-
Odinga ampiku Ruto; Wakenya waendelea kusubiri kwa hamu matokeo ya urais
Aug 10, 2022 22:26Raila Odinga ambaye anagombea kiti rais katika uchaguzi mkuu nchini Kenya kwa chama cha Muungano wa Azimio la Umoja One Kenya, yupo kifua mbele katika matokeo ya muda, saa chache baada ya mpinzani wake wa karibu anayewania kwa chama cha UDA, William Ruto kuongoza katika matokeo ya awali ya zoezi hilo lililofanyika Jumanne.
-
Ruto aongoza katika matokeo ya awali ya uchaguzi wa rais Kenya
Aug 10, 2022 10:43Mgombea wa kiti cha rais wa chama cha UDA katika uchaguzi mkuu nchini Kenya, William Ruto anaongoza katika matokeo ya muda ya zoezi hilo la kidemokrasia lililofanyika jana Jumanne.
-
Taifa la Kenya katika mtihani mwingine wa uchaguzi
Aug 08, 2022 22:14Wananchi wa Kenya Jumanne ya kesho Agosti 9 wanaelekea kwenye masanduku ya kupigia kura kuwachagua viongozi watakaowawakilisha na kusimamia masuala muhimu ya nchi kwa kipindi cha miaka mitano ijayo.
-
World Vision International: Njaa inaendelea kuongezeka miongoni mwa watoto Kenya
Jul 27, 2022 07:21Shirika lisilo la kiserikali la misaada ya kibinadamu la World Vision International limetahadharisha kuhusu ongezeko la njaa na vifo miongoni mwa watoto nchini Kenya.
-
Kongamano la kubainisha fikra za Imam Hussein AS lafanyika Kenya
Jul 24, 2022 22:20Kongamano la kubainisha Harakati ya Imam Hussein AS, Imamu wa Tatu wa Mashia limefanyika katika mji wa Mombasa nchini Kenya na kuhudhuriwa na wasomi wa Kiislamu kutoka pembe zote za nchi hiyo na pia nchi jirani.
-
Wakenya waipongeza serikali kwa kupunguza bei ya unga wa ugali
Jul 19, 2022 08:01Wakenya wamefurahia hatua ya serikali kupunguza bei ya unga wa mahindi. Baadhi ya Wakenya wamejitokeza kwenye mitandao ya kijamii kushukuru hatua ya serikali kupunguza bei ya unga wa mahindi.
-
Wakenya milioni 14 wanasumbulia na njaa huku mgogoro wa chakula ukishtadi
Jul 11, 2022 06:39Mashirika ya Umoja wa Mataifa yamesema Kenya ni miongoni mwa nchi 63 duniani zenye idadi kubwa ya watu wanaokabiliwa na lishe duni kutokana na uhaba wa chakula.
-
Watu 18 wapoteza maisha katika ajali ya barabarani Pwani ya Kenya
Jul 09, 2022 03:01Watu 18 wamepoteza maisha huku wengine wengi wakijeruhiwa katika ajali mbaya ya barabarani iliyohusisha gari dogo la abiria na lori katika kaunti ya Kwale, Pwani ya Kenya.
-
Wakenya waijia juu Fox News ya Marekani kwa upotoshaji
Jul 08, 2022 05:33Viongozi na wananchi wa Kenya wameishutumu na kuikosoa vikali kanali ya televisheni ya Fox News ya Marekani kwa kueneza madai ya upotoshaji.
-
EAC yataka waasi wa M23 waondoke mara moja mashariki mwa DRC
Jun 21, 2022 03:32Jumuiya ya Afrika Mashariki imelitaka kundi la waasi la M23 liondoke mara moja katika mji wa Bunagana unaodhibitiwa na wanamgambo hao, huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.