Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Kwa nini Biden amekataa kuitangaza Russia kuwa ni nchi inayofadhili ugaidi?

    Kwa nini Biden amekataa kuitangaza Russia kuwa ni nchi inayofadhili ugaidi?

    Sep 08, 2022 22:15

    Msemaji wa Ikulu ya Rais wa Marekani, White House, Karine Jean-Pierre alitangaza Jumanne wiki hii kwamba uamuzi wa Joe Biden wa kutoitangaza Russia kuwa ni mfadhili ugaidi ni wa mwisho.

  • Moto wa msituni wasababisha maelfu bila ya makazi na kufungwa skuli California

    Moto wa msituni wasababisha maelfu bila ya makazi na kufungwa skuli California

    Sep 07, 2022 03:22

    Moto ulioibuka katika misitu jimboni California nchini Marekani umepelekea maelfu ya watu kusalia bila ya makazi sambamba na kufungwa skuli katika jimbo hilo.

  • Seneta Murray: Demokrasia ipo hatarini nchini Marekani

    Seneta Murray: Demokrasia ipo hatarini nchini Marekani

    Sep 05, 2022 21:44

    Seneta Patty Murray wa Marekani amesema kwamba demokrasia ya nchi hiyo imo hatarini, huku akitetea hotuba tata iliyotolewa na Rais Joe Biden wiki iliyopita.

  • China: Vita vya Ukraine vinaisababishia hasara kubwa Ulaya na kuipatia faida nono Marekani

    China: Vita vya Ukraine vinaisababishia hasara kubwa Ulaya na kuipatia faida nono Marekani

    Sep 03, 2022 21:54

    China imetangaza kuwa Marekani, ambayo ndio msababishaji mkuu wa mgogoro wa Ukraine inafaidika na kuendelea kwa vita katika nchi hiyo.

  • Mazoezi makubwa ya kijeshi ya Russia, China, India; ishara ya kufeli Magharibi kuitenga Russia

    Mazoezi makubwa ya kijeshi ya Russia, China, India; ishara ya kufeli Magharibi kuitenga Russia

    Sep 02, 2022 23:56

    Licha ya shinikizo la Marekani kwa nchi nyingine kwa ajili ya kuitenga Russia kutokana na vita vya Ukraine, Moscow imeandaa mazoezi makubwa ya kijeshi ya nchi kavu, anga na baharini kwa kuzishirikisha nchi nyingine 13.

  • Marandi: Wakati umefika Biden afanye maamuzi magumu

    Marandi: Wakati umefika Biden afanye maamuzi magumu

    Sep 02, 2022 07:39

    Mshauri wa timu ya Iran katika mazungumzo ya nyuklia ya Vienna amesema kuwa, wakati umefika kwa utawala wa Rais Joe Biden wa Marekani kuchukua maamuzi magumu juu ya kuhuishwa makubaliano yanayotarajiwa kufikiwa kuhusiana na kuondolewa vikwazo Iran.

  • Mashirika 290 yamtaka Biden asimamishe hujuma za Israel dhidi ya Palestina

    Mashirika 290 yamtaka Biden asimamishe hujuma za Israel dhidi ya Palestina

    Sep 02, 2022 07:33

    Zaidi ya mashirika 290 ya Marekani na kimataifa yametoa mwito kwa Rais Joe Biden wa nchi hiyo yakimtaka achukue hatua za kivitendo za kuzuia mashambulizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Palestina.

  • Iran: Matukio ya karibuni ya Ukraine ni matunda ya uingiliaji wa Marekani

    Iran: Matukio ya karibuni ya Ukraine ni matunda ya uingiliaji wa Marekani

    Sep 02, 2022 03:19

    Waziri wa Ulinzi wa Iran amesema kuwa, Marekani na nchi za Magharibi zinataka kutekeleza siasa zao za kibeberu katika maeneo yote hassasi na ya kiistratijia duniani na kwamba matukio ya Ukraine ni matunda ya mtazamo huo wa kiistikbari wa Magharibi.

  • IRGC ya Iran yaeleza ilivyotwaa na kuachia huru droni ya Marekani

    IRGC ya Iran yaeleza ilivyotwaa na kuachia huru droni ya Marekani

    Sep 01, 2022 03:07

    Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetoa maelezo ya kina kuhusu namna lilivyoteka na kisha kuachia huru ndege isiyo na rubani ya baharini ya Marekani katika eneo la Ghuba ya Uajemi.

  • UN yaitaka Marekani izipe fidia familia za wahanga wa utumwa

    UN yaitaka Marekani izipe fidia familia za wahanga wa utumwa

    Sep 01, 2022 03:01

    Umoja wa Mataifa umetoa mwito kwa Marekani kuanza mchakato wa kutoa fidia kwa vizazi vya wahanga wa utumwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS