchi hiyo, makamanda wa makundi hayo na kupitia taa ya kijani ya utawala wa Kizayuni, wamekimbilia upande wa jeshi la Israel katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.
-
UN: Jeshi la Mali liliua raia12 katika ulipizaji kisasi
Jun 27, 2018 09:50Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Mataifa nchini Mali MINUSMA kimesema wanajeshi wa serikali ya nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika waliuawa raia 12 katika operesheni ya kulipiza kisasi mwezi uliopita, baada ya mwenzao kuuawa katika mazingira ya kutatanisha.
-
Ndege za kivita za Marekani zawasaidia makamanda wa Daesh Syria
Jun 25, 2018 23:51Ndege za kivita za muungano eti wa kimataifa dhidi ya kundi la kigaidi la Daesh unaoongozwa na Marekani zimewasafarisha makamanda wawili wa kundi la kigaidi la Daesh kutoka eneo a Tuimin hadi katika kituo cha Marekani kilichoko katika mji wa al Shaddadah mkoani Hasakah nchini Syria.
-
Jeshi la Syria lazingira ngome ya jeshi vamizi la Marekani katika mpaka wa Iraq
Jun 22, 2018 09:37Sambamba na operesheni ya kuyasafisha maeneo mapana ya jangwa la Syria, hasa eneo la al-Badiya kutoka mikononi mwa mabaki ya wanachama wa genge la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS), jeshi la Syria limezingira ngome ya askari vamizi wa Marekani katika eneo la al-Tanf lililopo katika mpaka wa nchi hiyo na Iraq.
-
Jeshi la Mali latuhumiwa kuua makumi ya raia
Jun 20, 2018 03:02Makundi ya kiraia nchini Mali yamedai kuwa jeshi la nchi hiyo limeua makumi ya raia katika eneo la Mopti, katikati mwa nchi.
-
Jeshi la Madagascar latishia 'kuzima mgogoro wa kisiasa'
Jun 01, 2018 09:16Waziri wa Ulinzi wa Madagascar ametishia kuwa, ikilazimu, jeshi la nchi hiyo litaingilia kati iwapo serikali na upinzani zitashindwa kuupatia ufumbuzi mgogoro wa kisiasa unaoshuhudiwa nchini humo kwa muda sasa.