Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kuwait

  • Spika wa Bunge la Kuwait ataka nchi za Kiarabu zikabiliane na Israel

    Spika wa Bunge la Kuwait ataka nchi za Kiarabu zikabiliane na Israel

    Jul 04, 2020 23:16

    Spika wa Bunge la Kuwait ametaka nchi za Kiarabu zichukue hatua kali za kukabiliana na njama za utawala wa Kizayuni wa Israel za kuteka maeneo zaidi ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Ijumaa tarehe 19 Juni mwaka 2020

    Ijumaa tarehe 19 Juni mwaka 2020

    Jun 18, 2020 21:59

    Leo ni Ijumaa tarehe 27 Shawwal 1441 Hijria sawa na Juni 19 mwaka 2020.

  • Iran: Tuko tayari kuwanufaisha wengine uzoefu tuliopata wa kukabiliana na corona

    Iran: Tuko tayari kuwanufaisha wengine uzoefu tuliopata wa kukabiliana na corona

    May 02, 2020 03:22

    Mkuu wa Komandi Kuu ya Majeshi ya Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iko tayari kuyanufaisha mataifa mengine uzoefu wake katika suala la kupambana na ugonjwa wa COVID-19.

  • Kesi za kwanza za Corona zaripotiwa Iraq, Kuwait, Bahrain na Afghanistan

    Kesi za kwanza za Corona zaripotiwa Iraq, Kuwait, Bahrain na Afghanistan

    Feb 24, 2020 21:52

    Iraq, Kuwait, Bahrain na Afghanistan zimeripoti kesi za kwanza za ugonjwa unaosababishwa na virusi vya Corona katika nchi hizo za eneo la Asia Magharibi.

  • Kuwait kuanzisha upya safari za ndege kwenda Yemen

    Kuwait kuanzisha upya safari za ndege kwenda Yemen

    Dec 29, 2019 23:12

    Emad Al-Jalawi , Naibu wa Masuala ya Usalama na Amani ya Safari za Ndege na Uchukuzi nchini Kuwait amesema kuwa hivi karibuni safari za ndege kutoka nchi hiyo kwenda Yemen zitaanza.

  • Kuwait: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haipasi kuwa chini ya vikwazo

    Kuwait: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haipasi kuwa chini ya vikwazo

    Dec 13, 2019 23:36

    Mwakilishi wa Kuwait katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa amesisitiza kwamba Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haipasi kuwa chini ya vikwazo.

  • Sababu za kujiuzulu serikali ya Kuwait

    Sababu za kujiuzulu serikali ya Kuwait

    Nov 15, 2019 23:12

    Waziri Mkuu wa Kuwait Jaber Al-Mubarak Al-Hamad Al-Sabah jana tarehe 14 Novemba alikabidhi hati ya kujiuzulu serikali yake kwa Amir wa nchi hiyo.

  • Maelfu ya raia wa Kuwait wafanya maandamano dhidi ya serikali

    Maelfu ya raia wa Kuwait wafanya maandamano dhidi ya serikali

    Nov 07, 2019 09:29

    Maelfu ya raia wa Kuwait wamefanya maandamano makubwa kulalamikia hali mbaya ya kiuchumi na kimaisha pamoja na sheria inayohusiana na uraia wa nchi hiyo.

  • Kuwait yazifikishia Saudia na Bahrain ujumbe wa amani kutoka Iran

    Kuwait yazifikishia Saudia na Bahrain ujumbe wa amani kutoka Iran

    Nov 06, 2019 04:25

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Kuwait Khaled al-Jarallah amesema nchi yake imezifikishia Saudi Arabia na Bahrain ujumbe wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wa kutaka amani katika eneo la Ghuba ya Uajemi.

  • Jeshi la Kuwait lajiweka tayari kukabiliana na tukio lolote katika eneo

    Jeshi la Kuwait lajiweka tayari kukabiliana na tukio lolote katika eneo

    Sep 19, 2019 02:33

    Jeshi la Kuwait limetoa taarifa na kueleza kuwa vikosi vya ulinzi vya nchi hivyo vimeajiandaa kukabiliana na matukio na tishio lolote katika eneo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS