-
Kenya na Marekani zajadili namna ya kukomesha machafuko Sudan na Ethiopia
Nov 18, 2021 04:44Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Antony Blinken amekutana na kufanya mazungumzo na Rais Uhuru wa Kenyatta wa Kenya kujadili namna ya kuhitimisha machafuko katika nchi za Sudan na Ethiopia.
-
Marekani yaweka rekodi mbaya mpya; mara hii ni ya vifo vinavyotokana na madawa ya kulevya
Nov 18, 2021 04:15Kituo cha udhibiti na uzuiaji maradhi cha Marekani kimetangaza kuwa kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi hiyo, takwimu za vifo vinavyosababishwa na matumizi ya kupindukia ya madawa ya kulevya zimevuka kiwango cha watu laki moja kwa mwaka.
-
Mjumbe Maalumu wa Iran: Marekani inaunga mkono ISIS
Nov 15, 2021 08:21Mjumbe Maalum wa Rais wa Iran katika masuala ya Afghanistan amesema Marekani ilipata pigo na kushindwa vibaya huko Afghanistan, na sasa inajaribu kuliunga mkono kundi la kigaidi la Daesh (ISIS).
-
Nigeria yashambulia asasi ya Marekani kwa kuipaka matope
Nov 15, 2021 08:18Serikali ya Nigeria imeijia juu asasi moja isiyo ya kiserikali ya Marekani iliyodai kuwa, utawala wa nchi hiyo ya Afrika Magharibi unaunga mkono ugaidi.
-
Kufichuliwa jinai za kivita za jeshi la Marekani nchini Syria
Nov 14, 2021 07:42Gazeti la New York Times limetoa ripoti inayoonyesha kuwa, jeshi la Marekani limetenda uhalifu wa kivita kwa kuua makumi ya wanawake na watoto katika mashambulio ya anga liliyofanya nchini Syria kwa kisingizio cha kile kinachoitwa mapambano dhidi ya kundi la DAESH (ISIS).
-
Eritrea yalaani vikwazo 'haramu' vya Marekani dhidi yake
Nov 14, 2021 04:44Serikali ya Eritrea imekosoa vikali vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya nchi hiyo kwa tuhuma za kuhusika na ghasia na mapigano yanayoshuhudiwa katika nchi jirani ya Ethiopia.
-
Jeshi la Marekani lilificha mauaji ya watoto na wanawake 64 Syria
Nov 14, 2021 04:37Imebainika kuwa, jeshi vamizi la Marekani lilificha kwa makusudi taarifa za kufanyika mashambulizi mawili ya anga yaliyoua makumi ya watoto wadogo na wanawake wa Syria mwaka 2019.
-
CBS: Shambulizi la Iran dhidi ya kambi ya Marekani ya Ainul Asad ni moja kati ya mashambulizi makubwa zaidi katika historia
Nov 12, 2021 04:24Tovuti ya mtandao wa habari wa Marekani CBS imefichua mapya yaliyokuwa yamefichwa na serikali ya Marekani kuhusu shambulizi ya makombora ya Iran dhidi ya kambi ya jeshi la nchi hiyo ya Ainul Asad nchini Iraq.
-
Vikwazo vya Upande mmoja, kizuizi cha malengo ya ustawi endelevu
Nov 12, 2021 00:10Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, vikwazo vya upande mmoja vya Marekani vinazizuia nchi mbalimbali kupata vyanzo vya fedha na ustawi unaohitajika kwa ajili ya kutimiza malengo ya ustawi endelevu.
-
Iran yaiachilia huru meli iliyokuwa imebeba mafuta ya kuibwa
Nov 11, 2021 01:30Meli ya mafuta iliyokuwa inashikiliwa Iran kutokana na kuhusika katika wizi wa mafuta ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, imeachiliwa kufuatia hukumu ya mahakama na baada ya mafuta hayo kurejeshwa.