Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Rais Putin: Kampuni kubwa 80 za Russia kwenda Iran wiki ijayo

    Rais Putin: Kampuni kubwa 80 za Russia kwenda Iran wiki ijayo

    Sep 15, 2022 23:37

    Rais Vladmir Putin wa Russia amesema Moscow imefanya kila iwezalo kuhakikisha kuwa Iran inakua mwanachama kamili wa Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai (SCO).

  • Marekani yapiga ngoma ya vita kwa kuipa Taiwan 'msaada' wa kijeshi

    Marekani yapiga ngoma ya vita kwa kuipa Taiwan 'msaada' wa kijeshi

    Sep 15, 2022 23:32

    Bunge la Seneti la Marekani limepasisha muswada wa sheria inayotaka Taiwan kupewa msaada wa kijeshi wa mabilioni ya dola, hatua inayotazamiwa kuighadhabisha China.

  • Utafiti: Akthari ya Wamarekani wanasema Biden ameligawa taifa

    Utafiti: Akthari ya Wamarekani wanasema Biden ameligawa taifa

    Sep 15, 2022 23:31

    Aghalabu ya wapigakura nchini Marekani wanaamini kuwa, Rais Joe Biden wa nchi hiyo amewagawa Wamarekani katika utawala wake, badala ya kuwaunganisha.

  • Iran: Muafaka utapatikana Marekani ikizingatia uhalisia wa mambo

    Iran: Muafaka utapatikana Marekani ikizingatia uhalisia wa mambo

    Sep 14, 2022 03:25

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza kuwa, ikiwa Marekani itazingatia uhalisia wa mambo, basi makubaliano mazuri, imara na ya kudumu yanaweza kufikiwa kwa uungaji mkono wa pande zote katika mazungumzo ya Vienna.

  • Marekani kuiwekea vikwazo China ili 'kuzuia' kuvamiwa Taiwan

    Marekani kuiwekea vikwazo China ili 'kuzuia' kuvamiwa Taiwan

    Sep 14, 2022 03:04

    Marekani imeripotiwa kuwa inatafakari kuiwekea China vikwazo ili kuzuia eti mashambulizi tarajiwa ya kijeshi ya Beijing dhidi ya kisiwa cha Taiwan.

  • Ombi la kuilazimisha Marekani itimize wajibu wake wa uenyeji wa Umoja wa Mataifa

    Ombi la kuilazimisha Marekani itimize wajibu wake wa uenyeji wa Umoja wa Mataifa

    Sep 13, 2022 00:56

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema katika mahojiano kwamba Marekani na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres wana wajibu wa kuhakikisha ushiriki wa wawakilishi wote wa nchi wanachama katika mikutano ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa unatimia.

  • Kupenda vita Marekani duniani; urithi wa tukio la Septemba 11

    Kupenda vita Marekani duniani; urithi wa tukio la Septemba 11

    Sep 12, 2022 03:51

    Jumapili ya jana tarehe 11 Septemba ilisadifiana na kutimia miaka 21 tangu kutokea mashambulio ya kigaidi ya Septemba 11 ambapo hadi sasa Marekani ingali imeshughulishwa na matokeo ya tukio hili lenye kuainisha hatima.

  • Zaidi ya thuluthi moja ya Wamarekani hawawezi kukidhi mahitaji ya awali ya maisha

    Zaidi ya thuluthi moja ya Wamarekani hawawezi kukidhi mahitaji ya awali ya maisha

    Sep 11, 2022 03:13

    Matokeo ya utafiti wa taasisi ya uchunguzi ya Marekani yanaonyesha kuwa zaidi ya theluthi moja ya familia za Marekani hazina pato la kutosha kulipia gharama za kimsingi za maisha ya familia zao.

  • Mauzo ya silaha za Marekani yaongezeka katika utawala wa Biden

    Mauzo ya silaha za Marekani yaongezeka katika utawala wa Biden

    Sep 09, 2022 21:53

    Marekani imeendelea kushika nafasi ya kwanza duniani kwa kutumia fedha nyingi kwa ajili ya bajeti ya masuala ya kijeshi, huku mauzo ya silaha za nchi hiyo yakiongezeka mno katika utawala wa Rais Joe Biden.

  • Wamarekani waandamana dhidi ya vitendo vya Wazayuni huko Palestina

    Wamarekani waandamana dhidi ya vitendo vya Wazayuni huko Palestina

    Sep 09, 2022 07:48

    Wamarekani wamefanya maandamano katika baadhi ya miji ya nchi hiyo wakilaani jinai na hatua za utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS