-
Machar apuuza makataa ya masaa 48 ya Kiir kumtaka arejee Juba
Jul 22, 2016 23:39Makamu wa Rais wa Sudan Kusini Riek Machar amekataa kuheshimu makataa ya masaa 48 aliyopewa na Rais Salva Kiir wa nchi hiyo awe amerejea katika mji mkuu wa nchi hiyo Juba.
-
Maoni: Ukosefu wa usalama umeongezeka Marekani
Jun 27, 2016 11:29Matokeo ya uchunguzi mpya wa maoni yameonesha kuwa, Wamarekani wengi wanaamini kuwa, nchi hiyo inakabiliwa na ukosefu wa amani mkubwa zaidi kuliko ilivyokuwa huko nyuma.