-
Kerry atafakari kabla ya kutamka 'upuuzi' kuhusu Iran
Apr 09, 2016 11:37Waziri wa Ulinzi wa Iran Brigedia Jenerali Hussein Dehqan amemtaka Waziri wa Mambo ya Nje ya wa Marekani John Kerry kutafakari kabla ya kutamka maneneo ya “kipuuzi” kuhusu masuala ya kijeshi na kiulinzi ya Iran.
-
Russia: Hakuna uhusiano wowote baina ya makombora ya Iran na makubaliano ya nyuklia
Mar 12, 2016 11:55Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema kuwa, miradi ya makombora ya Iran haina uhusiano wowote na kadhia ya nyuklia ya nchi hiyo.
-
Iran: Kona zote za Israel zinaweza kufikiwa na makombora yetu
Mar 09, 2016 04:22Meja Jenerali Mohammad Ali Jafari, Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu IRGC, amesema maeneo yote ya ardhi za Wapalestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel yanaweza kufikiwa na makombora ya Jamhuri ya Kiislamu.