-
Russia: Kuondoka majeshi ya Marekani Syria kutarahisisha na kuharakisha kuangamizwa magaidi
Aug 10, 2022 03:14Mwakilishi wa kudumu wa Russia katika Umoja wa Mataifa amesema, kuondoka majeshi ya Marekani Syria kutarahisisha na kusahilisha kwa haraka zaidi kuangamizwa magaidi katika nchi hiyo.
-
Taiwan yadai kuwa China inataka kuivamia kijeshi
Aug 09, 2022 20:51Taipei imedai kuwa China inapanga njama ya kukivamia kisiwa cha Taiwan, baada ya Beijing kutangaza duru mpya ya mazoezi ya kijeshi katika maji ya kisiwa hicho, ukiwa ni muendelezo wa kujibu mapigo kwa ziara iliyofanywa na Spika wa Baraza la Wawakilishi la Marekani, Nancy Pelosi katika kisiwa hicho hivi karibuni.
-
China yamuwekea vikwazo Pelosi, yafuta baadhi ya ushirikiano na US
Aug 06, 2022 06:18China imetangaza kuwa itasimamisha ushirikiano na Marekani katika mambo kadhaa hasasi, ukiwa ni muendelezo wa kujibu mapigo kwa ziara iliyofanywa na Spika wa Baraza la Wawakilishi la Marekani, Nancy Pelosi katika kisiwa cha Taiwan hivi karibuni.
-
Ikulu ya Marekani yapigwa na radi, watu wanne wajeruhiwa vibaya
Aug 05, 2022 07:25Watu wanne wamejeruhiwa vibaya baada ya radi kupiga eneo la nje la Ikulu ya Marekani, White House. Hayo ni kwa mujibu wa vyombo mbalimbali vya habari ikiwemo televisheni ya CNN ya Marekani.
-
IRGC: Wakati wa Marekani kuweko Asia Magharibi umefikia tamati
Aug 05, 2022 06:31Kamanda Mkuu wa Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema wakati umefika wa kuondoka Marekani katika eneo la Asia Magharibi kutokana na kupoteza kwake udhibiti na ushawishi katika eneo hili.
-
Sisitizo la Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran kuhusu kuunga mkono sera ya China Moja
Aug 05, 2022 02:40Hossein Amirabdollahian, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza uungaji mkono wa Iran kwa sera ya "China Moja" na kusema: 'Hatua za kichochezi za Marekani zimekuwa tishio kubwa kwa amani na uthabiti wa kimataifa.'
-
Utafiti: Polisi ya Marekani imeua raia 700 ndani ya miezi 7
Aug 04, 2022 20:44Mamia ya raia wameuawa na askari polisi wa Marekani tokea mwanzoni mwaka huu 2022 hadi sasa, huku duru mbalimbali zikiendelea kulaani ukatili wa polisi ya nchi hiyo dhidi ya raia hususan Wamarekani wenye asili ya Afrika.
-
Senate ya Marekani yachochea vita, yaidhinisha Sweden na Finland kujiunga na NATO
Aug 04, 2022 02:42Baraza la Senate la Marekani limeidhinisha nchi za Finland na Sweden zinazopakana na Russia zijiunge na jeshi la nchi za Magharibi NATO, hatua ambayo inaonesha wazi ni kuchochea mivutano mingi zaidi baina ya Magharibi na Russia.
-
Hivi ndivyo Asia Magharibi ilivyotia kasi kuporomoka nguvu na ushawishi wa Marekani
Aug 03, 2022 21:52Ni jambo lisilo na chembe ya shaka kwamba, Asia Magharibi ni eneo la ushawishi wa jadi wa Marekani. Nchi hiyo ya kibeberu imejiimarisha mno kijeshi kenye eneo hili na ina ushawishi katika matukio ya kiusalama ya nchi waitifaki wake za Asia Magharibi.
-
China yaitaka Marekani iiondolee Iran vikwazo haramu
Aug 03, 2022 07:27Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Kudhibiti Silaha katika Wizara ya Mambo ya China ameitaka Marekani iiondolee Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vikwazo haramu.