Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

jeshi

  • Jeshi la Syria lafanikiwa kudhibiti barabara zote za mawasiliano za nchi hiyo

    Jeshi la Syria lafanikiwa kudhibiti barabara zote za mawasiliano za nchi hiyo

    May 18, 2018 07:56

    Sambamba na kuondoka magaidi eneo la kaskazini mwa mkoa wa Homs na kusini mwa mkoa wa Hama na kadhalika kufunguliwa barabara ya mkoa wa Homs kuelekea Damascus, mji mkuu wa Syria, jeshi la serikali limefanikiwa kudhibiti barabara zote zinazoiunganisha nchi hiyo.

  • Magaidi wa genge la Daesh na Jaishul-Hur washambuliana vikali kusini mwa Syria

    Magaidi wa genge la Daesh na Jaishul-Hur washambuliana vikali kusini mwa Syria

    May 15, 2018 02:41

    Magaidi wa makundi ya ukufurishaji ya Daesh (ISIS) na kundi la Jeishul-Hur (Jeshi huru), wameshambuliana vikali magharibi mwa mkoa wa Daraa, nchini Syria na kusababisha maafa makubwa kati yao.

  • Magaidi 21 waangamizwa Rasi ya Sinai nchini Misri

    Magaidi 21 waangamizwa Rasi ya Sinai nchini Misri

    May 10, 2018 13:47

    Jeshi la Misri limetangaza habari ya kuangamizwa magaidi 21 katika operesheni ya pamoja iliyofanywa na jeshi na polisi wa nchi hiyo katika Rasi ya Sinai.

  • Waziri wa Ulinzi wa Iran: Vikosi vyetu vya Ulinzi havimuogopi adui yeyote yule

    Waziri wa Ulinzi wa Iran: Vikosi vyetu vya Ulinzi havimuogopi adui yeyote yule

    Apr 29, 2018 15:11

    Waziri wa Ulinzi wa Iran, Brigedia Jenerali Amir Hatami amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu iko imara katika kuimarisha uwezo wake wa kuzuia mashambulizi na kusisitiza kwamba, taifa la Iran hususan Vikosi vyake vya Ulinzi havimuogopi adui yeyote yule.

  • Jeshi la Iran lasema haliwezi kupigishwa magoti na maadui

    Jeshi la Iran lasema haliwezi kupigishwa magoti na maadui

    Apr 23, 2018 08:01

    Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katu Iran haiwezi kupigishwa magoti na kukubali matakwa ya maadui wa taifa hili wakiongozwa na Marekani na waitifaki wake.

  • Magaidi elfu tano (5000) walazimika kuondoka katika viunga vya mji mkuu wa Syria

    Magaidi elfu tano (5000) walazimika kuondoka katika viunga vya mji mkuu wa Syria

    Apr 19, 2018 03:03

    Hatimaye, genge la kigaidi la Jeish al Islam limetangaza kuwa limekubali kuondoa wanamgambo wake 5,000 waliko katika eneo la al Dhamir katika viunga vya mji mkuu wa Syria Damascus na kuwapelekea Jarabulus mkoani Halab (Aleppo) pamoja na familia zao.

  • Iran yaonyesha uwezo wake mkubwa wa kijeshi katika Siku ya Taifa ya Jeshi

    Iran yaonyesha uwezo wake mkubwa wa kijeshi katika Siku ya Taifa ya Jeshi

    Apr 18, 2018 07:51

    Rais Hassan Rouhani amesema uwezo mkubwa wa kijeshi na kiulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni kwa ajili ya kujihami na wala sio kwa sababu ya kuivamia nchi yeyote au kudhuru maslahi yao.

  • Baada ya kufurushwa magaidi, wakimbizi 59 elfu warejea makwao Ghouta Mashariki nchini Syria

    Baada ya kufurushwa magaidi, wakimbizi 59 elfu warejea makwao Ghouta Mashariki nchini Syria

    Apr 16, 2018 08:03

    Kituo cha Russia cha kusimamia mapatano nchini Syria kimesema kuwa, zaidi ya watu 59 elfu wamerejea katika maeneo yao huko Ghouta Mashariki baada ya kutimuliwa magaidi katika eneo hilo.

  • Jeshi la Syria lateka na kuwashikilia wanajeshi vamizi wa Uingereza Ghouta Mashariki

    Jeshi la Syria lateka na kuwashikilia wanajeshi vamizi wa Uingereza Ghouta Mashariki

    Apr 12, 2018 02:32

    Shirika rasmi la habari la Syria limetangaza kuwa wanajeshi kadhaa wa Uingereza wanashikiliwa mateka kufuatia operesheni iliyofanywa na jeshi la Syria huko Ghouta Mashariki katika viunga vya Damascus.

  • Rais wa Ghana: Hatutairuhusu Marekani ijenge kituo cha kijeshi nchini

    Rais wa Ghana: Hatutairuhusu Marekani ijenge kituo cha kijeshi nchini

    Apr 07, 2018 03:52

    Rais Nana Akufo-Addo wa Ghana amesema nchi hiyo katu haitasaini mkataba na Marekani wa kuiruhusu Washington ijenge kituo cha kijeshi katika nchi hiyo ya Kiafrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS