• Maoni: Ukosefu wa usalama umeongezeka Marekani

    Maoni: Ukosefu wa usalama umeongezeka Marekani

    Jun 27, 2016 15:59

    Matokeo ya uchunguzi mpya wa maoni yameonesha kuwa, Wamarekani wengi wanaamini kuwa, nchi hiyo inakabiliwa na ukosefu wa amani mkubwa zaidi kuliko ilivyokuwa huko nyuma.