Feb 28, 2019 16:03
Msemaji wa ikulu ya Rais wa Marekani, White House amesema mazungumzo ya Rais Donald Trump wa nchi hiyo na Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-Un yamesitishwa ghafla na kabla ya wakati wake na amekiri kwamba, hakuna makubaliano ya aina yoyote yaliyofikiwa baina ya pande hizo mbili.