Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

jeshi

  • Sisitizo latolewa la kuundwa jeshi la kimataifa la kukabiliana na utawala wa Kizayuni wa Israel

    Sisitizo latolewa la kuundwa jeshi la kimataifa la kukabiliana na utawala wa Kizayuni wa Israel

    Dec 21, 2017 16:16

    Mshauri wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitizia udharura wa kuundwa jeshi la kimataifa la kukabiliana na vitisho vya utawala wa Kizayuni wa Israel na kuongeza kwamba lengo la kuundwa jeshi hilo ni kurejesha haki za wananchi wa Palestina.

  • Marekani yaunda kundi jipya la waasi Syria

    Marekani yaunda kundi jipya la waasi Syria

    Dec 16, 2017 15:41

    Kituo cha Mapatano cha Russia nchini Syria kimetangaza kuwa, Marekani imeanzisha kundi jipya la waasi lililopewa jina la Jeshi Jipya la Syria katika kambi ya wakimbizi iliyoko mkoani Hasaka huko kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Amiri Jeshi Mkuu: Vikosi vya Majini viendeleze harakati yake ya mwendo wa kasi

    Amiri Jeshi Mkuu: Vikosi vya Majini viendeleze harakati yake ya mwendo wa kasi

    Nov 28, 2017 16:47

    Amiri Jeshi Mkuu wa vikosi vya ulinzi vya Iran amesema tarehe 7 Azar (28 Novemba) ambayo ni siku ya Jeshi la Majini ni siku ya fahari na heshima, na siku ya kuenzi kujitolea mhanga kwa jeshi hilo.

  • Wanajeshi 10 wa Sudan wauawa katika mapigano huko Darfur

    Wanajeshi 10 wa Sudan wauawa katika mapigano huko Darfur

    Nov 28, 2017 07:47

    Askari 10 akiwemo kamanda wa ngazi za juu wa jeshi la Sudan wameuawa katika mapigano mapya yaliyozuka hivi karibuni katika jimbo la Darfur.

  • Jeshi la Majini la Iran lazima shambulizi la maharamia Ghuba ya Aden

    Jeshi la Majini la Iran lazima shambulizi la maharamia Ghuba ya Aden

    Nov 26, 2017 14:08

    Jeshi la Majini la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limefanikiwa kuzima shambulizi la maharamia dhidi ya meli ya mizigo katika Ghuba ya Aden.

  • Wakuu wa Ulinzi Afrika Mashariki wakutana Uganda

    Wakuu wa Ulinzi Afrika Mashariki wakutana Uganda

    Nov 21, 2017 02:40

    Wataalamu wa masuala ya ulinzi kutoka nchi za Afrika Mashariki wanakutana nchini Uganda kujadili njia za kuimarisha amani na usalama kieneo.

  • Taharuki Zimbabwe, Mugabe ang'ang'ania madaraka, AU na UN zatoa kauli

    Taharuki Zimbabwe, Mugabe ang'ang'ania madaraka, AU na UN zatoa kauli

    Nov 16, 2017 16:10

    Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe ambaye yuko katika ncha ya kuuzuliwa amekataa kuachia madaraka akisisitiza kuwa yeye ndiye kiongozi halali wa nchi hiyo.

  • Jeshi la Somalia lakomboa maeneo muhimu yaliyokuwa chini ya al-Shabaab

    Jeshi la Somalia lakomboa maeneo muhimu yaliyokuwa chini ya al-Shabaab

    Nov 05, 2017 15:06

    Vikosi vya jeshi la Somalia vimefanikiwa kukomboa ngome nyeti zilizokuwa chini ya makucha ya kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab katika maeneo ya Shabelle ya Chini na Kati.

  • Jeshi la Misri laangamiza wanachama 24 wa Daesh eneo la Sinai

    Jeshi la Misri laangamiza wanachama 24 wa Daesh eneo la Sinai

    Oct 16, 2017 08:02

    Jeshi la Misri limetangaza habari ya kuwaua wanachama 24 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) katika Peninsula ya Sinai, kaskazini mwa nchi.

  • UN yatoa ripoti ya kushtusha kuhusu jinai za jeshi la Myanmar dhidi ya Waislamu

    UN yatoa ripoti ya kushtusha kuhusu jinai za jeshi la Myanmar dhidi ya Waislamu

    Oct 12, 2017 03:39

    Ofisi ya Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa imekiri kuwa jeshi la Myanmar limetenda jinai dhidi ya Waislamu Warohingya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS