-
Kuendelea harakati hatari za kijeshi za Marekani barani Asia
Jun 18, 2023 06:56Sera hatari za kijeshi na za kichochezi za Marekani katika bara kubwa duniani yaani bara la Asia zingali zinaendelea.
-
Idadi ya watu nchini Korea Kusini yapungua kwa mwaka wa tatu mfululizo
Jan 15, 2023 07:18Idadi ya watu nchini Korea Kusini imepungua mwaka 2022 kwa mwaka wa tatu mfululizo.
-
Korea Kaskazini yajiwekea rekodi ya kufyatua makombora ya balestiki mara tatu ndani ya wiki moja
Sep 30, 2022 03:52Korea Kaskazini imefyatua kombora la balestiki kwa mara ya tatu ndani ya wiki moja mara baada ya kumalizika ziara ya makamu wa rais wa Marekani Kamala Harris nchini Korea Kusini.
-
Mikrofoni yamnasa rais wa Korea Kusini akiwatusi wabunge wa US kwa kuwaita "wapumbavu"
Sep 26, 2022 08:06Rais Yoon Suk-yeol wa Korea Kusini amesema ripoti za vyombo vya habari kuhusu matamshi aliyotoa wakati wa safari yake mjini New York, si sahihi.
-
Kombora jipya la Korea Kaskazini na kiwingu kizito cha vita Kusini Mashariki mwa Asia
Sep 26, 2022 04:50Hatua ya Korea Kaskazini ya kufanyia majaribio kombora lake jipya kuelekea upande wa Bahari ya Japan imepokewa kwa hisia kali na nchi mbili za Japan na Korea Kusini.
-
Jumatatu, Agosti 15, 2022
Aug 14, 2022 21:51Leo ni Jumatatu mwezi 17 Muharram 1444 Hijria sawa na Agosti 15 mwaka 2022 Milaadia.
-
Korea Kusini ina hofu juu ya jaribio la 7 la nyukia linalokaribia kufanywa na Korea Kaskazini
Jul 26, 2022 06:49Korea Kusini imesema, si baidi kwa Korea Kaskazini kufanya jaribio la saba la nyuklia hapo kesho.
-
Jumamosi, 25 Juni, 2022
Jun 25, 2022 03:17Leo ni Jumamosi tarehe 25 Mfunguo Pili Dhul-Qaadah 1443 Hijria sawa na tarehe 25 Juni 2022 Miladia.
-
Wananchi wa Korea Kusini waandamana kupinga ngao ya Marekani ya THAAD
Jun 24, 2022 22:34Kwa mara nyingine wananchi wa Korea Kusini wamefanya maandamano kupinga mpango wa kusimikwa ngao ya makombora ya kisasa ya Marekani aina ya THAAD ndani ya nchi yao.
-
Maandamano ya kupinga safari ya Biden Korea Kusini
May 22, 2022 12:33Wanachama wa baadhi ya vyama na mashirika ya kiraia wamekusanyika mjini Seoul kupinga ziara ya Rais Joe Biden wa Marekani nchini Korea Kusini.