Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Korea Kaskazini

  • Korea Kaskazini yaipa Marekani muhula na kuitaka ibadili mienendo

    Korea Kaskazini yaipa Marekani muhula na kuitaka ibadili mienendo

    Apr 14, 2019 07:24

    Kim Jong-un, Kiongozi wa Korea Kaskazini ameonya kuwa, mazungumzo mengine kati yake na Rais Donald Trump wa Marekani yatafanyika tu iwapo Washington itabadilisha mienendo na misimamo yake.

  • Rais Moon Jae-in wa Korea Kusini: Lazima mazungumzo kati ya Trump na Kim Jong-un yaendelee

    Rais Moon Jae-in wa Korea Kusini: Lazima mazungumzo kati ya Trump na Kim Jong-un yaendelee

    Apr 12, 2019 07:56

    Rais Moon Jae-in wa Korea Kusini ametaka kuendelezwa mazungumzo kati ya Marekani na Korea Kaskazini kwa ajili ya kutatua mzozo wa eneo la Rasi ya Korea.

  • Korea Kusini yaitahadharisha Marekani kwa njia isiyo ya moja kwa moja kabla ya mazungumzo ya nchi mbili

    Korea Kusini yaitahadharisha Marekani kwa njia isiyo ya moja kwa moja kabla ya mazungumzo ya nchi mbili

    Apr 06, 2019 07:27

    Mjumbe maalumu Korea Kusini katika Masuala ya Usalama na Amani ya Rasi ya Korea amesema kuwa, Korea Kaskazini haitasalimu amri mbele ya vikwazo.

  • Uhispania: Kuna uwezekano shambulizi la ubalozi wa Korea Kaskazini mjini Madrid lilifanywa na Marekani

    Uhispania: Kuna uwezekano shambulizi la ubalozi wa Korea Kaskazini mjini Madrid lilifanywa na Marekani

    Mar 11, 2019 08:21

    Vyombo vya habari nchini Uhispania vimetangaza kwamba, kuna uwezekano vyombo vya intelejensia vya Marekani vilihusika katika shambulizi la siku chache zilizopita dhidi ya ubalozi wa Korea Kaskazini mjini Madrid.

  • Trump atoa radiamali baada ya Korea Kaskazini kukarabati eneo la kufanyia majaribio ya makombora

    Trump atoa radiamali baada ya Korea Kaskazini kukarabati eneo la kufanyia majaribio ya makombora

    Mar 07, 2019 07:03

    Rais Donald Trump wa Marekani amesema kuwa, uamuzi wa Korea Kaskazini wa kukarabati eneo la kufanyia majaribio ya makombora, unazuia njia ya kuboresha uhusiano wa pande mbili.

  • Uamuzi wa Korea Kaskazini wa kutazama upya mazungumzo yake na Marekani

    Uamuzi wa Korea Kaskazini wa kutazama upya mazungumzo yake na Marekani

    Mar 03, 2019 11:33

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Korea Kaskazini Choe Son-hui, ameelezea uwezekano wa nchi yake kutazama upya mazungumzo yake ya nyuklia na Marekani.

  • Kufeli vibaya Trump katika kampeni ya kuipokonya silaha za nyuklia Korea Kaskazini

    Kufeli vibaya Trump katika kampeni ya kuipokonya silaha za nyuklia Korea Kaskazini

    Mar 01, 2019 13:56

    Licha ya majigambo na makelele mengi ya kipropaganda ya Donald Trump na madai yake ya kupata mafanikio makubwa katika kampeni yake ya kuipokonya silaha za nyuklia Korea Kaskazini, lakini rais huyo wa Marekani mwenye majivuno mengi amefeli vibaya katika suala hilo.

  • White House yakiri, mazungumzo ya Trump na Kim Jong-Un yamefeli

    White House yakiri, mazungumzo ya Trump na Kim Jong-Un yamefeli

    Feb 28, 2019 16:03

    Msemaji wa ikulu ya Rais wa Marekani, White House amesema mazungumzo ya Rais Donald Trump wa nchi hiyo na Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-Un yamesitishwa ghafla na kabla ya wakati wake na amekiri kwamba, hakuna makubaliano ya aina yoyote yaliyofikiwa baina ya pande hizo mbili.

  • Mazungumzo ya Trump na Kim Jong-Un yafanyika Vietnam

    Mazungumzo ya Trump na Kim Jong-Un yafanyika Vietnam

    Feb 27, 2019 16:21

    Mazungumzo ya siku ya kwanza ya Kim Jong-Un, Kiongozi wa Korea Kaskazini na rais wa Marekani, Donald Trump, yamefanyika mjini Hanoi, Vietnam.

  • Trump: Mkutano wangu ujao na Kim Jong-un Vietnam, hautakuwa wa mwisho

    Trump: Mkutano wangu ujao na Kim Jong-un Vietnam, hautakuwa wa mwisho

    Feb 21, 2019 07:44

    Rais Donald Trump wa Marekani amesema kuwa, mkutano ujao kati yake na Kim Jong-un wa Korea Kaskazini mjini Hanoi, mji mkuu wa Vietnam, hautakuwa wa mwisho.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS