Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

jeshi

  • Mwanamitindo wa mavazi wa Sweden abuni Hijabu ya sare ya jeshi na kikosi cha zimamoto

    Mwanamitindo wa mavazi wa Sweden abuni Hijabu ya sare ya jeshi na kikosi cha zimamoto

    Oct 11, 2017 02:35

    Mwanamitindo mmoja wa mavazi nchini Sweden amebuni vazi la staha la Kiislamu la Hijabu linaloweza kutumiwa kama sare kwa askari wanawake wa jeshi na kikosi cha zimamoto cha nchi hiyo.

  • Komando wa nne wa Marekani auawa katika hujuma Niger

    Komando wa nne wa Marekani auawa katika hujuma Niger

    Oct 07, 2017 14:29

    Wizara ya Ulinzi ya Marekani, Pentagon, imethibitisha kuuawa Komando wa nne wa jeshi la nchi hiyo katika hujuma ya kuvizia nchini Niger ambapo awali ilikuwa imetangazwa ni makomnando watatu waliouawa.

  • Makomando 3 Wamarekani wauawa nchini Niger

    Makomando 3 Wamarekani wauawa nchini Niger

    Oct 05, 2017 07:48

    Makomando watatu wa kikosi maalumu cha jeshi la Marekani wameuawa katika shambulizi la kuvizia nchini Niger wakiwa katika oparesheni ya kutoa mafunzo kwa jeshi la nchi hiyo.

  • Jeshi la Iran liko tayari kukabiliana na adui yeyote

    Jeshi la Iran liko tayari kukabiliana na adui yeyote

    Sep 24, 2017 04:36

    Naibu Kamanda wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema jeshi hilo liko tayari kukabiliana na chokochoko za adui yeyeote dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.

  • Jeshi la Lebanon: Vitisho vya Israel havitutishi

    Jeshi la Lebanon: Vitisho vya Israel havitutishi

    Sep 23, 2017 15:30

    Kamanda wa Jeshi la Lebanon ametangaza kuwa jeshi la nchi hiyo liko tayari kukabiliana na aina yoyote ya vitisho vya jeshi la utawala haramu wa Israel.

  • Mwendesha Mashtaka Mkuu wa ICC ataka kutiwa mbaroni kamanda wa Libya

    Mwendesha Mashtaka Mkuu wa ICC ataka kutiwa mbaroni kamanda wa Libya

    Sep 14, 2017 07:54

    Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) amekariri wito wake wa kutiwa mbaroni haraka iwezekanavyo kamanda wa ngazi ya juu huko Libya anayesakwa kwa jinai za kivita. Kamanda huyo anatuhumiwa kuwaua watu wengi.

  • Marekani kuimarisha ushirikiano wa kijeshi na Myanmar inayoua Waislamu

    Marekani kuimarisha ushirikiano wa kijeshi na Myanmar inayoua Waislamu

    Sep 10, 2017 07:15

    Katika hali ambayo jamii ya kimataifa inaendelea kulaani na kukosoa vikali mauaji na ukatili wanaofanyiwa Waislamu wa kabila la Rohingya katika jimbo la Rakhine nchini Myanmar, Marekani ipo mbioni kuimarisha ushirikiano wake wa kijeshi na nchi hiyo ya kusini mashariki mwa Asia.

  • Syria yamiminiwa pongezi kwa ushindi wa kistratajia dhidi ya ISIS, Deir ez-Zor

    Syria yamiminiwa pongezi kwa ushindi wa kistratajia dhidi ya ISIS, Deir ez-Zor

    Sep 06, 2017 07:14

    Duru mbali mbali za kieneo na kimataifa zimeendelea kuipongeza serikali ya Syria baada ya wanajeshi wake kufanikiwa kufika katika mji wa Deir ez-Zor na kuvunja mzingiro wa miaka mitatu uliokuwa umewekwa na kundi la kigaidi la Dash (ISIS).

  • Jeshi la Syria lavunja mzingiro wa ISIS Deir ez-Zor

    Jeshi la Syria lavunja mzingiro wa ISIS Deir ez-Zor

    Sep 05, 2017 14:02

    Jeshi la Syria, likipata himaya ya wapiganaji waitifaki, limefanikiwa kufika katika mji wa Deir ez-Zor na kuvunja mzingiro wa miaka mitatu uliokuwa umewekwa na kundi la kigaidi la ISIS katika mji huo.

  • Jeshi la Syria lavunja mzingiro wa miaka 3 wa Dayr al-Zawr

    Jeshi la Syria lavunja mzingiro wa miaka 3 wa Dayr al-Zawr

    Sep 04, 2017 07:48

    Kundi la kwanza la jeshi la Syria na wapiganaji wa Hizbullah limeingia katika mji wa Dayr al-Zawr uliokuwa ukizingirwa na wapiganaji wa kundi la kigaidi la Daesh kwa kipindi cha miaka 3.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS