Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

jeshi

  • Jeshi la Syria lateka na kuwashikilia wanajeshi vamizi wa Uingereza Ghouta Mashariki

    Jeshi la Syria lateka na kuwashikilia wanajeshi vamizi wa Uingereza Ghouta Mashariki

    Apr 11, 2018 22:02

    Shirika rasmi la habari la Syria limetangaza kuwa wanajeshi kadhaa wa Uingereza wanashikiliwa mateka kufuatia operesheni iliyofanywa na jeshi la Syria huko Ghouta Mashariki katika viunga vya Damascus.

  • Rais wa Ghana: Hatutairuhusu Marekani ijenge kituo cha kijeshi nchini

    Rais wa Ghana: Hatutairuhusu Marekani ijenge kituo cha kijeshi nchini

    Apr 06, 2018 23:22

    Rais Nana Akufo-Addo wa Ghana amesema nchi hiyo katu haitasaini mkataba na Marekani wa kuiruhusu Washington ijenge kituo cha kijeshi katika nchi hiyo ya Kiafrika.

  • Jeshi la Syria latangaza rasmi kukombolewa kikamilifu Ghouta Mashariki

    Jeshi la Syria latangaza rasmi kukombolewa kikamilifu Ghouta Mashariki

    Apr 01, 2018 02:59

    Jeshi la Syria limetangaza habari ya kukomboa kikamilifu eneo la Ghouta Mashariki, viungani mwa mji mkuu Damascus.

  • Jeshi la Chad lapambana na magaidi wa Boko Haram

    Jeshi la Chad lapambana na magaidi wa Boko Haram

    Mar 24, 2018 21:51

    Duru za kijeshi za Chad zimetangaza habari ya kutokea mapigano kati ya jeshi la nchi hiyo na magaidi wa Boko Haram katika eneo la Ziwa Chad.

  • Israel: Tumepoteza uwezo wetu mkubwa mbele ya harakati ya Hizbullah na Hamas

    Israel: Tumepoteza uwezo wetu mkubwa mbele ya harakati ya Hizbullah na Hamas

    Mar 03, 2018 01:38

    Kamanda wa vikosi vya ardhini vya utawala haramu wa lsrael amekiri kwamba, jeshi la utawala huo limepoteza uwezo wake mkubwa mkabala wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon na Harakati ya muqawama wa Palestina HAMAS.

  • Mtaalamu wa kisiasa: Marekani inasababisha machafuko Afghanistan

    Mtaalamu wa kisiasa: Marekani inasababisha machafuko Afghanistan

    Feb 16, 2018 01:04

    Mtaalamu wa masuala ya kisiasa wa nchini Afghanistan amesema kuwa, nchi za eneo hili haziwezi kuamini mipango ya Marekani nchini Afghanistan, hususan juu ya madai ya viongozi wa Washington kwamba wanapambana na ugaidi na madawa ya kulevya.

  • Kiongozi Muadhamu: Tarehe 22 Bahman ya mwaka huu itakuwa yenye kuvutia

    Kiongozi Muadhamu: Tarehe 22 Bahman ya mwaka huu itakuwa yenye kuvutia

    Feb 08, 2018 12:13

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, amyataja masiku ya Mwenyezi Mungu na minasaba ya matukio muhimu ya mapinduzi ya Kiislamu kuwa ni ishara ya uimara na uthabiti wa mfumo, na kusisitiza kwamba, mwaka huu na kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu, tarehe 22 Bahman ya mwaka huu itakuwa yenye kuvutia.

  • Amnesty: Makumi ya raia wameuawa katika mashambulizi ya anga ya jeshi la Nigeria

    Amnesty: Makumi ya raia wameuawa katika mashambulizi ya anga ya jeshi la Nigeria

    Jan 30, 2018 13:08

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limelituhumu jeshi la Nigeria kuwa limeua makumi ya raia katika mashambulizi ya anga ya mwezi uliopita jimboni Adamawa.

  • Iran yafanyia majaribio kombora la Cruise la Qadir la Jeshi la Majini

    Iran yafanyia majaribio kombora la Cruise la Qadir la Jeshi la Majini

    Jan 24, 2018 01:07

    Katika siku ya pilia ya mazoezi makubwa ya kijeshi yaliyopewa jina la Muhammad Rasulullah SAW-5, Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limefanyia majaribio yaliyofana kombora la la Cruise lijulikanalo kwa jina la Qadir ambalo limelenga shabaha adui bandia katika Bahari ya Oman.

  • Iran yaanza mazoezi ya kijeshi yaliyopewa jina la Muhammad Rasulullah SAW

    Iran yaanza mazoezi ya kijeshi yaliyopewa jina la Muhammad Rasulullah SAW

    Jan 21, 2018 23:35

    Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo linaanza mazoezi makubwa ya kijeshi ya pamoja yaliyopewa jina la Muhammad Rasulullah SAW-5 katika maeneo ya oparesheni ya kusini na kusini mashariki na pia katika pwani ya Bahari ya Makran na Bahari ya Oman hadi Daraja 15 kaskazini mwa Ikweta.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS