Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • Odinga ampiku Ruto; Wakenya waendelea kusubiri kwa hamu matokeo ya urais

    Odinga ampiku Ruto; Wakenya waendelea kusubiri kwa hamu matokeo ya urais

    Aug 10, 2022 22:26

    Raila Odinga ambaye anagombea kiti rais katika uchaguzi mkuu nchini Kenya kwa chama cha Muungano wa Azimio la Umoja One Kenya, yupo kifua mbele katika matokeo ya muda, saa chache baada ya mpinzani wake wa karibu anayewania kwa chama cha UDA, William Ruto kuongoza katika matokeo ya awali ya zoezi hilo lililofanyika Jumanne.

  • Ruto aongoza katika matokeo ya awali ya uchaguzi wa rais Kenya

    Ruto aongoza katika matokeo ya awali ya uchaguzi wa rais Kenya

    Aug 10, 2022 10:43

    Mgombea wa kiti cha rais wa chama cha UDA katika uchaguzi mkuu nchini Kenya, William Ruto anaongoza katika matokeo ya muda ya zoezi hilo la kidemokrasia lililofanyika jana Jumanne.

  • Taifa la Kenya katika mtihani mwingine wa uchaguzi

    Taifa la Kenya katika mtihani mwingine wa uchaguzi

    Aug 08, 2022 22:14

    Wananchi wa Kenya Jumanne ya kesho Agosti 9 wanaelekea kwenye masanduku ya kupigia kura kuwachagua viongozi watakaowawakilisha na kusimamia masuala muhimu ya nchi kwa kipindi cha miaka mitano ijayo.

  • World Vision International: Njaa inaendelea kuongezeka miongoni mwa watoto Kenya

    World Vision International: Njaa inaendelea kuongezeka miongoni mwa watoto Kenya

    Jul 27, 2022 07:21

    Shirika lisilo la kiserikali la misaada ya kibinadamu la World Vision International limetahadharisha kuhusu ongezeko la njaa na vifo miongoni mwa watoto nchini Kenya.

  • Kongamano la kubainisha fikra za Imam Hussein AS lafanyika Kenya

    Kongamano la kubainisha fikra za Imam Hussein AS lafanyika Kenya

    Jul 24, 2022 22:20

    Kongamano la kubainisha Harakati ya Imam Hussein AS, Imamu wa Tatu wa Mashia limefanyika katika mji wa Mombasa nchini Kenya na kuhudhuriwa na wasomi wa Kiislamu kutoka pembe zote za nchi hiyo na pia nchi jirani.

  • Wakenya waipongeza serikali kwa kupunguza bei ya unga wa ugali

    Wakenya waipongeza serikali kwa kupunguza bei ya unga wa ugali

    Jul 19, 2022 08:01

    Wakenya wamefurahia hatua ya serikali kupunguza bei ya unga wa mahindi. Baadhi ya Wakenya wamejitokeza kwenye mitandao ya kijamii kushukuru hatua ya serikali kupunguza bei ya unga wa mahindi.

  • Wakenya milioni 14 wanasumbulia na njaa huku mgogoro wa chakula ukishtadi

    Wakenya milioni 14 wanasumbulia na njaa huku mgogoro wa chakula ukishtadi

    Jul 11, 2022 06:39

    Mashirika ya Umoja wa Mataifa yamesema Kenya ni miongoni mwa nchi 63 duniani zenye idadi kubwa ya watu wanaokabiliwa na lishe duni kutokana na uhaba wa chakula.

  • Watu 18 wapoteza maisha katika ajali ya barabarani Pwani ya Kenya

    Watu 18 wapoteza maisha katika ajali ya barabarani Pwani ya Kenya

    Jul 09, 2022 03:01

    Watu 18 wamepoteza maisha huku wengine wengi wakijeruhiwa katika ajali mbaya ya barabarani iliyohusisha gari dogo la abiria na lori katika kaunti ya Kwale, Pwani ya Kenya.

  • Wakenya waijia juu Fox News ya Marekani kwa upotoshaji

    Wakenya waijia juu Fox News ya Marekani kwa upotoshaji

    Jul 08, 2022 05:33

    Viongozi na wananchi wa Kenya wameishutumu na kuikosoa vikali kanali ya televisheni ya Fox News ya Marekani kwa kueneza madai ya upotoshaji.

  • EAC yataka waasi wa M23 waondoke mara moja mashariki mwa DRC

    EAC yataka waasi wa M23 waondoke mara moja mashariki mwa DRC

    Jun 21, 2022 03:32

    Jumuiya ya Afrika Mashariki imelitaka kundi la waasi la M23 liondoke mara moja katika mji wa Bunagana unaodhibitiwa na wanamgambo hao, huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS