-
Jeshi la Misri laangamiza wanachama 24 wa Daesh eneo la Sinai
Oct 16, 2017 04:32Jeshi la Misri limetangaza habari ya kuwaua wanachama 24 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) katika Peninsula ya Sinai, kaskazini mwa nchi.
-
UN yatoa ripoti ya kushtusha kuhusu jinai za jeshi la Myanmar dhidi ya Waislamu
Oct 12, 2017 00:09Ofisi ya Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa imekiri kuwa jeshi la Myanmar limetenda jinai dhidi ya Waislamu Warohingya.
-
Mwanamitindo wa mavazi wa Sweden abuni Hijabu ya sare ya jeshi na kikosi cha zimamoto
Oct 10, 2017 23:05Mwanamitindo mmoja wa mavazi nchini Sweden amebuni vazi la staha la Kiislamu la Hijabu linaloweza kutumiwa kama sare kwa askari wanawake wa jeshi na kikosi cha zimamoto cha nchi hiyo.
-
Komando wa nne wa Marekani auawa katika hujuma Niger
Oct 07, 2017 10:59Wizara ya Ulinzi ya Marekani, Pentagon, imethibitisha kuuawa Komando wa nne wa jeshi la nchi hiyo katika hujuma ya kuvizia nchini Niger ambapo awali ilikuwa imetangazwa ni makomnando watatu waliouawa.
-
Makomando 3 Wamarekani wauawa nchini Niger
Oct 05, 2017 04:18Makomando watatu wa kikosi maalumu cha jeshi la Marekani wameuawa katika shambulizi la kuvizia nchini Niger wakiwa katika oparesheni ya kutoa mafunzo kwa jeshi la nchi hiyo.
-
Jeshi la Iran liko tayari kukabiliana na adui yeyote
Sep 24, 2017 01:06Naibu Kamanda wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema jeshi hilo liko tayari kukabiliana na chokochoko za adui yeyeote dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.
-
Jeshi la Lebanon: Vitisho vya Israel havitutishi
Sep 23, 2017 12:00Kamanda wa Jeshi la Lebanon ametangaza kuwa jeshi la nchi hiyo liko tayari kukabiliana na aina yoyote ya vitisho vya jeshi la utawala haramu wa Israel.
-
Mwendesha Mashtaka Mkuu wa ICC ataka kutiwa mbaroni kamanda wa Libya
Sep 14, 2017 03:24Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) amekariri wito wake wa kutiwa mbaroni haraka iwezekanavyo kamanda wa ngazi ya juu huko Libya anayesakwa kwa jinai za kivita. Kamanda huyo anatuhumiwa kuwaua watu wengi.
-
Marekani kuimarisha ushirikiano wa kijeshi na Myanmar inayoua Waislamu
Sep 10, 2017 02:45Katika hali ambayo jamii ya kimataifa inaendelea kulaani na kukosoa vikali mauaji na ukatili wanaofanyiwa Waislamu wa kabila la Rohingya katika jimbo la Rakhine nchini Myanmar, Marekani ipo mbioni kuimarisha ushirikiano wake wa kijeshi na nchi hiyo ya kusini mashariki mwa Asia.
-
Syria yamiminiwa pongezi kwa ushindi wa kistratajia dhidi ya ISIS, Deir ez-Zor
Sep 06, 2017 02:44Duru mbali mbali za kieneo na kimataifa zimeendelea kuipongeza serikali ya Syria baada ya wanajeshi wake kufanikiwa kufika katika mji wa Deir ez-Zor na kuvunja mzingiro wa miaka mitatu uliokuwa umewekwa na kundi la kigaidi la Dash (ISIS).