Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

jeshi

  • Mahdi al-Mashat akipongeza kikosi cha majini cha Yemen katika kupambana na wavamizi

    Mahdi al-Mashat akipongeza kikosi cha majini cha Yemen katika kupambana na wavamizi

    Jul 26, 2018 03:05

    Mkuu wa Baraza Kuu la Kisiasa nchini Yemen Mahdi al-Mashat ametoa pongezi kwa kikosi cha majini cha jeshi la nchi hiyo katika kupambana na askari vamizi eneo la bandari ya Mocha na kuitaja operesheni hiyo kuwa ni mabadiliko katika njia za kupambana na wavamizi hao.

  • Jeshi la Yemen: Muungano vamizi wa Saudi Arabia umeshindwa kusonga mbele Al-Hudaydah

    Jeshi la Yemen: Muungano vamizi wa Saudi Arabia umeshindwa kusonga mbele Al-Hudaydah

    Jul 24, 2018 07:31

    Msemaji wa Jeshi la Yemen amekadhibisha tena habari za kusimama mashambulizi ya muungano vamizi wa Saudi Arabia eneo la magharibi mwa nchi na kusema kuwa, muungano huo wa Saudia na Imarati, umeshindwa kusonga mbele kwa namna yoyote katika eneo hilo.

  • Makamanda wa makundi ya kigaidi nchini Syria wakimbilia upande wa jeshi la Israel

    Makamanda wa makundi ya kigaidi nchini Syria wakimbilia upande wa jeshi la Israel

    Jul 24, 2018 03:23

    Sambamba na jeshi la Syria kuimarisha mzingiro dhidi ya makundi ya kigaidi kusini mwa nchi hiyo, makamanda wa makundi hayo na kupitia taa ya kijani ya utawala wa Kizayuni, wamekimbilia upande wa jeshi la Israel katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.

  • UN: Jeshi la Mali liliua raia12 katika ulipizaji kisasi

    UN: Jeshi la Mali liliua raia12 katika ulipizaji kisasi

    Jun 27, 2018 14:20

    Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Mataifa nchini Mali MINUSMA kimesema wanajeshi wa serikali ya nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika waliuawa raia 12 katika operesheni ya kulipiza kisasi mwezi uliopita, baada ya mwenzao kuuawa katika mazingira ya kutatanisha.

  • Ndege za kivita za Marekani zawasaidia makamanda wa Daesh Syria

    Ndege za kivita za Marekani zawasaidia makamanda wa Daesh Syria

    Jun 26, 2018 04:21

    Ndege za kivita za muungano eti wa kimataifa dhidi ya kundi la kigaidi la Daesh unaoongozwa na Marekani zimewasafarisha makamanda wawili wa kundi la kigaidi la Daesh kutoka eneo a Tuimin hadi katika kituo cha Marekani kilichoko katika mji wa al Shaddadah mkoani Hasakah nchini Syria.

  • Jeshi la Syria lazingira ngome ya jeshi vamizi la Marekani katika mpaka wa Iraq

    Jeshi la Syria lazingira ngome ya jeshi vamizi la Marekani katika mpaka wa Iraq

    Jun 22, 2018 14:07

    Sambamba na operesheni ya kuyasafisha maeneo mapana ya jangwa la Syria, hasa eneo la al-Badiya kutoka mikononi mwa mabaki ya wanachama wa genge la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS), jeshi la Syria limezingira ngome ya askari vamizi wa Marekani katika eneo la al-Tanf lililopo katika mpaka wa nchi hiyo na Iraq.

  • Jeshi la Mali latuhumiwa kuua makumi ya raia

    Jeshi la Mali latuhumiwa kuua makumi ya raia

    Jun 20, 2018 07:32

    Makundi ya kiraia nchini Mali yamedai kuwa jeshi la nchi hiyo limeua makumi ya raia katika eneo la Mopti, katikati mwa nchi.

  • Jeshi la Madagascar latishia 'kuzima mgogoro wa kisiasa'

    Jeshi la Madagascar latishia 'kuzima mgogoro wa kisiasa'

    Jun 01, 2018 13:46

    Waziri wa Ulinzi wa Madagascar ametishia kuwa, ikilazimu, jeshi la nchi hiyo litaingilia kati iwapo serikali na upinzani zitashindwa kuupatia ufumbuzi mgogoro wa kisiasa unaoshuhudiwa nchini humo kwa muda sasa.

  • Syria: Kunaandaliwa mazingira ya kubuni igizo la shambulio la kemikali mashariki mwa Furat

    Syria: Kunaandaliwa mazingira ya kubuni igizo la shambulio la kemikali mashariki mwa Furat

    May 31, 2018 03:42

    Kamisheni ya taifa nchini Syria inayoshughulikia utekelezwaji wa makubaliano ya kuzuia silaha za kemikali, imeonya juu ya kuandaliwa igizo la kubuni la shambulio la silaha hizo katika moja ya maeneo yanayodhibitiwa na wanamgambo wa Kikurdi wa 'Syrian Democratic Forces' kwa kushirikiana na askari wa Marekani, mashariki mwa mto Furat nchini humo.

  • Msafara wa magari ya jeshi washambuliwa Somalia, 12 waripotiwa kuuawa

    Msafara wa magari ya jeshi washambuliwa Somalia, 12 waripotiwa kuuawa

    May 22, 2018 13:45

    Kwa akali askari 12 wa Jeshi la Somalia wameripotiwa kuuawa katika shambulio la bomu lililolenga msafara wa magari ya jeshi hilo katika wilaya ya Wanaweyn, yapata kilomita 30 kaskazini mashariki mwa mji mkuu Mogadishu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS