Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kamanda shahidi Qassem Soleimani

  • Amiri Jeshi Mkuu Iran amteua kamanda mpya wa kikosi cha Quds cha IRGC

    Amiri Jeshi Mkuu Iran amteua kamanda mpya wa kikosi cha Quds cha IRGC

    Jan 04, 2020 02:50

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Khamenei ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu wa Iran amemteua Brigedia Jenerali Esmail Qaani kuwa kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC).

  • IRGC yaahidi hatua kali ya kulipiza kisasi baada ya kuuawa shahidi Soleimani

    IRGC yaahidi hatua kali ya kulipiza kisasi baada ya kuuawa shahidi Soleimani

    Jan 04, 2020 02:49

    Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu limetuma salamu za rambirambi kufuatia kuuawa shahidi Meja Jenerali Qassem Suleimani Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) na mashahidi wengine katika jinai ya Marekani Ijumaa asubuhi mjini Baghdad na kusisitiza kuhusu kulipiza kisasi kufuatia jinai hiyo.

  • Kuuawa shahidi Meja Jenerali Qassim Solaimani; ahadi ya kweli iliyotimia

    Kuuawa shahidi Meja Jenerali Qassim Solaimani; ahadi ya kweli iliyotimia

    Jan 04, 2020 02:39

    Meja Jenerali, Qassim Solaimani, Meja Jenerali shahidi Qassim Soleimani, Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran (SEPAH), aliuawa shahidi usiku wa kuamkia jana Ijumaa katika shambulio la roketi lililofyatuliwa na helikopta ya Marekani katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Baghdad mji mkuu wa Iraq.

  • SAUTI, Fadhil Al-Nusr Muhadhiri Chuo Kikuu Tanzania: Qassem Soleimani hakuwa tu kamanda wa kijeshi bali alikuwa mlezi mkubwa wa kiroho

    SAUTI, Fadhil Al-Nusr Muhadhiri Chuo Kikuu Tanzania: Qassem Soleimani hakuwa tu kamanda wa kijeshi bali alikuwa mlezi mkubwa wa kiroho

    Jan 03, 2020 16:12

    Dunia imeendelea kutoa radiamali yake kutokana na kuuawa Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (Sepah) Meja Jenerali Qassem Solaimani aliyeuawa shahidi kigaidi na helikopta ya kijeshi ya Marekani katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa mjini Baghdad nchini Iraq mapema leo asubuhi.

  • SAUTI, Mansour Amr wa Kongo DR: Qassem Soleimani alikuwa zaidi ya makamanda duniani, hakusema kwa maneno bali kwa vitendo

    SAUTI, Mansour Amr wa Kongo DR: Qassem Soleimani alikuwa zaidi ya makamanda duniani, hakusema kwa maneno bali kwa vitendo

    Jan 03, 2020 14:46

    Dunia imegubikwa na huzuni kubwa ya kuuawa Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (Sepah) Meja Jenerali Qassem Solaimani aliyeuawa shahidi kigaidi na helikopta ya kijeshi ya Marekani katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa mjini Baghdad nchini Iraq mapema leo asubuhi.

  • Khatibu wa Sala ya Ijumaa: Wamarekani katu hawatapata amani

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa: Wamarekani katu hawatapata amani

    Jan 03, 2020 12:37

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran ameashiria juu ya kuuliwa shahidi Meja Jenerali Qassim Soleimani, Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) na kusisitiza kuwa, Wamarekani katu hawataonja tena ladha ya amani popote duniani kufuatia ukatili huo.

  • Bei za mafuta na dhahabu zapanda duniani kufuatia mauaji ya Jenerali Soleimani

    Bei za mafuta na dhahabu zapanda duniani kufuatia mauaji ya Jenerali Soleimani

    Jan 03, 2020 12:15

    Bei za mafuta na dhahabu katika soko la kimataifa kote duniani zimepanda kufuatia kuuliwa shahidi Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran, Meja Jenerali Qassem Soleimani.

  • Kuuawa shahidi Meja Jenerali Qassim Solaimani; mfano wa wazi wa jinai za kivita za Marekani

    Kuuawa shahidi Meja Jenerali Qassim Solaimani; mfano wa wazi wa jinai za kivita za Marekani

    Jan 03, 2020 11:53

    Meja Jenerali Qassim Solaimani, Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH) na Abu Mahdi al Muhandes, Naibu Mkuu wa Kikosi cha Kujitolea cha Wananchi wa Iraq cha al-Hashdul al-Shaabi, wameuawa shahidi usiku wa kuamkia Ijumaa ya leo katika shambulio la roketi lililofyatuliwa na helikopta ya Marekani katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Baghdad mji mkuu wa Iraq.

  • Joe Biden amkosoa vikali Trump kwa kutoa amri ya kuuliwa Jenerali Soleimani

    Joe Biden amkosoa vikali Trump kwa kutoa amri ya kuuliwa Jenerali Soleimani

    Jan 03, 2020 08:35

    Joe Biden ambaye ni miongoni ma wanasiasa wa chama cha Democratic wanaochuana kupata tiketi ya kuwakilisha chama hicho katika uchaguzi ujao wa rais utakaofanyika mwaka huu nchini Marekani amemkosoa vikali Rais Donald Trump kwa kutoa amri ya kuuliwa shahidi Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran, Meja Jenerali Qassem Soleimani.

  • Msemaji wa jeshi la SEPAH: Furaha ya Marekani na Israel itageuka kuwa maombolezo

    Msemaji wa jeshi la SEPAH: Furaha ya Marekani na Israel itageuka kuwa maombolezo

    Jan 03, 2020 08:21

    Msemaji wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH, huku akiomboleza kuuawa shahidi Meja Jenerali Qassim Soleimani, Kamanda wa kikosi cha Quds cha jeshi hilo amesisitiza kwamba furaha ya muda mfupi ya Wamarekani na Wazayuni itageuka kuwa maombolezo hivi karibuni.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS