-
Spika wa Bunge la Kuwait ataka nchi za Kiarabu zikabiliane na Israel
Jul 04, 2020 23:16Spika wa Bunge la Kuwait ametaka nchi za Kiarabu zichukue hatua kali za kukabiliana na njama za utawala wa Kizayuni wa Israel za kuteka maeneo zaidi ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Ijumaa tarehe 19 Juni mwaka 2020
Jun 18, 2020 21:59Leo ni Ijumaa tarehe 27 Shawwal 1441 Hijria sawa na Juni 19 mwaka 2020.
-
Iran: Tuko tayari kuwanufaisha wengine uzoefu tuliopata wa kukabiliana na corona
May 02, 2020 03:22Mkuu wa Komandi Kuu ya Majeshi ya Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iko tayari kuyanufaisha mataifa mengine uzoefu wake katika suala la kupambana na ugonjwa wa COVID-19.
-
Kesi za kwanza za Corona zaripotiwa Iraq, Kuwait, Bahrain na Afghanistan
Feb 24, 2020 21:52Iraq, Kuwait, Bahrain na Afghanistan zimeripoti kesi za kwanza za ugonjwa unaosababishwa na virusi vya Corona katika nchi hizo za eneo la Asia Magharibi.
-
Kuwait kuanzisha upya safari za ndege kwenda Yemen
Dec 29, 2019 23:12Emad Al-Jalawi , Naibu wa Masuala ya Usalama na Amani ya Safari za Ndege na Uchukuzi nchini Kuwait amesema kuwa hivi karibuni safari za ndege kutoka nchi hiyo kwenda Yemen zitaanza.
-
Kuwait: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haipasi kuwa chini ya vikwazo
Dec 13, 2019 23:36Mwakilishi wa Kuwait katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa amesisitiza kwamba Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haipasi kuwa chini ya vikwazo.
-
Sababu za kujiuzulu serikali ya Kuwait
Nov 15, 2019 23:12Waziri Mkuu wa Kuwait Jaber Al-Mubarak Al-Hamad Al-Sabah jana tarehe 14 Novemba alikabidhi hati ya kujiuzulu serikali yake kwa Amir wa nchi hiyo.
-
Maelfu ya raia wa Kuwait wafanya maandamano dhidi ya serikali
Nov 07, 2019 09:29Maelfu ya raia wa Kuwait wamefanya maandamano makubwa kulalamikia hali mbaya ya kiuchumi na kimaisha pamoja na sheria inayohusiana na uraia wa nchi hiyo.
-
Kuwait yazifikishia Saudia na Bahrain ujumbe wa amani kutoka Iran
Nov 06, 2019 04:25Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Kuwait Khaled al-Jarallah amesema nchi yake imezifikishia Saudi Arabia na Bahrain ujumbe wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wa kutaka amani katika eneo la Ghuba ya Uajemi.
-
Jeshi la Kuwait lajiweka tayari kukabiliana na tukio lolote katika eneo
Sep 19, 2019 02:33Jeshi la Kuwait limetoa taarifa na kueleza kuwa vikosi vya ulinzi vya nchi hivyo vimeajiandaa kukabiliana na matukio na tishio lolote katika eneo.