Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

jeshi

  • Jeshi la Syria lavunja mzingiro wa ISIS Deir ez-Zor

    Jeshi la Syria lavunja mzingiro wa ISIS Deir ez-Zor

    Sep 05, 2017 09:32

    Jeshi la Syria, likipata himaya ya wapiganaji waitifaki, limefanikiwa kufika katika mji wa Deir ez-Zor na kuvunja mzingiro wa miaka mitatu uliokuwa umewekwa na kundi la kigaidi la ISIS katika mji huo.

  • Jeshi la Syria lavunja mzingiro wa miaka 3 wa Dayr al-Zawr

    Jeshi la Syria lavunja mzingiro wa miaka 3 wa Dayr al-Zawr

    Sep 04, 2017 03:18

    Kundi la kwanza la jeshi la Syria na wapiganaji wa Hizbullah limeingia katika mji wa Dayr al-Zawr uliokuwa ukizingirwa na wapiganaji wa kundi la kigaidi la Daesh kwa kipindi cha miaka 3.

  • Kundi la al-Shabaab la Somalia ladai kuua makumi ya askari Kismayu

    Kundi la al-Shabaab la Somalia ladai kuua makumi ya askari Kismayu

    Sep 03, 2017 03:04

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab limedai kuwa limeua makumi ya askari wa Somalia karibu na mji wa bandari wa Kismayu mapema leo Jumapili.

  • Jeshi la Lebanon lawekwa mpakani baada ya Madaesh kutimuliwa kwenye mpaka wa nchi hiyo na Syria

    Jeshi la Lebanon lawekwa mpakani baada ya Madaesh kutimuliwa kwenye mpaka wa nchi hiyo na Syria

    Aug 29, 2017 22:41

    Kufuatia kutimuliwa magaidi wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) linalopata uungaji mkono wa Marekani, Israel na Saudia katika mpaka wa pamoja wa Syria na Lebanon, Jumanne ya jana jeshi la Lebanon lilituma askari wake katika miinuko ya Al-Qalamoun walipokuwako magaidi hao wakufurishaji.

  • Iran na Uturuki zajadili kuimarisha uhusiano wa kiulinzi

    Iran na Uturuki zajadili kuimarisha uhusiano wa kiulinzi

    Aug 17, 2017 02:15

    Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Uturuki mjini Ankara, kuhusu umuhimu wa kuimarisha uhusiano na ushirikiano wa kiulinzi wa pande mbil

  • Kamanda wa zamani al-Shabaab ajiunga na serikali ya Somalia

    Kamanda wa zamani al-Shabaab ajiunga na serikali ya Somalia

    Aug 13, 2017 23:06

    Aliyekuwa Naibu Kiongozi wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab na pia msemaji wa zamani wa genge hilo la ukufurishaji Mukhtar Robow Abu Mansur, amejisalimisha kwa jeshi la nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Rouhani: Hakuna anayeweza kuthubutu kulidhuru jeshi la Iran

    Rouhani: Hakuna anayeweza kuthubutu kulidhuru jeshi la Iran

    Jul 30, 2017 23:59

    Rais Hassan Rouhani amesema mihimili mitatu ya serikali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaviunga mkono kwa dhati vikosi vya jeshi la Iran na kwa msingi huo hakuna anayeweza kulidhuru jeshi hilo wala Iran.

  • UN yawatuhumu wanajeshi wa DRC kuhusika na mauaji ya Kasai

    UN yawatuhumu wanajeshi wa DRC kuhusika na mauaji ya Kasai

    Jul 26, 2017 03:15

    Umoja wa Mataifa umelituhumu kwa njia isiyo ya moja kwa moja jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kuwa limehusika na mauaji ya umati katika eneo la Kasai.

  • Jeshi la Misri laangamiza magaidi 40 katika eneo la Sinai

    Jeshi la Misri laangamiza magaidi 40 katika eneo la Sinai

    Jul 26, 2017 03:13

    Jeshi la Misri limefanikiwa kuangamiza makumi ya wanachama wa magenge ya kigaidi, katika operesheni yake yenye lengo la kuwafuta kabisa magaidi wenye misimamo mikali ambao wanaendeleza harakati zao katika Rasi ya Sinai, kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Eneo muhimu ya Kipese DRC lakombolewa na jeshi kutoka mikoni mwa waasi

    Eneo muhimu ya Kipese DRC lakombolewa na jeshi kutoka mikoni mwa waasi

    Jul 16, 2017 23:52

    Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo limetangaza kuwa, eneo la kiistratejia la Kipese lililokuwa chini ya udhibiti wa wanamgambo wanaobeba silaha limekombolewa la jeshi la nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS