-
Mamia ya mashirika ya kigeni yashiriki maonyesho ya kibiashara Korea Kaskazini
May 23, 2019 08:08Vyombo vya habari nchini Korea Kaskazini vimeripoti kwamba mamia ya mashirika ya kigeni kutoka nchi tofauti yameshiriki maonyesho ya kimataifa ya kibiashara nchini humo licha ya vikwazo vya Marekani dhidi ya serikali ya Pyongyang.
-
Korea Kaskazini: Marekani irejeshe haraka meli yetu ya mizigo iliyoiiba
May 14, 2019 08:08Korea Kaskazini imeitaja hatua ya Marekani ya kuikamata meli yake ya mizigo kama 'wizi' na kusisitiza kuwa kitendo hicho kinakanyaga roho ya mazungumzo kati ya Kim Jong-un, Kiongozi wa Korea Kaskazini na Rais Donald Trump wa Marekani yaliyofanyika mwezi Juni mwaka jana.
-
Korea Kusini: Lengo la majaribio ya makombora ya Korea Kaskazini ni kuilalamikia Marekani
May 10, 2019 14:00Rais Moon Jae-in wa Korea Kusini amesema kuwa, lengo la Korea Kaskazini kufanya majaribio mapya ya makombora yake, ni kuilalamikia Marekani.
-
Korea Kaskazini: Tunamuunga mkono Rais Nicolás Maduro wa Venezuela mbele ya njama za Marekani
May 06, 2019 02:26Serikali ya Korea Kaskazini imesema kuwa njama za maadui wa serikali halali ya Venezuela na kujaribu kufanya mapinduzi ya kijeshi dhidi ya serikali hiyo, ni kitendo hatari sana kwa usalama na amani ya eneo.
-
Kim Jong-un: Marekani imekuwa na miamala ya upande mmoja katika mazungumzo
Apr 26, 2019 08:05Kim Jong-un, Kiongozi wa Korea Kaskazini amesema kuwa, kupatikana amani eneo la Rasi ya Korea kunategemea mienendo ya Marekani.
-
Korea Kaskazini yatoa radiamali kali kwa maneva ya kijeshi ya Marekani na Korea Kusini
Apr 26, 2019 04:49Serikali ya Korea Kaskazini imetoa radiamali kali kufuatia maneva ya kijeshi ya hivi karibuni kati ya Marekani na Korea Kusini katika Rasi ya Korea.
-
Korea Kaskazini: Matamshi ya Bolton kuhusu duru ya tatu ya mazungumzo ni ya kipumbavu
Apr 20, 2019 13:13Korea Kaskazini imeyataja kama ya kipumbavu matamshi ya John Bolton, Mshauri wa Usalama wa Taifa katika Ikulu ya White House ya Marekani, ambaye hivi karibuni alisema kuwa uwezekano wa kufanyika duru ya tatu ya mazungumzo kati ya nchi mbili hizo ni mdogo.
-
Marekani yasalimu amri mbele ya Korea Kaskazini, yakubali kumtenga Pompeo kwenye mazungumzo yake na Pyongyang
Apr 19, 2019 13:31Serikali ya Marekani kupitia Wizara ya Mambo ya nje ya nchi hiyo imelazimika kusalimu amri mbele ya matakwa ya Korea Kaskazini ikisema kuwa, Washington ipo tayari kuendelea na mazungumzo ya nyuklia na Korea Kaskazini hata bila ya kuwepo Mike Pompeo, Waziri wake wa Mambo ya Nje.
-
Majaribio mapya ya kombora la Korea Kaskazini; jibu la Marekani kutoheshimu mazungumzo
Apr 19, 2019 10:50Shirika Rasmi la Habari la Korea Kaskazini (KCNA) limetangaza kupitia taarifa kwamba nchi hiyo siku ya Jumatano lilifanyia majaribio kombora jipya la kitaktiki linaloongozwa kwa mbinu maalumu.
-
Korea Kaskazini yafanyia majaribio kombora jipya la balestiki
Apr 18, 2019 13:32Serikali ya Korea Kaskazini imefanyia majaribio kombora jipya la balestiki.