May 14, 2019 08:08
Korea Kaskazini imeitaja hatua ya Marekani ya kuikamata meli yake ya mizigo kama 'wizi' na kusisitiza kuwa kitendo hicho kinakanyaga roho ya mazungumzo kati ya Kim Jong-un, Kiongozi wa Korea Kaskazini na Rais Donald Trump wa Marekani yaliyofanyika mwezi Juni mwaka jana.