Apr 20, 2019 13:13
Korea Kaskazini imeyataja kama ya kipumbavu matamshi ya John Bolton, Mshauri wa Usalama wa Taifa katika Ikulu ya White House ya Marekani, ambaye hivi karibuni alisema kuwa uwezekano wa kufanyika duru ya tatu ya mazungumzo kati ya nchi mbili hizo ni mdogo.