-
Wanajeshi 10 wa Sudan wauawa katika mapigano huko Darfur
Nov 28, 2017 04:17Askari 10 akiwemo kamanda wa ngazi za juu wa jeshi la Sudan wameuawa katika mapigano mapya yaliyozuka hivi karibuni katika jimbo la Darfur.
-
Jeshi la Majini la Iran lazima shambulizi la maharamia Ghuba ya Aden
Nov 26, 2017 10:38Jeshi la Majini la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limefanikiwa kuzima shambulizi la maharamia dhidi ya meli ya mizigo katika Ghuba ya Aden.
-
Wakuu wa Ulinzi Afrika Mashariki wakutana Uganda
Nov 20, 2017 23:10Wataalamu wa masuala ya ulinzi kutoka nchi za Afrika Mashariki wanakutana nchini Uganda kujadili njia za kuimarisha amani na usalama kieneo.
-
Taharuki Zimbabwe, Mugabe ang'ang'ania madaraka, AU na UN zatoa kauli
Nov 16, 2017 12:40Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe ambaye yuko katika ncha ya kuuzuliwa amekataa kuachia madaraka akisisitiza kuwa yeye ndiye kiongozi halali wa nchi hiyo.
-
Jeshi la Somalia lakomboa maeneo muhimu yaliyokuwa chini ya al-Shabaab
Nov 05, 2017 11:36Vikosi vya jeshi la Somalia vimefanikiwa kukomboa ngome nyeti zilizokuwa chini ya makucha ya kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab katika maeneo ya Shabelle ya Chini na Kati.
-
Jeshi la Misri laangamiza wanachama 24 wa Daesh eneo la Sinai
Oct 16, 2017 04:32Jeshi la Misri limetangaza habari ya kuwaua wanachama 24 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) katika Peninsula ya Sinai, kaskazini mwa nchi.
-
UN yatoa ripoti ya kushtusha kuhusu jinai za jeshi la Myanmar dhidi ya Waislamu
Oct 12, 2017 00:09Ofisi ya Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa imekiri kuwa jeshi la Myanmar limetenda jinai dhidi ya Waislamu Warohingya.
-
Mwanamitindo wa mavazi wa Sweden abuni Hijabu ya sare ya jeshi na kikosi cha zimamoto
Oct 10, 2017 23:05Mwanamitindo mmoja wa mavazi nchini Sweden amebuni vazi la staha la Kiislamu la Hijabu linaloweza kutumiwa kama sare kwa askari wanawake wa jeshi na kikosi cha zimamoto cha nchi hiyo.
-
Komando wa nne wa Marekani auawa katika hujuma Niger
Oct 07, 2017 10:59Wizara ya Ulinzi ya Marekani, Pentagon, imethibitisha kuuawa Komando wa nne wa jeshi la nchi hiyo katika hujuma ya kuvizia nchini Niger ambapo awali ilikuwa imetangazwa ni makomnando watatu waliouawa.
-
Makomando 3 Wamarekani wauawa nchini Niger
Oct 05, 2017 04:18Makomando watatu wa kikosi maalumu cha jeshi la Marekani wameuawa katika shambulizi la kuvizia nchini Niger wakiwa katika oparesheni ya kutoa mafunzo kwa jeshi la nchi hiyo.