-
Kiongozi wa Korea Kaskazini: Majaribio ya makombora ni 'onyo' kwa Marekani na Korea Kusini
Aug 08, 2019 03:59Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un ametangaza kuwa mlolongo wa majaribio ya makombora yaliyofanywa hivi karibuni na Pyongyang yametuma "onyo tosha" kwa mazoezi ya kijeshi ya pamoja yanayofanywa na Korea Kusini na Marekani.
-
Radiamali ya Korea Kusini kuhusiana na majaribio ya makombora mapya ya Korea Kaskazini
Jul 27, 2019 06:57Wizara ya Ulinzi ya Korea Kusini imekosoa vikali majaribio ya makombora mapya ya Korea Kaskazini.
-
Umoja wa Ulaya warefusha vikwazo kwa Korea ya Kaskazini
Jul 17, 2019 02:35Baraza la Umoja wa Ulaya limerefusha muda wa vikwazo vyake dhidi ya Korea ya Kaskazini ikiwa ni radiamali yake kwa majaribio ya makombora na silaha za nyuklia ya nchi hiyo.
-
Trump akanyaga ardhi ya Korea Kaskazini na kukutana na Kim Jon-un
Jun 30, 2019 07:50Rais Donald Trump amekuwa rais wa kwanza wa Marekani kukanyaga ardhi ya Korea Kaskazini.
-
Korea Kaskazini yaikosoa vikali Marekani kwa kurefusha tena vikwazo dhidi yake
Jun 26, 2019 12:03Serikali ya Korea Kaskazini imesema kuwa, hatua ya Washinton ya kurefusha vikwazo kwa muda wa mwaka mmoja dhidi ya Pyongyang ni kielelezo cha uhasama wa wazi wa nchi hiyo.
-
China na Korea Kaskazini zakosoa siasa za kimabavu za Marekani
Jun 21, 2019 07:27Akizungumza na Rais Xi Jinping wa China, Kim Jong-un, Kiongozi wa Korea Kaskazini amekosoa vikali siasa za uhasama za Marekani.
-
Kaka wa Kambo wa Kiongozi wa Korea Kaskazini aliyeuawa alikuwa jasusi wa CIA
Jun 11, 2019 13:00Kaka wa kambo wa Kiongozi wa Korea Kaskazini aliuawa baada ya kubainika kuwa ni jasusi wa shirika kuu la kijasusi la Marekani CIA.
-
Korea Kusini: Serikali ya Korea Kaskazini imewanyonga wanasiasa waliohusika na mazungumzo ya Trump na Kim Jong-un
Jun 01, 2019 08:02Duru za habari nchini Korea Kusini zimeripoti kwamba serikali ya Korea Kaskazini imewanyonga wanadiplomasia wa nchi hiyo kufuatia kufeli mazungumzo ya duru ya pili kati ya Rais Donald Trump wa Marekani na Kim Jong-un huko mjini Hanoi, Vietnam.
-
Safari ya Trump Japan, Washington kuitumia Tokyo kuanzisha tena mazungumzo na Korea Kaskazini
May 27, 2019 02:21Rais Donald Trump wa Marekani anafanya safari ya siku tatu nchini Japan.
-
Korea Kaskazini yaiwekea Marekani sharti ili kurejea kwenye mazungumzo
May 26, 2019 02:28Serikali ya Korea Kaskazini imesema kuwa sharti la Pyongyang la kurejea kwenye meza ya mazungumzo na Marekani ni serikali ya Washington kubadilisha siasa zake za upande mmoja.