-
Mwanamitindo wa mavazi wa Sweden abuni Hijabu ya sare ya jeshi na kikosi cha zimamoto
Oct 11, 2017 02:35Mwanamitindo mmoja wa mavazi nchini Sweden amebuni vazi la staha la Kiislamu la Hijabu linaloweza kutumiwa kama sare kwa askari wanawake wa jeshi na kikosi cha zimamoto cha nchi hiyo.
-
Komando wa nne wa Marekani auawa katika hujuma Niger
Oct 07, 2017 14:29Wizara ya Ulinzi ya Marekani, Pentagon, imethibitisha kuuawa Komando wa nne wa jeshi la nchi hiyo katika hujuma ya kuvizia nchini Niger ambapo awali ilikuwa imetangazwa ni makomnando watatu waliouawa.
-
Makomando 3 Wamarekani wauawa nchini Niger
Oct 05, 2017 07:48Makomando watatu wa kikosi maalumu cha jeshi la Marekani wameuawa katika shambulizi la kuvizia nchini Niger wakiwa katika oparesheni ya kutoa mafunzo kwa jeshi la nchi hiyo.
-
Jeshi la Iran liko tayari kukabiliana na adui yeyote
Sep 24, 2017 04:36Naibu Kamanda wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema jeshi hilo liko tayari kukabiliana na chokochoko za adui yeyeote dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.
-
Jeshi la Lebanon: Vitisho vya Israel havitutishi
Sep 23, 2017 15:30Kamanda wa Jeshi la Lebanon ametangaza kuwa jeshi la nchi hiyo liko tayari kukabiliana na aina yoyote ya vitisho vya jeshi la utawala haramu wa Israel.
-
Mwendesha Mashtaka Mkuu wa ICC ataka kutiwa mbaroni kamanda wa Libya
Sep 14, 2017 07:54Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) amekariri wito wake wa kutiwa mbaroni haraka iwezekanavyo kamanda wa ngazi ya juu huko Libya anayesakwa kwa jinai za kivita. Kamanda huyo anatuhumiwa kuwaua watu wengi.
-
Marekani kuimarisha ushirikiano wa kijeshi na Myanmar inayoua Waislamu
Sep 10, 2017 07:15Katika hali ambayo jamii ya kimataifa inaendelea kulaani na kukosoa vikali mauaji na ukatili wanaofanyiwa Waislamu wa kabila la Rohingya katika jimbo la Rakhine nchini Myanmar, Marekani ipo mbioni kuimarisha ushirikiano wake wa kijeshi na nchi hiyo ya kusini mashariki mwa Asia.
-
Syria yamiminiwa pongezi kwa ushindi wa kistratajia dhidi ya ISIS, Deir ez-Zor
Sep 06, 2017 07:14Duru mbali mbali za kieneo na kimataifa zimeendelea kuipongeza serikali ya Syria baada ya wanajeshi wake kufanikiwa kufika katika mji wa Deir ez-Zor na kuvunja mzingiro wa miaka mitatu uliokuwa umewekwa na kundi la kigaidi la Dash (ISIS).
-
Jeshi la Syria lavunja mzingiro wa ISIS Deir ez-Zor
Sep 05, 2017 14:02Jeshi la Syria, likipata himaya ya wapiganaji waitifaki, limefanikiwa kufika katika mji wa Deir ez-Zor na kuvunja mzingiro wa miaka mitatu uliokuwa umewekwa na kundi la kigaidi la ISIS katika mji huo.
-
Jeshi la Syria lavunja mzingiro wa miaka 3 wa Dayr al-Zawr
Sep 04, 2017 07:48Kundi la kwanza la jeshi la Syria na wapiganaji wa Hizbullah limeingia katika mji wa Dayr al-Zawr uliokuwa ukizingirwa na wapiganaji wa kundi la kigaidi la Daesh kwa kipindi cha miaka 3.