-
Kiongozi wa Serikali ajiua kwa kusailiwa nchini Misri
Jan 03, 2017 02:31Duru za habari za Misri zimetangaza habari ya kujiua Katibu Mkuu Mstaafu wa Baraza la Serikali ya nchi hiyo baada ya kutiwa mbaroni na maafisa wa Serikali.
-
Askari 500 wa Marekani walijiua mwaka jana
Apr 06, 2016 07:43Takaribani askari 500 wa Jeshi la Marekani walijiua mwaka jana na hivyo kuendeleza mkondo wa idadi kubwa ya wanajeshi wanaojiua nchini humo katika kipindi cha miaka saba iliyopita.