Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Uchunguzi wa maoni: Mfumuko wa bei na uhalifu ndio maswala makuu yanayowashughulisha zaidi Wamarekani

    Uchunguzi wa maoni: Mfumuko wa bei na uhalifu ndio maswala makuu yanayowashughulisha zaidi Wamarekani

    Oct 23, 2022 01:06

    Matokeo ya uchunguzi mpya wa maoni yanaonyesha kwamba mfumuko wa bei na takwimu za juu za uhalifu nchini Marekani ndizo mambo yanayowatia wasiwasi mkubwa zaidi Wamarekani.

  • Iran: Hatutaipatia Marekani fursa yoyote ya ziada katika mazungumzo ya uondoaji vikwazo

    Iran: Hatutaipatia Marekani fursa yoyote ya ziada katika mazungumzo ya uondoaji vikwazo

    Oct 22, 2022 09:05

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema, Iran inachukua hatua kwa kutumia mantiki na kuchunga mistari myekundu ya Mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu na haitapatia Marekani fursa yoyote ya ziada katika mazungumzo ya uondoaji vikwazo.

  • Kukiri Borrell juu ya mwisho wa udhibiti wa Marekani na nafasi isiyokuwa athirifu ya Ulaya duniani

    Kukiri Borrell juu ya mwisho wa udhibiti wa Marekani na nafasi isiyokuwa athirifu ya Ulaya duniani

    Oct 22, 2022 07:41

    Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya, Josep Borrell amekiri katika mahojiano yake siku ya Alhamisi iliyopita kwamba tunaishi katika ulimwengu wa kambi kadhaa na kwamba kipindi cha udhibiti wa upande mmoja wa Marekani kimefikia tamati.

  • Marekani yaingiwa na wahaka kufuatia maridhiano ya Syria na HAMAS

    Marekani yaingiwa na wahaka kufuatia maridhiano ya Syria na HAMAS

    Oct 21, 2022 07:54

    Marekani imeonya kuwa itachukua hatua zaidi za 'kumtenga' Rais Bashari al-Assad wa Syria, jambo linaloashiria kuwa Washington imeingiwa na kiwewe kufuatia hatua ya hivi karibuni ya Damascus kufikia maridhiano na Harakati ya Mapmbano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS).

  • Nchi 8 zatahadharisha kuhusu shughuli za kibaolojia za Marekani huko Ukraine

    Nchi 8 zatahadharisha kuhusu shughuli za kibaolojia za Marekani huko Ukraine

    Oct 19, 2022 04:30

    Nchi 8 zimetaka katika kikao cha Umoja wa Mataifa kutumiwa njia zote zilizopo ili kuweka wazi taarifa zinazohusiana na shughuli za kibaolojia zinazofanywa na jeshi la Marekani huko Ukraine.

  • Kwa nini Marekani imejikita sana katika kuunga mkono ghasia nchini Iran

    Kwa nini Marekani imejikita sana katika kuunga mkono ghasia nchini Iran

    Oct 17, 2022 07:45

    Karine Jean-Pierre Msemaji wa White House ameashiria namna Marekani ilivyojikika pakubwa katika machafuko na ghasia hapa nchini na kueleza kuwa: hata kama serikali ya Biden inaamini kuwa diplomasia ni njia bora zaidi ya kuizuia Iran kumiliki silaha za nyuklia lakini sasa Washington imejikita katika kuunga mkono ghasia na fujo nchini Iran.

  • Iran yamkosoa Biden kwa kuunga mkono, kushajiisha ghasia hapa nchini

    Iran yamkosoa Biden kwa kuunga mkono, kushajiisha ghasia hapa nchini

    Oct 16, 2022 07:54

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imelaani vikali hatua ya Marekani ya kuingilia masuala ya ndani ya Jamhuri ya Kiislamu, baada ya Rais Joe Biden wa nchi hiyo kutangaza kuwa anaunga mkono ghasia na fujo zinazoshuhudia hapa nchini.

  • Aina mpya ya Omicron yaenea nchini Marekani

    Aina mpya ya Omicron yaenea nchini Marekani

    Oct 16, 2022 04:44

    Utafiti mpya wa Kituo cha Kuzuia na Kudhibiti Magojwa cha Marekani (CDC) umebaini kuwa, aina mpya ya kirusi cha corona cha Omicron, imesambaa mno nchini Marekani.

  • Kukiri Marekani kuwa inahusika katika kuchochea ghasia na machafuko nchini Iran

    Kukiri Marekani kuwa inahusika katika kuchochea ghasia na machafuko nchini Iran

    Oct 15, 2022 00:10

    Ned Price, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani, amekiri kwamba utawala wa Joe Biden sasa umejikita kwenye machafuko na ghasia nchini Iran huku akiiishutumu Tehran kuwa haiko tayari kufikia muafaka kuhusu kuhuisha mapatano ya nyuklia ya JCPOA. Mbali na kukiri huko, imekuwa ikifahamika wazi kimataifa kuwa Marekani inaingilia masuala ya ndani ya Iran.

  • Iran: Kama US inapigania kweli haki za binadamu, iache kuwasaidia magaidi

    Iran: Kama US inapigania kweli haki za binadamu, iache kuwasaidia magaidi

    Oct 14, 2022 04:20

    Ofisi ya Uwakilishi wa Kudumu ya Iran katika Umoja wa Mataifa imesema iwapo Marekani inataka kupambana kwa dhati na ugaidi, sharti iachane na tabia yake ya kuunga mkono makundi ya kigaidi kama lile la Kumalah.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS